Waliongezewa sikuUsiku huu nadhani kuna majibu tutapata
Nimesema hivyo nikiwa na akili timamu...lile sio eneo la wamachinga...Tofautisha karume soko na karume wanaopanga barabaran
Ccm walisema huko ndio kuna wapiga kura wao. Ngoja tusubiri tuone.Mwanza wamegoma,bado barabara zimezibwa na wamachinga
Sina mashaka na utimamu wa akili yako,unamaanisha hapa kwenye soko la mtumba la karume???Nimesema hivyo nikiwa na akili timamu...lile sio eneo la wamachinga...
Bashara ya umachinga Haipo hata kwenye mitaala ya elimu imejizukia tu bila utaratibu, biashara gani!Sawa,
Miss Dream Queen kama wewe ni Raia wa Tanzania wa kawaida basi vitu unavyomiliki vingi umevinunua kwa Machinga. Hiyo ni kwa 90% au zaidi
Tutarajie nini kuhusu Usafi wa Mazingira?
Ni kweli kuwa wakihamishwa hizo bidhaa ulizosema wanapewa na Matajiri wataacha kuwa wanapewa?
Kama wataacha kuwa wanapewa na hao Matajiri(Kwa kuwa hawatakuwa wanauza sana), kuna Mpango Upi mwingine wa kuyakwamua Maisha Yao hasa wanaotegemewa?
Barabara Mpya au inaporekebishwa huwa kuna Magari yanaongezeka ya watu wanaopenda kuendesha kwenye njia mpya basi tu kwa kuwa ni njia mpya. Hawa huwa ni kama ziada ya idadi halisi ya Magari yanayopita siku zote.
Na barabara fupi Nzuri au Mbovu humfaa sana Mtembea kwa Miguu kwa hiyo huyu yeye Jengeni Barabara mpya lakini sio rahisi yeye kuitumia kwa ajili ya Mambo yake.
Huwezi kusema Mteja wa Saa ya TSh 3500/= inayouzwa na Machinga, atatoka Manzese aende hadi Mbweni kuliko na soko la Machinga Mfano, ili akainunue ile saa vinginevyo tu atasogea Sinza dukani atanunua kwa TSh 5000, 8000 au 12000
Huoni kama Machinga Biashara Yao ni kama inakufa?
Pisi Kali upoa hapo DIT? Mie Niko city mall hapa, fanta tuonane basHuku DIT wapo busy wanabomoa wenyewe, huruma lkn wateja tulishawazoea
Sheria ipi iliyokuwepo na wameivunja Machinga?Bashara ya umachinga Haipo hata kwenye mitaala ya elimu imejizukia tu bila utaratibu, biashara gani!
Mtu anamaliza shule badala ya kubuni biashara anaenda kushika nyembe,dawa za mswaki,sabunni
Tuache ukilaza jama, shida zako zisihalalishe uvunjifu wa sheria.
Fuata misingi ya kufanya biashara.
Serikali ikidhibiti wimbi la umachinga hata ubunifu na uzalishaji utaongezeka.
Umachunga ni matumizi madogo ya ya akili, watu wnataka mteremko hawataki kuumia.
JPM mwenyewe alitumbua vyeti feki na waliojengga mabarabarani machinga wao nani ?
Tutaondoka tena kwa amani
Dogo sikia, kutaka kuona picha si umbea ila ni uthibitisho tunaoutaka. Mbea ni wewe unayeleta habari bila uthibitisho.Picha za Nini peleka umbea wako huko fb
Hahahahah kwahio Mwanza ni mashambani 😅😅😅Huko mashambani hakuna neno
Hili dongo limekaa kibabe sana yani 😂😂😂 kwahio aendelee kuuza mtambo wa nnyaWewe si unasubiri kuliwa tigo upewe hela za kutanua mjini, huwezi kuelewa hustles za wanaume wanaopambana kutafuta maisha kwa jasho.
Endelea kupiga picha makalio uzirushe instagram watu wajilie vinyesi.
Wacha kazi iendelee...
We unazungumzia kupangishwa barabara? Kuna maza alinunua meza 2M barabara hio hio inayoanzia uchochoro wa congo mpaka Big Bon! Eneo la kuuzia visendo vya akina dada vile nikasema dah kweli Kariakoo 😅Mkuu hatukatai watafute riziki lakini kwa utaratibu sio kila sehemu mtu anajiwekea meza, kinachokera zaidi kuna wamachinga mtaa wa kongo wamepangishwa barabara yaani watu wamegawana barabara wamepangisha watu bei inaanzia elfu3 kwa siku hadi elfu10 kwa siku, pili wale wanaziba maduka ya watu, tatu watembea kwa miguu ndio balaa hawana pa kupita
Hahahhahaha machinga wasibugudhiweOK... Nanunua kesi...
kwa hiyo mimi nalipa kodI ya fremu na kodi ya TRA ...
Halafu kenge aje kupanga nyanya au mitumba mbele ya duka langu sababu yule mfu alikuwa anataka kura zao...
Napoteza wateja wangu sababu Pumbavu mporimpori kaacha kulima vijijini na kuja mjini kumshobokea dikteta....
Wakafe mbele, tunaanza upya na yule jinamizi hata kaa atokee tena katika nchi yangu...
Natafuta kupigwa ban... easy...
Jini ni safi ila tuzingatie kuwa huu usafi utaendelea mpaka kwenye level ya familia yani mke na mume! Nyumba nyingi zitavunjika kipindi hiki sababu ya kutetereka kwa kipato cha baba ambaye alikuwa anafanyia biashara zake barabarani!Hatimaye jij limeanza kuwa Safi.
Wenzetu walizingatia mazingira ya miji ila pia walizingatia na mazingira ya vipato vya hao wananchi!Tunachekelea tukienda nchi za wenzetu kwamba zinapendeza, mandhari nzuri, mpangilio wa shughuli za kiuchumi ziko vizuri, haikuwa rahisi kuwa hivyo, ni matokea ya usimamizi mzuri na mkali wa serikazi zao, cha msingi mtu asionewe, tusitafute huruma kwa kuvunja utaratibu uliowekwa.
Naimani serikali imewaandalia maeneo sahihi ya kufanya shughuli zao. Na sisi ambao niwateja wao tutawafuata huko waliko.
Mkono wa Serikali utakuondoeni hapo.Sisi huku ulongoni gongolamboto tumegoma hatuondoki nani aende chanika singiziwa
OK... Nanunua kesi...
kwa hiyo mimi nalipa kodI ya fremu na kodi ya TRA ...
Halafu kenge aje kupanga nyanya au mitumba mbele ya duka langu sababu yule mfu alikuwa anataka kura zao...
Napoteza wateja wangu sababu Pumbavu mporimpori kaacha kulima vijijini na kuja mjini kumshobokea dikteta....
Wakafe mbele, tunaanza upya na yule jinamizi hata kaa atokee tena katika nchi yangu...
Natafuta kupigwa ban... easy...
Wenzako gani we boya????Wenzetu walizingatia mazingira ya miji ila pia walizingatia na mazingira ya vipato vya hao wananchi!
Machinga wengi ni graduates kwa sasa, unapomfurumusha eneo analopatia chochote kitu na kumuajiri huwezi unategemea familia yake ya mama na katoto kake pekee wakale wapi?
Wenzetu wanaweka mazingira ila bongo mazingira ni kutupwa Vikindu huko! Ukiangalia wanunuzi wenye access na kariakoo hawawezi kufuata vitu vikindu huko eti kisa bei ya nafuu!