Kataa Rushwa
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 718
- 745
roho inauma sana kwa nyomi hiyo .... alafu dk za lala salama hizi jamaa anawatungua hart trick. Magu big 5
Wazaliwa wenzio Wa Moshi ndio Wanaosema saa hiziMkuu nmezaliwa Moshi nimekulia Moshi naijuaa Moshi vzr Zaidi ya unavyodhani, huku hatuna matatizo Kama Huko wanaochagua ccm toka 1995.
Nyie si ndo mlisema kilimanjaro hawadanganyiki kusombwa na malori tulieni muone show mitano tena kwa jiwe.Uzuri anapoteza muda katika Mkoa unaojielewa Kilimanjaro hawadanganyiki
Wewe huenda ni mgeni wa Siasa za TanzaniaNyie si ndo mlisema kilimanjaro hawadanganyiki kusombwa na malori tulieni muone show mitano tena kwa jiwe.
Maneno ya kujipa moyo hayo, ata kama ingejengwa kwenye makanyagio ya watu kipigo kipo palepale.Chadema imejengwa kwenye mioyo ya watu.
Huyu babu anaesafiri na feni kwenye gari apumzike sasa.Maneno ya kujipa moyo hayo, ata kama ingejengwa kwenye makanyagio ya watu kipigo kipo palepale.
Mchana ni CCM,usiku ni CDM. Subiri atadhangaa tar 28.10.2020
Kilimanjaro sio ruangwa au chato,huko meko uwanja uko tupo anaongea kinyonge kama sio yeye...fanyeni juhudi ya kumuongezea kiyoyozi engine inahitaji dagnosis ya haraka.Lingome linabomoka tofali kwa tofali.
Acha kulialia wewe.Kilimanjaro sio ruangwa au chato,huko meko uwanja uko tupo anaongea kinyonge kama sio yeye...fanyeni juhudi ya kumuongezea kiyoyozi engine inahitaji dagnosis ya haraka.
Wiki barabarani wiki garage kama lori la kubeba mkaa
Shida engine valvu na piston sio nzuri,inahitaji wamuwekee viyoyozi sio chini ya vinne ndio aweze kuhutubia kwa unyonge.Huyu babu anaesafiri na feni kwenye gari apumzike sasa.
Watu wa moshi waliosoma mapema kabla ya wahutuYuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Nilie nimekua wewe dada,mimi shababiAcha kulialia wewe.
Acha kilialia kabisa.Nilie nimekua wewe dada,mimi shababi
kule meko hana madhara makampuni mengi ya makandarasi na tours kaskazini yalisha filisika sababu yake kwahiyo magu kule hana chake wanamchekea tu kinafiki, Lisu anachukua zoteYuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
maendeleo ni nini mkuu! maana kila mtu ana tafsiri yake ya maendeleoChagua Magufuli Chagua maendeleo ya Kilimanjaro na Tanzania..
Watu wakilimanjaro kimaendeleo wameshaachwa mbali Sana...kisa upinzani..mpaka mkoa Kama Geita maendeleo yake yako juu Sana ukilinganisha na Kilimanjaro...watu wa Kilimanjaro wamebaki tu kusema kwenye mitandao kwamba wanamaendeleo ila ukienda kwenye ukweli..hamna kitu..Ni shida tu Kama mikoa mingine tena na kuzidi