Rais Samia Akabidhi Nyumba Kwa Mjane wa Dkt Magufuli (Mama Janeth Magufuli)

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.

IMG_9661.jpeg

WhatsApp Image 2023-11-05 at 18.13.43.jpeg
WhatsApp Image 2023-11-05 at 18.13.44.jpeg
 
Kila siku nasema hawa jamaa hawajui kula na vipofu...; Hakuna sababu ya ku-publicize neema wanayopata kwa watu ambao kesho yao hawana hata pensheni let alone wale wazee ambao mafao yao hata panadol hayanunui...

Alafu wanakuja watu kwa kuuza sura na kupeana cake ambayo wanasema haitoshi ila kwa wao wanajipa na makombo....

In short they are out of touch..., ndio maana wanadai mafao kwa kila mke wa kigogo

By the way simuongelei huyu mama per-se, bali muendelezo wa hii animal farm...
 
Back
Top Bottom