Acha wivu.Huko wanamchora. Awahi Lindi labda atapata za shemeji yake JK
Mkuu Imhotep, ninachokifurahia Sana kwenye nji yangu ni pale mtu huyohuyo anapoinuka kusema, Kampeni za mtu furani sitakwenda kabisa Kwa sababu Mimi ni kanda ya kisomi, sidanganyiki, ya nini kupoteza muda wangu?Uzuri anapoteza muda katika Mkoa unaojielewa Kilimanjaro hawadanganyiki
Wapi wameawahi? tukalinganishe maendeleo ya hizo sehemu.Magufuli kasema Kilimanjaro mmejichelewesha.
Hamna kitu hapo, wananchi waliwachoka siku nyingiYuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Hizo siasa nyepesi awadanganye Dodoma tu wasiojielewaMagufuli kasema Kilimanjaro mmejichelewesha.
Magu hakubaliki Kilimanjaro huko anapoteza muda aende Mtwara al shabaab wanamsubiri kwa hamuAcha wivu.
Anajichelewasha kwa kulinganisha na wapi kwa mfano? Siasa nyepesi hizo apeleke ChatoMagufuli kasema Kilimanjaro mmejichelewesha.
Rais wa Tanzania ni Tundu Lissu na wewe utampigia pamoja na familia yako yoteLingome linabomoka tofali kwa tofali.
Hao al shabaab wanajipanga kulifyatua lile chopa la kukodi la ufipa.Magu hakubaliki Kilimanjaro huko anapoteza muda aendeMtwara al shabaab wanamsubiri kwa hamu
Kuota mchana ni haki yako.Rais wa Tanzania ni Tundu Lissu na wewe utampigia pamoja na familia yako yote
Huko hakuna wa kuhongwa vitshirt na kubebwa kwenye malori,kampeni ya leo haina watu imepoa kama kichaa wa kafara.Yuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Mashangazi waliohidiwa kupigwa wanamsubiri wampokee kwa vifijo huku wale wakorosho wanamsubiri wampongeze kwa dhati.Mbona kusini haendi
Tatizo hilo mnakaa kushinda jamiiforums mnapiga mapambio hamjui kinachoendelea huko fieldSisi watu kutoka Moshi tunakuuliza "umeshawah kusikia tuna shida ya maji, barabara, umeme, hospital, au kukosa madarasa na madawati kwenye shule?
Kilimanjaro ina maendeleo bila CCM