Yes mkuu unarudi kabisa wanasayansi wanasema mtu ukikaa siku 40 tu bila kupiga punyeto unaanza kurudi ktk hali ya kawaida lkn hapa lazima uanze mazoezi ya viungo unywe maji mengi kula vitu vya Asili tumia tangawizi kitungu swaumu na ubadilishe muelekeo wa akili yako kwamba umepona na upo kama wanaume wengine namaanisha kujiamini kwa sababu punyeto ina madhara kwenye saikolojia sana nakutakia mafanikio mema.Wakuu hv akiacha anarudi kwenye hali ya kawaida. Maana tuko wengi
mkuu ulipata madhara gani mbona unatutisha ?Vita ya punyeto na picha za ngono inahitaji usajiri sana kuanzia kiakili paka ki mwili me nilikaaa mwaka mzima bila kupiga punyeto na nikarudia niliumia sana lakini nikakumbuka vita ni vita tu mapambano lazima yaendelee
Kitu cha kwanza ni kuangalia mazingira yanayokupelekea kupiga punyeto epukana nayo mapema sana na inahitaji dhamira ya dhati na punyeto ni hatari kuliko bangi wanazotumia mateja ya mwananyamala hii ni sawa na kutega bomu ndani ya chumba unacho lala...jamani ambao mnapiga punyeto muache madhara yaliyonipata ni makubwa sana.
Bdo cjajipanga kuoa
hahahahaHii suala limekua janga Taifa ni bora lijadiliwe Bungeni...