cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,867
nashangaa kwanini halipelekwi kujadiliwa kwa hati ya dharura bungeni linaelekea kuwa wimbihahahaa
nashangaa kwanini halipelekwi kujadiliwa kwa hati ya dharura bungeni linaelekea kuwa wimbihahahaa
Njia ni kuoa tuuJaman naomba kujua njia sahihi za kuacha kupiga punyeto
Taja madhara yaliyokukumba kijana usaidiwe na wataalamu hapaVita ya punyeto na picha za ngono inahitaji usajiri sana kuanzia kiakili paka ki mwili me nilikaaa mwaka mzima bila kupiga punyeto na nikarudia niliumia sana lakini nikakumbuka vita ni vita tu mapambano lazima yaendelee
Kitu cha kwanza ni kuangalia mazingira yanayokupelekea kupiga punyeto epukana nayo mapema sana na inahitaji dhamira ya dhati na punyeto ni hatari kuliko bangi wanazotumia mateja ya mwananyamala hii ni sawa na kutega bomu ndani ya chumba unacho lala...jamani ambao mnapiga punyeto muache madhara yaliyonipata ni makubwa sana.
Hayo ndo madhara yake ndugu, una mke lakini huenjoy mpaka upige nyeto, inamaana nyeto ndo inakufanya uenjoy kuliko papuchi ya my wife wako!!Haina madhara punyeto kaka ni faida tupu mi nna mke na nnapiga kwa wiki mara 3
Sasa hapa lowasa kuingia he? Wewe unasuuzwa nyuma na kumepwaya ndio maana hata comment zako zinapwaya. Wale UVCCM sio vijana
hahahahahaaaaaaaaWakuu hv akiacha anarudi kwenye hali ya kawaida. Maana tuko wengi
Angalia usiku usipige cha kulalia aisee. Sababu unaweza sema nafanya Leo tu kesho naacha
Hebu nitulie maana hapa sina Uzoefu napo
Pole sana ilo ni tatizo limewaathir weng na wamefikir halitibiki ...kwanza inahitaj subra kubwa pili zipo Dawa mchanganyiko na chakula zimewasaidia mamia wakijitibu wenyewe ....wasiliana nasi tulitatue tatizo hilo kwa uwezo wa mwenyez 0712770729Nilikutana nae chuo kwenye masomo ya degree ya pili, ni mwanaume mwenye umri miaka 30 (mimi 24). Ni kijana mtanashati, mcha Mungu mwenye upendo na malengo ya maisha. Safari yetu ya mahusiano ilianza baada ya masomo yetu kuisha.
Tulipoanza kukutana faragha ndipo nilipogundua kwamba ana tatizo la Erectile Dysfunction (jogoo hawiki), yani kama akiwika basi erection inakuwa very weak. Nikamuuliza nini tatizo, hakunificha akanielezea tatizo lake kwamba alikuwa anafanya sana masturbation toka yupo primary mpaka amemaliza chuo for about 15 years and it has affected him psychologically.
Naelewa jinsi gani being able to satisfy a partner is to a man na kama akishindwa inamuaffect kwa kiasi gani, so I understood his struggle basi nilimuelewa na akaniambia ni tatizo linatibika ila nikamshauri asijekujaribu short cuts za madawa ya waganga wa kienyeji just because of the pressure ya kupona haraka.
Nikaahidi kumpa muda na support alishughulikie tatizo lake (meaning abstaining from porn n masturbation) na alisema alivyoona madhara yake with his previous gf's akaanza kulishughulikia kama 2 years ago kabla ya sisi kuanza uhusiano tatizo linakuja kwamba sasa yapata miezi 9 naona tatizo bado lipo,, I play my part as a partner kumfanya mawazo yake yote yawe kwangu yani anione mimi desirable n apate proper erection instead of kuvuta hisia za porn.
Na pia tatizo jingine ni kuwa ameloose confidence kiasi kwamba ana doubt mapenzi yangu kwake, kwahiyo muda wote he questions my true feelings, jambo hili hunikera sana japo nimeshamueleza ila bado haachi, najaribu kumuelewa kwasababu yote hii ni a result of his ED problem.
Sasa wadau swali langu ni je, hili tatizo huwa linatumia muda gani kupona, yani mtu kuweza kurudia katika hali yake ya kawaida?? Na akiweza kurudia hali yake ya kawaida are the results permanent??
(This is a serious question) thanks in advance
Zipo Dawa za asili ambazo hata wew wazjua atapona akifata mashart na aache hayo mambo ..jaribu asal na mdalasini kwanza utaona maajabu yake pia mpikie chai ya tangawizi tu na sukar yake iwe asali utaona maajabuAkimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha
Mkuu Ulibadili VIP lifestyle.?Mimi mwenyewe nilikuwa napiga sana punyeto, nikaathirika kisaikolijia nikawa ndani ya dk tano tu wazungu hao!! Nikabadili life style sasa hivi shemeji na wifi yenu anaomba poo kila tukiwa na mechi!
Ni kweli umeeleza vyema nadhani ila uwe unatumia lugha ya kiswahili pekee,itapendeza na kuwasaidia wengi.kiswaenglish unaweza kukitumia na usiwasaidie wengi kwa kutokujua kwao lugha isiyo yaohapo mtazunguka sana ila matatizo ni mawili tu...jamaa atakuwa na psychological and spiritual problem....weka psychological problem pembeni...spiritual problem ndo ipo shidaa...hako kamchezo hawezi kaacha kama hatokuwa fit at this field...yaani hapo kuna evil spirits znamvuta kufanya hivyo..na shetan kashajua anapenda mchezo ndo anazidi kumkolezea..i dont want to go into details khsu hiyo field.
back to his brain...kuna chemical kwenye kila human brain inaitwa dopamine..bila hiyo sisi tungekuwa kama mazombie hatujielewi..hyo chemical inatumotivate kufanya vitu...so tangu alipoanza kamchezo amezidi kuichochea hyo chemical hadi leo...so amekuwa ana addiction kama vile mtu wa drugs,alcohol,even prostitution...zotee hizi zinachochewa na dopamine...he is looking for a reward,something precious,hyo ndo dop,
TIBA
1.he have to seek for divine help every day through praying
2.Aache kabisa kucheki pornography coz those videos and images ndo znamfanya afanye masturbation
3.ajaribu kubadilisha habit kama vile asome vitabu,achek movie,ila hyo habit iwe iina positive impact
4.afate balance diet..ale sana watermelon ili arudi kwenye perfomance
5.kuhusu inshu ya ED...chanzo kikubwa ni psychological problem,over 85% ya sababu ya ED ni hiyo..he must deal with that
6.N.B anaweza kukaa kwa miez bila kamchezo ila ataanguka siku moja,ila asijali aendelee kukaa katika imani na msimamo wa kukataa kamchezo...
sorry for my bad writing...hope this will be helpful to him