Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,589
Ahahahahahahahahahah!!!Wametakiwa wafike ofisni kwa ajili ya 'utaratibu mwingine'
Bila shaka ni kujaza fomu za kuchangia ile 1 million kwa kila mbunge wa viti maalum kwa Chama utaratibu ambao ulilalamikiwa sana na Wabunge wa viti maalum wa bunge lililopita