Mbowe ni Maarufu sana lakini alichemka mambo matatu; Kumleta Lowassa, Kutowashtaki COVID 19 na Maridhiano!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,978
141,994
Kama nilivyowahi kusema Freeman Mbowe Ndiye Mwenyekiti wa chama cha upinzani mwenye mafanikio zaidi hapa nchini

Lakini pamoja na mafanikio hayo mh Mbowe alijikwaa kwenye maeneo matatu kama Kiongozi na alikuwa mbinafsi zaidi

Mosi, kumtosa Dr Slaa Kienyeji na kumleta Mzee Lowassa RIP kugombea uRais

Pili, kutoiongoza Kamati Kuu na Baraza la Wadhamini kuwashtaki NEC baada ya Katibu mkuu mh Mnyika kuikana sahihi inayodaiwa kuwa yake kwenye Fomu ya Wabunge wa viti Maalum Halima Mdee na wenzake

Kuingia kwenye Maridhiano kibinafsi zaidi bila Baraka za awali za CC na kuyafanya majadiliano Yale kuwa Siri

Yote kwa yote Hakunaga mwanadamu aliyekamilika

Nawatakieni Juma Takatifu Lenye Baraka 😄😄
 
Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa akishirikiana na Askofu Gwajima , Mbowe kama wewe na mimi aliambiwa tu , Chama chochote cha siasa lengo kuu ni kuongeza wanachama kwa kadri iwezekanavyo na kwa mujibu wa Katiba ya Chadema kila mwanachama ana haki sawa ya kugombea chochote bila kujali muda wake ndani ya chama

Ndio maana Cecil Mwambe aligombea Uenyekiti wa Chadema na kujizolea kura 56 , huku Sumaye akichukua fomu na kuweka mpira kwapani baada ya kusoma alama za nyakati

Maridhiano haikuwa jambo baya , na kwa ufupi limewasaidia wananchi kujua malengo halisi ya ccm nyuma ya pazia .

Kuhusu Covid 19 pia umeboronga , huwezi kuwashitaki waliotimuliwa kwenye chama , Chadema ilishamalizana na hao wamama , mengi yamebaki kwa serikali na bunge linalowatumia kwa maslahi ya ccm

Kingine cha muhimu unachopaswa kukifahamu ni hiki , Chadema si sawa na ccm ambako Mwenyekiti ni mungu , Maamuzi yote yanayofanyika Chadema ni ya Kamati Kuu si maamuzi ya Mbowe , Yapo mambo ambayo Mbowe aliwahi kuyakataa , lakini kwa vile Kamati kuu iliamua hakuwa na ujanja zaidi ya kuunga mkono , hiyo ndio Demokrasia
 
Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa akishirikiana na Askofu Gwajima , Mbowe kama wewe na mimi aliambiwa tu , Chama chochote cha siasa lengo kuu ni kuongeza wanachama kwa kadri iwezekanavyo na kwa mujibu wa Katiba ya Chadema kila mwanachama ana haki sawa ya kugombea chochote bila kujali muda wake ndani ya chama

Ndio maana Cecil Mwambe aligombea Uenyekiti wa Chadema na kujizolea kura 56 , huku Sumaye akichukua fomu na kuweka mpira kwapani baada ya kusoma alama za nyakati

Maridhiano haikuwa jambo baya , na kwa ufupi limewasaidia wananchi kujua malengo halisi ya ccm nyuma ya pazia .

Kuhusu Covid 19 pia umeboronga , huwezi kuwashitaki waliotimuliwa kwenye chama , Chadema ilishamalizana na hao wamama , mengi yamebaki kwa serikali na bunge linalowatumia kwa maslahi ya ccm

Kingine cha muhimu unachopaswa kukifahamu ni hiki , Chadema si sawa na ccm ambako Mwenyekiti ni mungu , Maamuzi yote yanayofanyika Chadema ni ya Kamati Kuu si maamuzi ya Mbowe , Yapo mambo ambayo Mbowe aliwahi kuyakataa , lakini kwa vile Kamati kuu iliamua hakuwa na ujanja zaidi ya kuunga mkono , hiyo ndio Demokrasia
Kumpokea Lowassa hakukuwa tatizo, bali tatizo ni kumpa nafasi nyeti ya kugombea urais kwa njia ya mwendokasi, huku Lowassa akiwa sio muumini wa itikadi za cdm. Pale ndio nilipomtoa Mbowe maanani Hadi leo. Maridhiano toka awali ulikuwa ni utapeli wa wazi. Kwangu ni ngumu kuniambia kuwa Mbowe hakuna mambo kadhaa anajua kuhusu hao COVID-19.
 
Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa akishirikiana na Askofu Gwajima , Mbowe kama wewe na mimi aliambiwa tu , Chama chochote cha siasa lengo kuu ni kuongeza wanachama kwa kadri iwezekanavyo na kwa mujibu wa Katiba ya Chadema kila mwanachama ana haki sawa ya kugombea chochote bila kujali muda wake ndani ya chama

Ndio maana Cecil Mwambe aligombea Uenyekiti wa Chadema na kujizolea kura 56 , huku Sumaye akichukua fomu na kuweka mpira kwapani baada ya kusoma alama za nyakati

Maridhiano haikuwa jambo baya , na kwa ufupi limewasaidia wananchi kujua malengo halisi ya ccm nyuma ya pazia .

Kuhusu Covid 19 pia umeboronga , huwezi kuwashitaki waliotimuliwa kwenye chama , Chadema ilishamalizana na hao wamama , mengi yamebaki kwa serikali na bunge linalowatumia kwa maslahi ya ccm

Kingine cha muhimu unachopaswa kukifahamu ni hiki , Chadema si sawa na ccm ambako Mwenyekiti ni mungu , Maamuzi yote yanayofanyika Chadema ni ya Kamati Kuu si maamuzi ya Mbowe , Yapo mambo ambayo Mbowe aliwahi kuyakataa , lakini kwa vile Kamati kuu iliamua hakuwa na ujanja zaidi ya kuunga mkono , hiyo ndio Demokrasia
Kwa kumpoke ENL RIP Mbowe alirudisha nyuma Sana harakati za ukombozi ndiyo maana mpk Leo CCM hawawezi kumsikiliza Mbowe maana walishajua kuwa ni tapeli Tu hamna chochote anachotaka zaidi ya maslahi yake binafsi

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Kumpokea Lowassa kuliiinua chadema kuwa na wabunge kibao na kuongoza majiji kama Dar,Mwanza,Tanga,Arusha,Mbeya nk. Mjinga mjinga hawezi elewa atadhani nijambo dogo
Maridhiano hakwenda mwenyewe mjinga mjinga atahisi Mbowe alikuwa mwenyewe wakati ziliundwa tume za Cdm na Ccm.
Kuishtaki NEC kaishtaki wewe maana chama hakijapanga kuishtaki labda wewe!!
Kiufupi tuwe tunaweka pointi ambazo zinamashiko lasivyo tunalidhalilisha jukwaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom