Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Maswali yafuatayo yanapaswa kujibiwa na Mbowe/Mnyika:

1. Nani amepeleka Orodha ya Majina ya Wabunge wa Viti Maalum NEC?
2. Orodha hiyo imepelekwa kwa njia gani?
3. Kama msimamo wa chama na wa Katibu Mkuu ni kuwa Orodha haikupelekwa, walioapishwa jana walipatikanaje?
4. Hatua gani zinachukuliwa na CHADEMA ikiwa usaliti umetokea?
5. Ilikuwaje Nusrat Hanje aachiwe tu kutoka mahabusu na asubuhi yake aapishwe kuwa Mbunge wa Viti Maalum?
6. Nani yuko nyuma ya suitafahamu hii nzima ndani ya CHADEMA na anashughulikiwaje?
Jibu la maswali yote hayo Ni moja tu.CHADEMA NI MATAPELI WA SIASA TU,MASLAHI MBELE MENGINE BADAE.

WACHA TU WAPAMBANIE WAPATE UBUNGE WALIPE MIKONO YAO
 
Na hili ndio iliwapa heshima..... Kma Zitto na Kitila walitumiliwa je nani mwingine anafikia hadhi yao hadi avumiliwe.

Tuanze upya tu lakini option ni either wajiuzulu au watimuliwe. Watarudisha imani ya wananchi otherwise watajizika rasmi.
Huu mchezo nia yake, kwa kauli ya Mnyika (Katibu Mkuu), ni kuilaumu Serikali kama ambavyo wamekuwa wakilaumu Madiwani na Wabunge wakihama.

Kama watawafukuza, kitendo ambacho sitegemei, nguvu ya wanawake itakiua chama, kwa maana kuwa wanawake kwenye chama wanawadharaulika.
 
CHADEMA mchakato wa viti maalumu ni mbovu! Unaruhusu wanaume wakware kuingiza vimada wao bila hata kushindanishwa na wenye uwezo. Sasa mumepigwa bao la kisigino!
 
Maswali yafuatayo yanapaswa kujibiwa na Mbowe/Mnyika:

1. Nani amepeleka Orodha ya Majina ya Wabunge wa Viti Maalum NEC?
2. Orodha hiyo imepelekwa kwa njia gani?
3. Kama msimamo wa chama na wa Katibu Mkuu ni kuwa Orodha haikupelekwa, walioapishwa jana walipatikanaje?
4. Hatua gani zinachukuliwa na CHADEMA ikiwa usaliti umetokea?
5. Ilikuwaje Nusrat Hanje aachiwe tu kutoka mahabusu na asubuhi yake aapishwe kuwa Mbunge wa Viti Maalum?
6. Nani yuko nyuma ya suitafahamu hii nzima ndani ya CHADEMA na anashughulikiwaje?
Jiwe unalishughulikuaje?
 
Sasa hapo serikali imefanya mchezo mchafu gani? Nyinyi si ndo mlikuwa mnasifia bavicha na halima, saivi mnataka kutuaminisha Halima na wenzie wamenunuliwa pia, hii inadhihilisha hata wale waliounga juhudi mapema hawakununuliwa, Kama mtaendelea hivyo mjue uchaguzi wa 2025 itakuwa more than disaster kwenu
CHAMA CHENU KIMEPOTEZA IMANI
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA anazungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mchakato wa wabunge wa Viti Maalum ambao wameapisha siku ya jana tarehe Novemba 24, 2020.

Tumewaita kuwaeleza kwamba CHADEMA hakijateua wabunge wa viti maalum wala hakijawasilisha orodha yoyote Tume ya Uchaguzi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum

Mimi kama Katibu Mkuu wa Chama sikuwahi kujaza fomu yoyote, kumthibitisha mtu yeyote mahali popote, kilichofanyika ni biashara haramu ya kugushi iliyohusisha mfumo wa kiserikali.

Mawasiliano yangu ya mwisho na Tume ya Uchaguzi zilikuwa ni barua 2, Nov 9 , niliiandika baada ya Mkurugenzi wa NEC kunukuliwa na vyombo vya habari kwamba CHADEMA imewasilisha orodha ya wabunge wa viti maalum na yeye amekwishaipeleka bungen

Kwa katiba ya CHADEMA mamlaka ya uteuzi wa wabunge yako kwa kamati kuu ya chama, na kamati kuu ya chama haijawahi kufanya kikao cha uteuzi wa majina ya wabunge wa viti maalum na mimi Katibu Mkuu sijawahi kuwasilisha orodha yoyote

Katibu Mkuu, John Mnyika amewataka wabunge wote walioapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum kufika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama siku ya Novemba 27, saa mbili asubuhi bila kukosa kwa ajili ya utaratibu mwingine.

Mwanachama wetu aliyekuwa na kesi ya jinai ya kubambikiwa kwa muda mrefu Nusrat Hanje alitolewa gerezani tarehe 23 Novemba na mfumo ili watimize adhma yao.

Katibu Mkuu amesema kwamba wabunge wote walioapishwa Novemba 24 wamewekwa na mfumo na hawana baraka za chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Kauli iliyotolewa jana na kumhusisha Mwenyekiti, Freeman Mbowe haina ukweli. Mbowe ataongoza kamati kuu na itawasikiliza wahusika. Kati ya walioapishwa kuna wajumbe wa kamati kuu wanafahamu uteuzi haukufanyika na wanajua wameshiriki biashara haramu
Sasa serikali kama hii ya CCM tutaamini vipi, inafanya vitu fake kama hiki kitu. Walichapaisha kura feki, kila kitu ni fraud. Hivi kwenye international community hadithi kama hizi zikisimuliwa nani ataamini hizi serikali za CCM? Education fake, watu fake, what is real in Tanzania.

Laaaaaanaaaaaaaaaaaa
 
Chama sio biashara binafsi. Huwezi kufukuza watu kwenye chama kwa kigezo cha hisia tu.

Chadema haina hoja ya kupinga matokeo ya uchaguzi na kuzuia wabunge kufanya kazi yao.

Kisheria huwezi kumfukuza mtu kwenye Chama kama anatimiza wajibu wake wa kikatiba.

Wakifanya hivyo, basi litaamuliwa mahakamani. Mahakama huangalia maslahi mapana ya taifa.
Wewe ni mpumbavu hivi huu upumbavu utawapeleka wapi muda ukifika utajijua kuwa ni mpumbavu tu.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA anazungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mchakato wa wabunge wa Viti Maalum ambao wameapisha siku ya jana tarehe Novemba 24, 2020.

Tumewaita kuwaeleza kwamba CHADEMA hakijateua wabunge wa viti maalum wala hakijawasilisha orodha yoyote Tume ya Uchaguzi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum

Mimi kama Katibu Mkuu wa Chama sikuwahi kujaza fomu yoyote, kumthibitisha mtu yeyote mahali popote, kilichofanyika ni biashara haramu ya kugushi iliyohusisha mfumo wa kiserikali.

Mawasiliano yangu ya mwisho na Tume ya Uchaguzi zilikuwa ni barua 2, Nov 9 , niliiandika baada ya Mkurugenzi wa NEC kunukuliwa na vyombo vya habari kwamba CHADEMA imewasilisha orodha ya wabunge wa viti maalum na yeye amekwishaipeleka bungen

Kwa katiba ya CHADEMA mamlaka ya uteuzi wa wabunge yako kwa kamati kuu ya chama, na kamati kuu ya chama haijawahi kufanya kikao cha uteuzi wa majina ya wabunge wa viti maalum na mimi Katibu Mkuu sijawahi kuwasilisha orodha yoyote

Katibu Mkuu, John Mnyika amewataka wabunge wote walioapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum kufika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama siku ya Novemba 27, saa mbili asubuhi bila kukosa kwa ajili ya utaratibu mwingine.

Mwanachama wetu aliyekuwa na kesi ya jinai ya kubambikiwa kwa muda mrefu Nusrat Hanje alitolewa gerezani tarehe 23 Novemba na mfumo ili watimize adhma yao.

Katibu Mkuu amesema kwamba wabunge wote walioapishwa Novemba 24 wamewekwa na mfumo na hawana baraka za chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Kauli iliyotolewa jana na kumhusisha Mwenyekiti, Freeman Mbowe haina ukweli. Mbowe ataongoza kamati kuu na itawasikiliza wahusika. Kati ya walioapishwa kuna wajumbe wa kamati kuu wanafahamu uteuzi haukufanyika na wanajua wameshiriki biashara haramu
Kwa nini asubiri mpaka wafike? Wangapi chama kimewachukulia hatua na hataa kuwafukuza bila ya kuwaita hawa wana nini?
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA anazungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mchakato wa wabunge wa Viti Maalum ambao wameapisha siku ya jana tarehe Novemba 24, 2020.

Tumewaita kuwaeleza kwamba CHADEMA hakijateua wabunge wa viti maalum wala hakijawasilisha orodha yoyote Tume ya Uchaguzi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum

Mimi kama Katibu Mkuu wa Chama sikuwahi kujaza fomu yoyote, kumthibitisha mtu yeyote mahali popote, kilichofanyika ni biashara haramu ya kugushi iliyohusisha mfumo wa kiserikali.

Mawasiliano yangu ya mwisho na Tume ya Uchaguzi zilikuwa ni barua 2, Nov 9 , niliiandika baada ya Mkurugenzi wa NEC kunukuliwa na vyombo vya habari kwamba CHADEMA imewasilisha orodha ya wabunge wa viti maalum na yeye amekwishaipeleka bungen

Kwa katiba ya CHADEMA mamlaka ya uteuzi wa wabunge yako kwa kamati kuu ya chama, na kamati kuu ya chama haijawahi kufanya kikao cha uteuzi wa majina ya wabunge wa viti maalum na mimi Katibu Mkuu sijawahi kuwasilisha orodha yoyote

Katibu Mkuu, John Mnyika amewataka wabunge wote walioapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum kufika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama siku ya Novemba 27, saa mbili asubuhi bila kukosa kwa ajili ya utaratibu mwingine.

Mwanachama wetu aliyekuwa na kesi ya jinai ya kubambikiwa kwa muda mrefu Nusrat Hanje alitolewa gerezani tarehe 23 Novemba na mfumo ili watimize adhma yao.

Katibu Mkuu amesema kwamba wabunge wote walioapishwa Novemba 24 wamewekwa na mfumo na hawana baraka za chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Kauli iliyotolewa jana na kumhusisha Mwenyekiti, Freeman Mbowe haina ukweli. Mbowe ataongoza kamati kuu na itawasikiliza wahusika. Kati ya walioapishwa kuna wajumbe wa kamati kuu wanafahamu uteuzi haukufanyika na wanajua wameshiriki biashara haramu
Hakuna mtu Anabishana na Serikali au anataka kuikomoa serikali na akafanikiwa

Wale wabunge wote wataendelea kwenda bungeni kama kawaida kwa miaka yote 5 na baada ya hapo watakuwa wameshajipanga kuishi bila chadema

Na mwisho wa siku 2025 chadema haitopata hata diwan mmoja
 
Maswali yafuatayo yanapaswa kujibiwa na Mbowe/Mnyika:

1. Nani amepeleka Orodha ya Majina ya Wabunge wa Viti Maalum NEC?
2. Orodha hiyo imepelekwa kwa njia gani?
3. Kama msimamo wa chama na wa Katibu Mkuu ni kuwa Orodha haikupelekwa, walioapishwa jana walipatikanaje?
4. Hatua gani zinachukuliwa na CHADEMA ikiwa usaliti umetokea?
5. Ilikuwaje Nusrat Hanje aachiwe tu kutoka mahabusu na asubuhi yake aapishwe kuwa Mbunge wa Viti Maalum?
6. Nani yuko nyuma ya suitafahamu hii nzima ndani ya CHADEMA na anashughulikiwaje?
Utasubiri sana majibu. Hapo ndio utajua Mnyika anapiga kiswahili tuu
 
Sasa serikali kama hii ya CCM tutaamini vipi, inafanya vitu fake kama hiki kitu. Walichapaisha kura feki, kila kitu ni fraud. Hivi kwenye international community hadithi kama hizi zikisimuliwa nani ataamini hizi serikali za CCM? Education fake, watu fake, what is real in Tanzania.

Laaaaaanaaaaaaaaaaaa
Kwa hiyo akina Mdee wamekubali kufanywa feki? Shukurani zao za jana kwa chama kuwateua ni feki. Kama ni feki si wajiondoe kwa nini wasingoje kuitwa.
 
Jibu la maswali yote hayo Ni moja tu.CHADEMA NI MATAPELI WA SIASA TU,MASLAHI MBELE MENGINE BADAE.

WACHA TU WAPAMBANIE WAPATE UBUNGE WALIPE MIKONO YAO
Kwahiyo kwa akili zako CHADEMA wanaweza kumtoa mtu aliyekuwa mahabusu na kumfanya akaapishwe kuwa mbunge?! Hivi hata hapo napo unatakiwa kupelekwa shule kujua hujuma mzima ina mkono wa serikali ili hatimae wapate kuhalalisha udhalimu waliofanya kwenye uchaguzi?
 
Back
Top Bottom