Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Sijui CHADEMA ndio waliokuwa na mamlaka ya kufanya yote haya!!
CCM ni kansa katika hii nchiJaji mteule!
Ndiyo amewaachia shida kina Ndugai ,hawajui la kufanya.Ila Jiwe alikuwa anajiamini sana sijui kwa sababu alikuwa anajua hana siku mingi za kuishi
Ndiyo maana MUNGU alimchukua mapemaIla Jiwe alikuwa anajiamini sana sijui kwa sababu alikuwa anajua hana siku mingi za kuishi