ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,634
- 2,460
Asante kwa ushauri wako mkuu na option bora ndo huwa zinatuua mara zote.Ashomile ndugu usijaririri,mpira hauchezwi kwenye makaratasi
Karibuni tu Barcelona kachapwa na Celta Vigo,Bayern akachapwa na Mainz.
Sasa any option ni sahihi kwa alieiweka