Kabisa mkuuHuyu Tunisia ni sawa na mbwa mwenziwe Cameroon tu.
Kabisa mkuuHuyu Tunisia ni sawa na mbwa mwenziwe Cameroon tu.
Yaan nimeshindwa kuelewa Tunisia nalo chovu kweli kweli match 3 zote linadraw!!.Sitawasahau hawa makondoo mawili. Cameroon na Tunisia. Yameshindwa hata over 0.5 mechi nzima. Nacho ki-Mauritania kinakomaa sijui kinatafuta nini kishenzi tu.
Tumevunwa.Siku ya leo daaah
Hawapo hewani sijui washasepa maana jana walianza kubadil namba ya kudeposit,na ukideposit kwa voda sasa wanakata kias kidogo si bure tena, wakaweka kodi 20% ingawa inarud kama bonus. Haya leo hawapoJaman awa betpawa ni mimi peke angu ndo siwapat au kotekote?
Hawapo hewani sijui washasepa maana jana walianza kubadil namba ya kudeposit,na ukideposit kwa voda sasa wanakata kias kidogo si bure tena, wakaweka kodi 20% ingawa inarud kama bonus. Haya leo hawapo
Habari za humu ndani wadau?
Flashscore, BetPawa & 1xBet wamekuwaje leo? ...
Betpawa wenyewe sitw yao haifungukivipi jackpot ya bet pawa leo wadau..mnaionaje
SiteBetpawa wenyewe sitw yao haifunguki
Site