keikiu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 2,333
- 1,968
Ninasahihisha BET LOST, sikuangalia vizuri.BET WON.... Leo ilikuwa siku ya neema kwangu.... Kila mkeka niliouweka umetiki... Kwa aliyenifollow furahia mpunga.
BET WON
Ninasahihisha BET LOST, sikuangalia vizuri.BET WON.... Leo ilikuwa siku ya neema kwangu.... Kila mkeka niliouweka umetiki... Kwa aliyenifollow furahia mpunga.
BET WON
Hii ya mkuu KONCHO kweli imeshinda.thubuuuuuutuuuuuuu
hahahaha ... na mm nimewafuata hao. Liwalo na liwe.
BIG up sana Chief ... mm nlivurugwa siku ya kwanza tu. Ila ni 'kaplan' flan amaizing sn
BIG up sana Chief ... mm nlivurugwa siku ya kwanza tu. Ila ni 'kaplan' flan amaizing sn
naomba kusaidiwa hako kaplan, hali ni mbayaaaaaaaaaa!!, hebu angalia unihurumie,.BIG up sana Chief ... mm nlivurugwa siku ya kwanza tu. Ila ni 'kaplan' flan amaizing sn
Mzee haya mambo bana dah!
Cavs kalambishwa mchanga, San Antonio anakalishwa, Clippers anakaa, Lakers kinanuka, Houston kinanuka pia.
Yaani hakuna hata moja iliyokubali kwenye prediction zangu. Zote ni red.
Tunajaribu tena ...
Liverpool FC - Leeds Utd
Liverpool FC
1.31
X
Dijon Fco - AS Monaco
AS Monaco
1.62
X
Valenciennes FC - Gazelec Ajaccio
Over 1.5 goals
1.48
X
Turin FC - SC Pisa
FC Torino
1.24
X
Sheffield United - Walsall FC
Sheffield United
1.41
X
FC Lorient - Stade Rennes
X/2
1.53
X
Stake:
Odds: 8.40
Dah biashara ngumu daily hasara
Tupeni maujanja nasisi wakuu hako ni kamchezo gani etiiIla mambo yakimyooka ndani ta aiku saba unapiga sio chini ya 9000 usd
Sio Sheffield pekee hata porto ka toka 0 -0Sheffield United
Mzee haya mambo bana dah!
Cavs kalambishwa mchanga, San Antonio anakalishwa, Clippers anakaa, Lakers kinanuka, Houston kinanuka pia.
Yaani hakuna hata moja iliyokubali kwenye prediction zangu. Zote ni red.
Mkuu uwe unadandia mikeka ya WATU wanaobutuanaomba kusaidiwa hako kaplan, hali ni mbayaaaaaaaaaa!!, hebu angalia unihurumie,.
Ni wapi wanalipa kwa dollar MKUU?Ila mambo yakimyooka ndani ta aiku saba unapiga sio chini ya 9000 usd