john agrey
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 1,280
- 2,079
0672641896
0714140229
0672641896
Oya wekeni namba za simu niwaunge kwenye group la WhatsApp la betting. Kwa wale ambao wapo willing
1.4 iko powa mkuu usiwatishe wadau ila mbaya ni 1.46 hii point ni hatariii ila ni kwa mbet tuTujihadharali na point 1.4 huwa ni mbaya sana..kama jana galatasary kaminyima hela..hata arsenal alipocheza na norwich naye alininyima hela so point hizo huwa ni risk sana
Manueli24...... ivi iyo ni kampuni gan mkuu naona lina option muruaaa
I BELIVE IN THIS
Gent win
Valencia win
Bayern Leverkusen win
Chelsea win
Olimpiacos win
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k GG (maana yake tim zote zifungane).. GGGG ( tim zote zifungane kila kipindi) 2+ (katika mechi yote yapatikane magoli kuanzia mawili)... I 2+ (kipindi cha kwanza yapatikane magoli kuanzia mawli)... II2+ (kipindi cha pili yapatikane magoli kuanzia mawili).... H2+ (tim ya nyumbani ipate magoli kuanzia mawili)... A2+ (timu ya ugenini ipate magoli kuanzia mawili)...
Ndivyo niliyo ota ndoto yakweli