We ndio mchaw na mzinzi kbsa hulet odds unaleta mikeka ulioshinda mzee huon unatubemenda!? Enewei naomb buku 5 mzee nistake na mm nkshnda nakurdshia 10kRomano ana ujasiri lakiniView attachment 2673966
Mkuu usiforce incosistence unaongeza odds hadi inakuwa kama tamaa kuna game nzuri tu punguza game za roll over na ukitaka ku roll vyema huwa ni moja au mbili.
Cheza game moja moja ata kwa mwezi mzima game
Ukiweza tengeneza odd zenye interval ya up and down sio kila siku utapata odd mbili tatu n.k
Anza 1.2 mpaka 2 ikiwa siku iko poa
Anza na laki moja au 50k
Roll over rule
-Epuka tamaa
-Sio kila siku unabeti hatakama ni roll over ya siku kumi unaweza icheza ndani ya mwezi mzima ndo unapata safe 10 days
-Kuwa mvumilivu usione inachelewa
Kinyume na hapo cheza tren
We mzee una akil sana upewe mkataba wa bandari uupitieMkuu usiforce incosistence unaongeza odds hadi inakuwa kama tamaa kuna game nzuri tu punguza game za roll over na ukitaka ku roll vyema huwa ni moja au mbili.
Cheza game moja moja ata kwa mwezi mzima game
Ukiweza tengeneza odd zenye interval ya up and down sio kila siku utapata odd mbili tatu n.k
Anza 1.2 mpaka 2 ikiwa siku iko poa
Anza na laki moja au 50k
Roll over rule
-Epuka tamaa
-Sio kila siku unabeti hatakama ni roll over ya siku kumi unaweza icheza ndani ya mwezi mzima ndo unapata safe 10 days
-Kuwa mvumilivu usione inachelewa
Kinyume na hapo cheza tren
Unatumia source gan kuchambua hiz basketballPale unapojikuta the only last team....imeangukia markets 1 kwa code zote tatu!....
na cashout imefungwa....!
But Aussie.... haijawahi niangusha
Mkuu hizi ni live play au?Hii ni recodi jana usiku nikiwa kwenye ban ya jf View attachment 2674131
Kagongwe hukoWe ndio mchaw na mzinzi kbsa hulet odds unaleta mikeka ulioshinda mzee huon unatubemenda!? Enewei naomb buku 5 mzee nistake na mm nkshnda nakurdshia 10k
Shoga wew unaliwa na juma lokoleKagongwe huko
Nyingine ni live pia msetoMkuu hizi ni live play au?
Live aziwezi kuwa na odd kubwa hivyo kama ukidandia timu zilizo fungana kama hivyo ila mara nyingi nikicheza live huwa naangalia B position ndani ya dk 20 za kwanza ndiyo zinanipa mwongozo wa nibet namna ganiMkuu hizi ni live play au?
Mkuu nimeona BETGEN anafanya VIP ya 2 odd na imelost for one day kwa mwezi juu wa sita...vipi jamaa ni valid au kanjanja tuu?Wale wa BETGEN mnafaidi sana.
jamaa akiomba over 2.5 mi naomba over 1.5 bas
naiona nafuu kubwa sana bas tu tamaa zangu kujikuta gwiji naongeza matim ya kifwala🥵🥵
View attachment 2672326View attachment 2672327View attachment 2672328
One month ni Dola 40,miezi miwili ni 50 dollars.Nimetoka kuchat na muhusika,Niko najitafakar either nijilipue au la.Mkuu nimeona BETGEN anafanya VIP ya 2 odd na imelost for one day kwa mwezi juu wa sita...vipi jamaa ni valid au kanjanja tuu?
Jilipue mkuu alafu uniletee mrejesho,....kama ni genuine nitakurudishia nusu bei ili uwe unanipa odd......One month ni Dola 40,miezi miwili ni 50 dollars.Nimetoka kuchat na muhusika,Niko najitafakar either nijilipue au la.
Nahitaji mtaalam wa kunitengenezea odds 15 Hadi 18 TU Kwa mechi za kuanzia mwezi wa Saba tarehe 10 Hadi tarehe 20 ya mwezi wa nane. Kwa yoyote ambae atakuwa tayari anipm tuongee biashara.
Nipo hapa mkuuuNahitaji mtaalam wa kunitengenezea odds 15 Hadi 18 TU Kwa mechi za kuanzia mwezi wa Saba tarehe 10 Hadi tarehe 20 ya mwezi wa nane. Kwa yoyote ambae atakuwa tayari anipm tuongee biashara.
koba lee jilipue tu halafu tuunde group la mtu kumi tutairudisha hio hela.Jilipue mkuu alafu uniletee mrejesho,....kama ni genuine nitakurudishia nusu bei ili uwe unanipa odd......