Noted chiefMkuu Prof,
Kama ni "stake" kwa maana ya dau nadhani unaweza kuificha kwa sababu ina_make sense kwenye suala la privacy ya mcheza kamari.
Lakini kama unazo "sure odds" na unajisikia ku_share, hata kama ni mkeka wa timu 20 sidhani kama kuuficha huo mkeka ambao hauonyeshi dau inaleta maana yoyote, sana sana naona ni imani potofu tu ambazo hazibadilishi hata matokeo ya mechi.
Ni fikra zangu tu.
Kulikoni mkuu?Haya sasa wale wa 1xbet na laini za safaricom kazi wanayo!!!
Hao ni wachawiKuna watu wamenifata pm wanasema sio vizur kuonyesha stake... wanashauri niwe naficha... well noted
Funguka mkuu kuna nini?Haya sasa wale wa 1xbet na laini za safaricom kazi wanayo!!!
Ingia bbc mkuu au gusa link nilioiweka hapo kupata habar kamiliFunguka mkuu kuna nini?
Pesa hii mkuuI can win 14K TZS at betPawa.co.tz, join now and win with me! https://www.betpawa.co.tz/share-30b709295
Haha kumbe na wewe ulifatlia kama mimi!!Hongera sana
Kwani tatizo nini mkuu mi naona ni inspiration tuKuna watu wamenifata pm wanasema sio vizur kuonyesha stake... wanashauri niwe naficha... well noted
Jaribu kurefresh balance mkuuMwenye namba ya huduma Kwa wateja meridian bet naona pesa yangu niliyodeposit imekataa kusoma kwenye account