Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

kama mnashirikiana mpaka mate na baioloji , kwanini mshindwe kushirikiana simu?, aaaaargh kuna samthing bihaind the scene. mimi simu langu hata jirani namuachia , i hev nathing tu warri.

hahahah nimeipenda hii wewe dawa ya maralia

mesenja kaleta balaa nyumbani kwa boss
 
Kweli mkuu coz kama mtu anajituma kwa kiasi unachokitaka, ana ku care vizuri, heshima mbele, kama hivyo sisi simu zetu tuna share na sijawahi suspect anaything bad au kuona, basi hata kama anafanya ni mpaka nimkute na awe proved guilty otherwise mambo ya ku guess unajiharibia maisha mwenyewe na watoto wako

unataka mpaka ushuhudie mwenyewe kwa mimacho yako miwili! mweh! utajining'iniza buree?
 
unataka mpaka ushuhudie mwenyewe kwa mimacho yako miwili! mweh! utajining'iniza buree?

Bwana Zegere kila mtu anamjua mtu wake, so kama hana tabia hiyo hakuna haja ya mtu kushoboka bureee
 
Bwana Zegere kila mtu anamjua mtu wake, so kama hana tabia hiyo hakuna haja ya mtu kushoboka bureee

Na hii ndio inayonifanyaga nijisikie vibaya sana pale mwenzangu anapokazana kunishuku ndivyo sivyo ahgrrrrrrr
 
simu ni noma sana...
juzi nilibanwa konani mpaka nikabadilisha namba....
nikiongea na watu wengine tu ni kosa 'darling unaongea na nani' etc
oooh darling kila wakati unaongea na watu ni akina nani hao?
Taabu kweli kweli...
 
simu ni noma sana...
juzi nilibanwa konani mpaka nikabadilisha namba....
nikiongea na watu wengine tu ni kosa 'darling unaongea na nani' etc
oooh darling kila wakati unaongea na watu ni akina nani hao?
Taabu kweli kweli...
sasa si umwambie hao ni akina nani? au ndio unamzunguka mwenzio? hii tabia ya kutoka nje ya ndoa itaisha kweli? mbona mnatutisha sie tuliokuwa bado? tutaoa kweli? ni bora nizae nae tu nilee mtoto,kwishnei
 
Imewahi kukutokea hii,
Unachukua simu yako, unaandika sms ili uweze kuituma kwa nyumba ndogo/GF au mwanaume wako wa pembeni tofauti na mmeo/BF!sms hiyo umeiandika kwa maneno matamu na yenye ladha ya kimapenzi kabisa pengine hata mkeo/mmeo hujawahi kumwambia hivyo! Hamad! unajikuta sms inakwenda kwa mkeo/mmeo/BF au GF.

Jamani,wana JF hapo utachukua hatua gani?

Yaliyojadiliwa katika huu uzi:-

Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.

Mamboz wana JF??

Nauliza swali jamani,Inakuwaje upo na mkeo sumwhre faragha mnatalk nae wakati huohuo yupo bizzy na simu anachat muda wote!!!!

Utachukua uamuzi gani??!!

Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?

Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Dear Hny
sorry leo sitoweza kuja niko kwenye period jamani alafu si unajua na hasira zangu sijui hata kutakalika nikija
mbona ukunjulisha mapema kabla ya kuchukua chumba..sorry again
luv u

Niliwahi kuwa na mahusiano ya muda mfupi na binti mmoja hivi yapata mwaka sasa umepita. Na tangu wakati huo tumekuwa na mawasiliano ya mbali sana yaani tunaweza kuwasiliana mara moja baada ya miezi kadhaa, sasa jana ilikuwa moja ya siku hizo na ndipo stori inapoanzia,

Nilipokea simu mchana kutoka kwa huyu binti akidai alitaka kunipa hi tu, tukaongea kidogo na nikaahidi kwamba nikipata nafasi nitamtembelea siku moja. Usiku nikiwa tayari nimeshalala nikapokea simu tena kutoka kwa huyu binti na akaniuliza kama nilikuwa nimeshalala nikamjibu ndio akanitakia usiku mwema akakata simu.

Baada ya muda nikapokea tena simu ikitokea kwenye namba ya huyo binti tena ila nikaamka nikaipokea ila sasa sauti ikatoka ya kiume, sauti hiyo ikaniuliza kama nilikuwa namfahamu huyo binti (ikitaja jina lake) nikamjibu ndio akaniuliza ni nani kwangu nikamjibu huo ulikuwa usiku mwingi sana na sikuwa kwenye mood ya kujibu maswali ya aina hiyo, nikakata simu.

Baada ya dakika kadhaa simu yangu nyingine ikaita tena na nilipopokea nikakuta ni yule yule bwana na ananiuliza maswali yaleyale, Ah i got mad...........................................................

Naomba kuapata ushauri kwenye hili jambo ambalo mpaka sasa linanitatiza sana,katika maisha ya ndoa naamini kuwa hamna siri baina ya wanandoa,lakini inapokuja kwenye swala la simu,nakubali kwamba simu ni privacy ya mtu lakini inapokuja pale ukagundua kuwa mkeo anatumia simu mbili na hiyo moja huwa anaiacha ofisini na alikuwa akificha usiijue hiyo namba,anaitumia akiwa ofisini tu muda wa kurdi nyumbani ukifika anaizima na kuiacha ofisni.Je hii inaleta picha gani?

Ni siku ambayo sitoweza kuisahau pale nilipokuwa a mpenzi wangu kisha Girl wangu wa Zamani ambaye tuliachana miezi ninne iliyopita ikiwa pia ni miezi miwili tu tangu kuwa na mpezi wangu huyo,yule x-Girl wangu alipopiga simu na kwa lengo la kunijulia hali kwani hatukuwa tumeachana kwa ugomvi, lakini Girl wangu mpya alianza kuhoji baada ya malumbano ya muda mrefu akafikia uamuzi wa kumpigia simu.

Ndipo balaa likaanza huku akiwa ameweka sauti ya nje (loud speaker) mambo yalikuwa hivi:-

New one: Unampigia simu kwani ni nani wako
X-Girl: Muulize mwenyewe ananijua kama wewe ndo unakula mimi nimeshakinai
New one:sasa kama umekinai kwanini unaendelea si utatapika?
X-Girl: jamii itakucheka wewe unachimba shimo kwa kidole?
New one:unamaanisha nini wacha kuongea mafumbo
X-Girl: Bwana kwa mwanaume gani huyo ana uume ndogo kama kidole cha mwisho?
New one:kwani kipindi uko nae hukuuona?
X-Girl:Nilikuwa nakula pesa tu na kama nawe uko kwa ajlil hiyo sema nikupe mbinu?
New one:mbinu ya nini mimi nafurahia penzi kwa raha zangu
X-Girl:hakuna penzi hapo hajui kitu na kaduke kenyewe kanatoka toka mimi nilikuwa nampa moyo kisha nakwenda kwingine ku...
hata yeye mwenyewe nilishawahi kumwambia na kanifumania mara kibao,nimempatia dawa hadi za kichina hakuna kitu hapo.

kwa kweli wana jf nilijisikia vibaya sana nikaamua kumpokonya yule binti simu kisha. binti akatoka nje baada ya dakika chache akaingia na kuanza kunipa moyo. Lakini hadi leo wakati wa utamu najihisi vibaya.
icon6.png

WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha

Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?

Jamani mpenzi wangu wa kike amenisevu jina la kike kama Khalima.

Nimegundua hili nilipomwomba simu yake nijibeep ili kuona kama ringtone kwenye simu yangu mpya umefanikiwa.

Sijapata jibu,nini tafsiri yaye kunifanyia hivyo!

Mnifungue jamani kimawazo.

Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.

tujadili

Wadau nimerudi tena baada ya kimya kirefu kiasi..
Hili limenitokea naombeni maoni yenu.
Baada ya pilikapilika za shughuli Juzi,nkajilaza na nikaamka mida ya saa sita usiku kuupigia simu ubavu wangu wa pili.
Tukaongea vizuri tu,lakini ghafla nkaambiwa subiri,simu ikakatwa. Nikapiga tena,simu yake iko bize,tena na tena naambiwa waiting hatimaye nkachoka. Nkatuma msg ifuatayo.
"si umeamua kutupanga,na katika list mi sina umuhimu,usintafute tena"
Kisha nkazima simu. Asubuhi nkakuta msg amejibu hivi;
"kama unahisi nimewapanga poa hamna shida ila nlikua naongea na mtu kuhusu mchongo wa ajira"

Kiukweli sijajibu kwa sababu zifuatazo.
1.mchongo wa kazi wanajadili usiku wote huo?
2 na si mara ya kwanza kitu km hicho kutokea na nlishamkanya awe na mipaka ya kuongea na watu baki usiku

Basi sijajibu msg ile mpk sasa.Na kila akipiga sipokei. Leo kanitumia msg hii hapa.
"kuchuniwa raha we acha tu,ukipiga simu haipokelewi,text hazijibiwi,mbona watu watakoma mwaka huu?"

Sijajibu msg hii.Na mpk sasa namwona mzushi ananicheat. Je wewe unaonaje? Ungekua ww ungefanyaje?

Habari zenu wanaJf. Mtazamo wangu na wa-Beijing hawa nitofauti kabisa..! Unasemaje kuhusu hili? Leo nimekuta kundi la wa-Beijing fulani wanaponda sana, eti kisa kuna boyfriend/mister wa mwenzao ka-beep simu ya dame/wife wake. Madai yao ni kwamba eti ni aibu kwa mwanaume ku-beep simu ya mwanamke. Mtazamo wangu ni kwamba mtu mwenye mawazo ya aina hii ni mjinga. Mimi nimeoa mwanamke ambae before alikuwa ni gf wangu. Nilipokuwa nahitaji kuongea nae wakati simu yangu haina salio nilikua nam-beep na alikuwa ananipigia. Sasahivi ni ni mke wangu na ananipenda na kuniheshimu. Aibu iko wapi?

Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.

Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.

Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!

Ni hayo kwa leo!

Wasalaaam!

Hvi jamani ni muhimu kuchukua simu ya mpenzi wako ili kujua kunanini kwenye inbox kama ishara ya mapenzi ya kweli kwa mpenzio au ni ujinga na ulimbukeni kwenye mapenzi sababu kuna hili limetokea.

kuna jamaa mmoja alichukua simu ya mpenzi wake akakuta mpenzi wake anapongezwa kwa kuweza kumkuna jamaa kisawasawa mchana wa siku hyo. Jamaa alipojalibu kumshilikisha mpenzi wake jibu lilikua hili "mbona mi jana nilikuta sms ya demu wako mwingine tena akikwambia kashafika gesti anakusubili wewe tu tena anahamu na wewe sana" ila mimi sikuoji sasa kwanini wewe unanifatafata.

sasa hivi kuna umuhimu wa kushika simu ya mpenzi wako ili kujua nini kinaendelea katika simu yake

Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??

Huyu msichana nampenda sana tena sana na yeye ananipenda ..huwa sipendagi kushika simu yake ila kuna siku nilishika simu yake akaichukua ghafla akafuta meseji nikamuuliza kwa nini amefuta akasema kuwa imetoka kwa ex wake na hakutaka niione..sasa nimwache aendelee kuwasiliana na ex wake ama nifanyeje?
updates!
Jamani huyu msichana kweli anayo nia njema na mimi kweli? tar 26 nilimkataza asiwasiliane na ex wake huyo bila ya kunihusha akanielewa sasa tar 29 akambeep huyo ex wake wakawa wanachati kwenye yahoo.. ..
na wameahidiana kutumiana meseji ili wawe wanachati huko yahoomessenger
kweli huyu mdada ana nia njema na mimi kweli?halafu kial saa ananinunia nikimuuliza kuhusu huyo ex wake anakuwa kama mbogo ananuna mpaka basi..eti wadau hapa kuna maisha kweli hapa??
naomba kama una matusi uachane na thread yangu nahitaji ushauri na wala sio kebehi. najua sio vizuri kukagau vitu vya mpenzi wako ila ukiona kuna kitu kimebadiliak naona ni vema kukagua .. nafanya hivi kwani natyaka nioe na huu ndio umri wangu wa kuoa so sitaki niingie mkenge .
Regards!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

updates!!

huyu mrembo nimekutana naye leo tukakaa sehemu nikamuuliza

hence nimeshapewa jibu ..i m supposed to read between lines
 
haijawahi kunitokea..."utachukua hatua gani?"...jibu litapatikana pindi itaponitokea maana hatushauriwi kitaalamu kutafuta majibu ya tatizo kabla ya kupata tatizo lenyewe...naaamini nimeeleweka
 
ikikutokea jua ni mipango ya shetani kukuumbua mbele ya muumba wako ili ajue how immoral u are
 
Imewahi kukutokea hii,
Unachukua simu yako, unaandika sms ili uweze kuituma kwa nyumba ndogo/GF au mwanaume wako wa pembeni tofauti na mmeo/BF!sms hiyo umeiandika kwa maneno matamu na yenye ladha ya kimapenzi kabisa pengine hata mkeo/mmeo hujawahi kumwambia hivyo!Hamad!!!! unajikuta sms inakwenda kwa mkeo/mmeo/BF au GF.
Jamani,wana JF hapo utachukua hatua gani?

Simple: Haraka haraka andika meseji hii: Mbona nimekutumia meseji tamu ya mapenzi halafu husemi japo ahsante. Au hujaamini naweza kukutumia meseji tamu namna hiyo?:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Simple: Haraka haraka andika meseji hii: Mbona nimekutumia meseji tamu ya mapenzi halafu husemi japo ahsante. Au hujaamini naweza kukutumia meseji tamu namna hiyo?:smile-big::smile-big::smile-big:

Ole wako kama ulimtaja uliyepania kumtumia kwa jina...? Hahahaha.....!
 
Imewahi kukutokea hii,
Unachukua simu yako, unaandika sms ili uweze kuituma kwa nyumba ndogo/GF au mwanaume wako wa pembeni tofauti na mmeo/BF!sms hiyo umeiandika kwa maneno matamu na yenye ladha ya kimapenzi kabisa pengine hata mkeo/mmeo hujawahi kumwambia hivyo!Hamad!!!! unajikuta sms inakwenda kwa mkeo/mmeo/BF au GF.
Jamani,wana JF hapo utachukua hatua gani?

Iliishawahi kunitokea nikazima simu fasta fasta na kuchomoa betri ile tu narudisha betri na kuiwasha tena inakuja message inasema MESSAGE DELIVERED duh nilikuwa sina hamu kabisa.
 
Ole wako kama ulimtaja uliyepania kumtumia kwa jina...? Hahahaha.....!
Kama ulimtaja jina unaandika meseji hii: Au umeshangaa nimetumia hilo jina? Hizi tamthilia bana, dah! Asha ni yule demu mkali kwenye tamsilia ya hidden passion! nimekufananisha naye honey, au hupendi? samahani kama nimekukwaza...
 
Nitaitupa simu halafu nitasema imeibiwa nikiwa kwenye daladala au bar nikiwa bia ya kumi na nane
 
Kama ulimtaja jina unaandika meseji hii: Au umeshangaa nimetumia hilo jina? Hizi tamthilia bana, dah! Asha ni yule demu mkali kwenye tamsilia ya hidden passion! nimekufananisha naye honey, au hupendi? samahani kama nimekukwaza...

kumbe dada zetu ndo huwa wanadanganyika kwa wepesi hivi!!!!!!!!!
 
Iliishawahi kunitokea nikazima simu fasta fasta na kuchomoa betri ile tu narudisha betri na kuiwasha tena inakuja message inasema MESSAGE DELIVERED duh nilikuwa sina hamu kabisa.

sasa mpwa yaliishaje baada ya message kuwa delivered???????
 
cjawahi kumbana na hilo kashikashi, lakini kama ikatokea mr akanitumia msg ya utata hivyo kwa kweli anahitaji kutumia akili zake za ziada kunieleza kulikoni.
 
Back
Top Bottom