Jamani mpenzi wangu wa kike amenisevu jina la kike kama Khalima.
Nimegundua hili nilipomwomba simu yake nijibeep ili kuona kama ringtone kwenye simu yangu mpya umefanikiwa.
Sijapata jibu,nini tafsiri yaye kunifanyia hivyo!
Mnifungue jamani kimawazo.
Jamani mpenzi wangu wa kike amenisevu jina la kike kama Khalima.
Nimegundua hili nilipomwomba simu yake nijibeep ili kuona kama ringtone kwenye simu yangu mpya umefanikiwa.
Sijapata jibu,nini tafsiri yaye kunifanyia hivyo!
Mnifungue jamani kimawazo.
mh! kaka hapo mmejihifadhi wengi,na hiyo ndio formula ya kuwapanga foleni.
lakini kabla haujaconclude km nilivyoona,je ulimwuliza na akasemaje?ni miss independent au anaishi kwao? respond hayo maswali mawili then tuangalie possible solution!
Na wewe msevu la kiume...
Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.
tujadili
Binafsi simu yangu ni yangu peke yangu na ya mke wangu ni yangu pia.
Sheria hii inaongoza ndoa yangu.
OTIS
Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.
tujadili
ni kanuni ya ukweli just in case umeoa mwanamke kilaza
Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.
tujadili
Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.
tujadili