Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Ktk mapnz au baina ya wapenz mawasiliano ni muhimu ndio maana hata kabla ya cm kulikuwa na kuandikiana barua,so km mnapendana kweli na means ya mawasiliano ipo basi kuwasiliana ni muhimu,Cha msingi kila mtu ana namna ya kuhandle situation km mm sitaki kushika cm ya mtu yani hata nikigundua iko karibu na nilipokaa nahama kochi kbs coz najijua moyo wangu wa big hata joto la jua tu uanayeyuka,so bad lol!