Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

wekeni software ambayo itaruhusu kila mmoja kupata sms na calls zote za simu ya mwenzake kama hamjafa kwa presha
 
Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??
 
Ni tabia chafu sana na inaonyesha kutojiamini!
Jamani JF inasumbuaaaa,ni mie mwenyewe au?
 
Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??

Good! Kweli kabisa. Kitendo cha kwenda bafuni kuoga bila kuacha simu yako, ni dalili tosha kuwa mume/mke atajenga mashaka juu yako. Mmoja wapo akipata chance akakuta simu iko loose, kwanini asiperuzi?
 
Ni tabia chafu sana na inaonyesha kutojiamini!
Jamani JF inasumbuaaaa,ni mie mwenyewe au?

Wala haisumbui!! Labda uwe na cha kuficha! Kama huna cha kuficha, huhitaji kuogopa. Atasachi, atagundua hamna kitu then ataacha. Akikuta kitu ambacho hakijakaa sawa atakuuliza. Utampa maelezo! Kama huna cha kuficha hutadanganya. Usipodanganya ukweli utasimama hata kama hataamini. Ila ukidanganya, uongo hautasimama. Siku zote mambo yako hivyo! Siogopi kusachiwa asilani!!
 
wekeni software ambayo itaruhusu kila mmoja kupata sms na calls zote za simu ya mwenzake kama hamjafa kwa presha

nimeipenda hii...sometyms watu wanapata pressure kwa ajili ya mambo kama haya ya kujitakia...
Na hii inachangiwa na lack of self confidence...
 
Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??

kipima pembe,utapokuta sms mke wako katongozwa,hata kama alimkatalia,utamwelewa kweli?...kama wa kurusha ngumi nahisi utazirusha sana....
 
Last edited by a moderator:
kipima pembe,utapokuta sms mke wako katongozwa,hata kama alimkatalia,utamwelewa kweli?...kama wa kurusha ngumi nahisi utazirusha sana....

Siyo issue. Mke kutongozwa, wanatongozwa sana tu. Suala ni akikubali. Na wala yeye hataogopa wala kuficha simu kwa sababu ya wanaume wanaomtongoza. Ukiona kaficha, ujue si wanaomtongoza. Ni wanaomfa.......

Usiwe na wasi wasi kama muuza gongo!! Umeshasikia msemo huo? Muuza gongo hajiamini sababu anauza gongo!!! Siku akianza kuuza bia, atajitangaza.
 
Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??

Kama mpenzi wako hajiamini, atakusachi. Na wewe kama hujiamini utakasirika! Matokeo yake nini? Ikiwa hajiamini, wewe msaidie kwa kumuonesha kuwa uko juu ya vitu hivyo.

Sasa na wewe ukikasirika....... Nyie wote mnakuwa wauza gongo tu!!
 
Kama unamwamini kwa nini kila akirudi uanze kucheck sent sms,inbox,received call and others mi naona haijakaa sawa kufanya hivo ni kutokuwa na uaminifu.
Haiko sawa kukaguana, lakini pia kama uko msafi haiko sababu ya kuficha.... jiachie tu na simu zako kwa mwenzi wako!
 
Wala haisumbui!! Labda uwe na cha kuficha! Kama huna cha kuficha, huhitaji kuogopa. Atasachi, atagundua hamna kitu then ataacha. Akikuta kitu ambacho hakijakaa sawa atakuuliza. Utampa maelezo! Kama huna cha kuficha hutadanganya. Usipodanganya ukweli utasimama hata kama hataamini. Ila ukidanganya, uongo hautasimama. Siku zote mambo yako hivyo! Siogopi kusachiwa asilani!!

Sidhani kama hapa swala ni kuficha au kutoficha! Tatizo ni kwamba watu mnawaza kucheat tu ila kuna mambo ya familia pia yanahusika inawezekana kuna vitu unawasiliana na ndugu zako(hasa personal issue zao)na wanahitaji ushauri labda na vitu kama hivyo......sidhani kama itakua jambo la busara mtu wako kuanza kusoma sms zako na kujua vitu vya ndugu zako ambavyo hakupaswa hata kuvijua! Mimi kwangu itaendelea kuwa ni tabia mbaya na chafuuu. Simu sitaficha nitaiacha hapo lakini usiishike alaaaah yako???
 
Kitendo cha kwenda bafuni kuoga bila kuacha simu yako, ni dalili tosha kuwa mume/mke atajenga mashaka juu yako.

kwa nini tubanane na kunyimana pumzi bana? yaani mtu ashindwe kuperuzi JF wakati anakata gogo kisa ataonekana si mwaminifu kwa kwenda na simu yake chooni/bafuni...
 
too bad, mwenzio akiwa na kipaji cha kuperuzi simu yako wakati wewe huna time kabisa na simu yake

I hate that habit...simu kukaguliwa wakati mtu waweza kuwa mchafu na simu ikawa mbali kabisa
 
Simu yangu haina hata password, sometimes naisahau kwa mpenzi wangu..sidhani kama anaperuzi simu yangu laa na mie sina muda na ya kwake nimejiwekea imani juu yake ili maisha yaende powa.

Kuna watu wengine duniani wanapenda ku-complicate maisha...presha, bp, stress vyote vina nafasi ukiendekeza simu ya mpenzi/mchumba/mwanandoa wako.

Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??
 
Mwizi anaogopaga sana kuibiwa, kama ambavyo mwongo huwa ni mwepesi kuhisi anadanganywa.
Na kwenye kusachiana ndo ivo ivo...
 
Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??

kama huna cha kuficha tatizo liko wapi?
 
Raia mwema haogopi polisi. Mwenzio akisachi simu yako, mwachie asachi sana. Hatimaye atachoka tu. Ila kama una kitu cha kuficha hutajisikia vizuri ndo chanzo cha ulalamishi. Hiyo ni sehemu ya package ya kuwa wawili. Wawili si mmoja. Si mkeo au mmeo? Simu yako yake.....na yake yako!!! Mnachangia vingi sana, kwa nini simu ikutie homa? Una kitu cha kuficha? kama huna kwa nini ukereke? Mwachie tu asachi. Na wala wewe usirudishie, yaani usisachi yake!

Inawezekana kuna kitu kahisi. Wasi wasi ni sehemu ya ubinadamu na ni mpango mzima katika mambo ya mapenzi. Wewe inatakiwa umsaidie kwa kumuondolea wasi wasi. Utamuondoleaje wasi wasi? ..... Akikusachi, mwachie asachiiiiiiii.... hadi achoke. kwani inakupunguzi nini??

Kuna wanaume wengine ndio oooooooooh hayo wamejaliwa,yani wanakwenda mpaka kwenye mtandao unaotumia atoe
pesa apate sms unazotumiwa na unazo tuma ah mie apana staki BP nikafa nikawacha wanangu.
 
Huyu msichana nampenda sana tena sana na yeye ananipenda ..huwa sipendagi kushika simu yake ila kuna siku nilishika simu yake akaichukua ghafla akafuta meseji nikamuuliza kwa nini amefuta akasema kuwa imetoka kwa ex wake na hakutaka niione..sasa nimwache aendelee kuwasiliana na ex wake ama nifanyeje?


updates!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jamani huyu msichana kweli anayo nia njema na mimi kweli? tar 26 nilimkataza asiwasiliane na ex wake huyo bila ya kunihusha akanielewa sasa tar 29 akambeep huyo ex wake wakawa wanachati kwenye yahoo.. ..
na wameahidiana kutumiana meseji ili wawe wanachati huko yahoomessenger
kweli huyu mdada ana nia njema na mimi kweli?halafu kial saa ananinunia nikimuuliza kuhusu huyo ex wake anakuwa kama mbogo ananuna mpaka basi..eti wadau hapa kuna maisha kweli hapa??
naomba kama una matusi uachane na thread yangu nahitaji ushauri na wala sio kebehi. najua sio vizuri kukagau vitu vya mpenzi wako ila ukiona kuna kitu kimebadiliak naona ni vema kukagua .. nafanya hivi kwani natyaka nioe na huu ndio umri wangu wa kuoa so sitaki niingie mkenge .
Regards!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


updates!!

huyu mrembo nimekutana naye leo tukakaa sehemu nikamuuliza
kuwa kwa nini nilikukataza ila na bado ukanidharau ukaendelea kuwasiliana na ex wako? ..akaniambia kuwa ameshanichoka na amechoshwa an maneno yangu ..akaniambia nijichagulie mwenyewe kuwa naye ama nisiwe naye ..nikamwambia tuachane ..akakaa na mimi kama nusu saa hivi bila kuongea kitu ..akaamka akaondoka zake. hakutaka hata nimsindikize....maana yake ni nini?sipendwi?
hence nimeshapewa jibu ..i m supposed to read between lines
 
Back
Top Bottom