Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Duh!!na hizi xtreme sms c utakesha unasubiri amalize kuchat??!!
Vipi ukigundua anachat na SMALL HOUSE??

ahaaa ukigundua hilo nawe unavaa viatu..
mwambie aendelee kuongea mpaka asubuhi maana we utachelewa sana kurudi..
mwambie unaondoka usiseme unaenda wapi we sema tu ni emergence lol...
 
inakuwaje mkeo afanye kitu kama hicho halafu wewe ukae unamchekea tu kwa nn usimweleze kuwa hupendi ili aelewe kitu gani afanye na kwa wakati gani. Ndoa za siku hizi zimevamia na dot com wanaume wanakosa sauti na maamuzi mbele za wake zao ni ujinga huo, m/ume simama kama m/ume daima na komesha ushenzi kama huo mapema kwenye ndoa achana na ushauri wa wewe pia kuchukua simu na kuanza kuchat

inachotakiwa ni kila unapokuwepo m/ume na m/mke atambue anatakiwa kufanya nn mbele yako na vice versa kwa m/mke kwa m/ume

Y one side?mkuki kwa nguruwe..........wat if mmelala simu ya mmeo ikalia akai mute?msituonee mostly twafanya hivyo sometymz kuchek kama mtu ataboreka ukizingatia na yeye may be anafanyaga hivyo...........muache ku mute simu zenu mkipigiwa me nauita huo ushamba coz i blv kama mjanja ukipigiwa unaweza ongea na mtu asielewe kama unaongea na nani......eti upo na mkeo au mmeo unapigiwa simu unasema sorry will call u leta nipo sehemu mbaya duh mumeo/mkeo sehemu mbaya?
 
Duh!! Ndo ushapenda sasa pia na ndoa za siku hizi unaolewa ukiwa una mimba!!
Utamuacha akiwa na khali hiyo??
Pia mawazo yataanza inawzkana hata katoto co kako!!

ahaaa ukigundua hilo nawe unavaa viatu..
mwambie aendelee kuongea mpaka asubuhi maana we utachelewa sana kurudi..
mwambie unaondoka usiseme unaenda wapi we sema tu ni emergence lol...
 
Nimekusoma MOTHER HOUSE!!
Inaonekana wewe ni mzoefu wa kutalk na msela ukiwa na jamaa!!
Vipi ukiambiwa I LOV U?? Utajibu nini??

Y one side?mkuki kwa nguruwe..........wat if mmelala simu ya mmeo ikalia akai mute?msituonee mostly twafanya hivyo sometymz kuchek kama mtu ataboreka ukizingatia na yeye may be anafanyaga hivyo...........muache ku mute simu zenu mkipigiwa me nauita huo ushamba coz i blv kama mjanja ukipigiwa unaweza ongea na mtu asielewe kama unaongea na nani......eti upo na mkeo au mmeo unapigiwa simu unasema sorry will call u leta nipo sehemu mbaya duh mumeo/mkeo sehemu mbaya?
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?

its only n only if UNAJIAMNI.
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?

Anasoma kwa madhumuni gani! kama ya kutafuta fitna basi siyo vizuri kumwachia coz ukitafuta fitna lakima utazipata! ila kama kwa kujibu tu mambo ya kibiashara haina nogwa hiyo!
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?

mimi mwanamke ila siku nikikukuta unasoma au kukagua simu yangu ndio mwisho wa uhusianao wetu,lini tutastaarabika,kwani ni simu ya ndani hiyo.sigusi yako usiguse yangu.
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?

Wewe umeshasema simu "yako" then mkeo asome mesage zako? Za nini?? Hata kama ni biashara yeye inahusu nini?? Ndio maana ikaitwa simu ya mkononi maana yake wewe muhusika tu ndo unaweza kuitumia wakati wowote na muda wowote mwingine haruhusiwi.
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?

wewe sasa kama unatakiwa kwenda sehemu harafu kikazi au umelala ndo sms ikaingia sasa akishasoma si anakuamsha jamani uwahi au
 
Wewe umeshasema simu "yako" then mkeo asome mesage zako? Za nini?? Hata kama ni biashara yeye inahusu nini?? Ndio maana ikaitwa simu ya mkononi maana yake wewe muhusika tu ndo unaweza kuitumia wakati wowote na muda wowote mwingine haruhusiwi.


.......................utawajua tu!

Msiombee kuzidiwa ghafla........mtakufa kwa pressure ya kuumbuliwa!
 
sasa kama ni pesa si zinamhusu hata na yeye na watoto au tena nini
 
mi bwana nikirudi kazini simu zote nazibwaga hapo wanabyofoa wanachoka na sms ananisomea bisha kama huamini
 
Mimi wife kuangalia chochote kwenye simu yangu ni ruksa 100%, ila asipokee simu yangu tu.
 
Sio kosa ila ni privacy........mobile phones they are mobile thats why hata chooni unaweza kwenda nayo... na mtu akipiga au akituma message utakuta missed call..... hiyo sio landline ambayo ni public......
 
Nadhani inategemea na mwanamke kma muelewa, its ok! Lkn wengine unakuta naturaly hawajiamini so unajitafutia kelele hususan ukipata calls nyingi za mabinti.

Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?
 
Mi sioni tatizo!!Kwanza ukimpa uhuru wala hatahangaika nayo!!!

Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?

Yaani haya mambo bwana....

Hivi ulishawahi kusikia kuwa sheria zimetungwa ili zivunjwe? na kwenye mapenzi basi ni hivohivo...

Mi kwa mfano nilikua kimbelembele sana kuhusu wapenzi kuruhusiana kupokeleana sim au kusomeana msg, so nilipopata mpenzi hata hatujawahi kujadili hii ishu, mi nikawa nashika sm yake, nasoma msg, yeye anashka sm yangu ansoma msg, hiyo ilikua kuanzia 2007, ila ukiniuliza sa ivi, nina zaid ya mwaka sijasoma hizo msg, kama kunasiku alitaka nimpokee mgeni wake, akanipa sm yake huyo mtu atanipigia, nilikaa nayo yaani leo ndo mmenikumbusha kuwa hata siku hiyo sikufikiria about msgs and all that stuff.

These thngs ar natural...wewe unapokua very reactive to the law of "privacy" na kwamba sim ni mobile, ndo hapo mwenzio, automatically anadhani.."Aaahaaa, kuna kitu hapa"

Relax guys, dn make it a big deal, an automatically sh wont see it as a big deal.

Ila kwa wenye "mambo mengi" shuhuli si pevu... Nyie nawashauli mbaki na sheria yenu ya hamna kugusa sim ya mtu....
 
Sio kosa ila ni privacy........mobile phones they are mobile thats why hata chooni unaweza kwenda nayo... na mtu akipiga au akituma message utakuta missed call..... hiyo sio landline ambayo ni public......
Hizo landline huwezi kwenda nazo chooni? Zenyewe haziingizi msg? Unaongelea simu za miaka ipi?
 
Mie bwana nashangaa kwanini mkeo asipokee simu zako ukiwa haupo karibu nayo labda unaoga au kwa chochote sasa kama kwa sisi wenye mipango inayokwenda na muda itakuwaje wengi ninaofanyanao biashara ni wanawake kwa aina ya business yangu

Je wengine mnafanya hivyo au ni marufuku kupokea au kusearch chochote au akusomee message zilizo ingia?
hata mimi nashangaa, sijui watu wengine wakoje?
 
Back
Top Bottom