Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Huyo dada ni mshenzi wa tabia, kwanza mwizi halafu anatukana, chukua namba yake, na umfutilie tu ujue anaishi wapi na anafanya kazi wapi, ukishajua hayo yote, ck moja mwite au umfuate hukohuko umpe kbano hata kama utatumia watu wakusaidie. Mimi ilishanitokea hiyo na alikuwa ananitukana kila siku nikimwambia malaya mwenzake(mume wanga) anakuwa makali, nilimfuatilia nilipomujua vizuri wapi naweza kumpata, nilimfuata nilimtandika hasa tena mbele za watu, tangu siku hiyo alikoma sikuwahi kuona simu yake wala sms
Naona somo la Nyamayao linaeleweka vizuri sasa,
Dawa ya moto ni.....
Safi sana binti!! Hakuna kulala......and People's ...........Najua mtamalizia!!