hey, dont take this kwenye ndoa ina mahala pake. Si ndiyo?hata Yesu aliwaambia wale watu waliokuwa wanataka kumpiga mawe mwanamke aliyezini, akawauliza kama kuna aliyemsafi na ampige mawe....je walimpiga?...tafakari
hey, dont take this kwenye ndoa ina mahala pake. Si ndiyo?hata Yesu aliwaambia wale watu waliokuwa wanataka kumpiga mawe mwanamke aliyezini, akawauliza kama kuna aliyemsafi na ampige mawe....je walimpiga?...tafakari
Preta;amsamehe tu hizo ni ajali ndogo ndogo ambazo huwa zinatokea[/COLOR][/SIZE][/FONT]
[/QUOTE]endelea kuomba maana dunia ina mambo mengi maana ubavu wako hautembei nao kila mahali omba hata akifanya huko
usijue aendelee kukuheshimu ndo la muhimu basi
[/I]Preta ajali kubwa ni zipi katika ndoa kama siyo hiyo mojawapo? Kwa mtu unayejuwa ni mumeo/mkeo unagunduwa kashatembea nje na anakueleza sababu zisizo za msingi maana najua hakuna sababu yeyite ya Msingi kwa mwandandoa yeyote Kwenda nje ya ndoa yake unategemea Upendo uwepo kweli? Mtakuwa mnaishi tu kwa ajili ya kuwalea watoto bali si kwa Upendo kama Mwanzo, hii khali itakuwa inajirudia rudia kichwani kuona mtu Uliyempenda Kakusaliti. Kamwe Usitegee Uaminifu toka Kwa Mwenzi wako, ni Ufa unajengwa na hauzibiki japo mtaweza kuona kma mumeziba.
Huwa naomba Mungu kila siku Hii khali Isinitokee daima maana sitegemei ku-cheat na Sitagemei kusikia au kuona mwenzi wangu ananiendea kinyume.
Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
Hapo mbona rahisi tu, akizima simu yake unapokuwa nae na wewe zima ya kwako!.Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
Kwani wewe umehisi nini?Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
Kwani wewe umehisi nini?
Sijahisi chochote ila naona siyo hali ya kawaida kuzima simu mda wote.
Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
kwani alinunua simu kwa ajili ya kuwasiliana na wewe tu?Inasitisha na inauma sana. Jibu ni kwamba hana haja ya kuiwasha nikiwepo coz 2nawasiliana,anaiwasha nikiwa mbali ili 2wasiliane.
Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.
Sijahisi chochote ila naona siyo hali ya kawaida kuzima simu mda wote.
Mpenzi wangu anazima simu anapokuwa na mimi,akitoka anawasha.kibaya zaid ina password.