Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Yaani hapo umemaliza kila kitu kaka
thank you Chimuguru for this super duper useless post
Umeiona hata wewe? Senksi! Kazi ni moja tu! Kudumisha mila!
Yaani hapo umemaliza kila kitu kaka
thank you Chimuguru for this super duper useless post
Tutatafuta 2 namna ya kuflash kwani aliyeweka hiyo barr si mbongo tu, niachie wiki 2 uone habari yake.sasa hii mimi huwa naziweka jumapili asubuhi kwenye simu zangu,dheni nazibwaga simu kwenye kochi mimi nachapa mwendo hadi chawote!..kurudi saa SITA USIKU!dada ake x-pin HAPO HESHIMA JUU
HAHAHAHAHA!sasa haya magwiji yanadaiwa hapa jf? au yameasirika na hili neno guest hi hi hii hii, samtaimu ukikumbukia vimbwenga vya gesti hauz na ukiingiia hapa kama gesti unapata rilifu kiidogo ,si unajua wajina. gesti jf na gesti hauzi.
HAHAHAHAHA!
mpwaaz umaniacha hoooi
lakini kwa kukudokeza tu ni kwamba kinachokimbiwa hapa ni HII PROJEKTI YA 13/02/2010
...ina kosti-implikesheni!SO FAR SIJAISIKIA AHADI YAKO!au na wewe ni wale wale?
Mila za kitanzania mama. Babu yangu alikuwa na wake wa4 na watoto 56. Kati ya watoto hao 56 Tisa walizaliwa na wanawake tofauti ambao hawakuwa wake zake! Yu knoo woram seyying? Piga hesabu hapo! Ndio MILA zetu hizo!
hahahaha!hapa inabidi nilogi auti kidogo nimuwahishe waifu meteniti.
hahahaaaa, mwaka mpya mambo mapya, aidia mpya, tekiniksi mpya!!.hahahahahaha!
x-pin naona huyu kijana afanyiwe utaratibu wa kesto akiwa nyumbani kabla hajafungiwa mlango KWA HUU MTIRIRIKO WA POINT ANAZOONGEA
leo tumeanza vizuuuri sana!hahahaaaa, mwaka mpya mambo mapya, aidia mpya, tekiniksi mpya!!.
ntakugongea senksi kwa taska 2 jioni chawote pale, vipi leo mchemsho si utakuwepo??
we Chris hebu wacha ku edit kitofauti bwana.......
heheheheh!Iribini ni mchonganishi always!!!!! mi ukinivunjia ndoa unanioa mwenyewe
kina babu wanaodumisha mila walikuwa wana posa wanaoa wanaweka ndani kihalali hata akiwa na kumi, huyo babu wa kuzaa na wasio wake zake wa wapi huyo?
haya mambo ya kuishi kwa kudanganya na kuficha ficha ma meseji siyo mila zetu hizi, mseme tu wenyewe mlipo zitoa
Iribini ni mchonganishi always!!!!! mi ukinivunjia ndoa unanioa mwenyewe
aggggggggggggggggggggggrrrrrh!hujamsoma vizuri hizi comments zake humu ndani ukamjua ni mume wa namna gani mpaka utake akurithi? ukiachika bora uje tushee huyu wangu huyo hakufai hata kidunchu mrembo kama wewe...lol
Vipi tena? LOL!we Chris hebu wacha ku edit kitofauti bwana.......
Iribini ni mchonganishi always!!!!! mi ukinivunjia ndoa unanioa mwenyewe
Danganya toto kula kande mbichi! Mwanamke ulivokuwa na wivu weye ndo ufanye sharing? Thubutuuu! bht Stuka! Baki na uamuzi wako uliotukuka!hujamsoma vizuri hizi comments zake humu ndani ukamjua ni mume wa namna gani mpaka utake akurithi? ukiachika bora uje tushee huyu wangu huyo hakufai hata kidunchu mrembo kama wewe...lol
hujamsoma vizuri hizi comments zake humu ndani ukamjua ni mume wa namna gani mpaka utake akurithi? ukiachika bora uje tushee huyu wangu huyo hakufai hata kidunchu mrembo kama wewe...lol
Point well taken, noted and filed for future use. You wont regret darling. Nipe namba za muzee basi nianze kazi fasta!
aggggggggggggggggggggggrrrrrh!
NDEGE WA WAPWA HUYU MBONA UNATUKIMBIZIA!??