Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Mkuu yani kila nikifikiria tulikotoka na jinsi tulivyokuwa karibu kwa kipindi cha mwaka mmoja naumia sana kuona nampoteza mtu niliyepanga kuwanae katika maisha yangu. Mapenzi kizungumkuti!!!!

mkuu, sijapendezwa na jinsi unavyo lichukulia hili jambo, kama vile umeshajua nini kinaendelea,..

Huna haja ya kujipa pressure kiasi hiko...tuliza moyo wako. Kwa nini ufikirie mabaya tu.
Jipe moyo.usiruhusu moyo wako uumizwe kiasi hiki. we ni mtoto wa kiume. Ongea naye kwanza...Usije ukajuta
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

chapa lapa, huna chako hapo
 
mkuu, sijapendezwa na jinsi unavyo lichukulia hili jambo, kama vile umeshajua nini kinaendelea,..

Huna haja ya kujipa pressure kiasi hiko...tuliza moyo wako. Kwa nini ufikirie mabaya tu.
Jipe moyo.usiruhusu moyo wako uumizwe kiasi hiki. we ni mtoto wa kiume. Ongea naye kwanza...Usije ukajuta

Mkuu, nashukuru sana kwa mawazo yako, unajua mpaka napost hapa ni kwmba tayri nimewashirikisha ndugu, jamaa na marafiki na wengi wamenishauri kama wewe na wachache wameniambia niachane nae, kimsingi uwezi kuachana na mtu bila sababu, kama ulivyonishauri nitaongea nae kwanza ili nielewe nini kinamsibu na anieleze nini kinakwaza kwangu aniambie. Nadhani hapo naweza kumwelewa vizuri. Samahani kama kuna sehemu nimekukwanza kutokana an majibu yangu mkuu. Nashukuru sana kwa mawazo yako mkuu, nitayafanyia kazi
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

kama kakulimiti na sim na wewe Mwambie akupe ratiba yake ya shule, yaani muda gani anakuwa class na muda gani anafanya nini. Kupenda sana na kumwonyesha mtu kuwa umempenda sana nayo si nzuri!
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Pole dear. Hapo hamna cha kumkalisha chini wala nini. Dada ameshakupiga chini huyo. Unajua sisi wanawake si kama nyinyi, hizo dalili ulizosema haziwezi kuwa solved kwa wewe kumpa masharti kwani huyo ana njemba na anaipenda zaidi yako. Yani kwa ufupi anatafuta jinsi ya kukutema anakuonea huruma au hajuhi aanzie wapi! Ukimuonyesha una demu eti kwa nia ya kulipa kisasi utakuwa umemsaidia sana. Utashangaa anakwambia its over huku uso mkavu wala hajutii.

Move on dear. Ndio shida ya kupenda mabinti wadogo kwani kwa experience yangu wadada wengi huanza new relationships wakifika college; wewe wa kitaani utahachwa au utageuzwa ATM tu.
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

nakuonea huruma,lakini hiyo ndio gharama ya kupenda.nina amini huyo mtu hana interest na wewe kama zamani.kwa kuwa unapenda,utaumia tu.haiwezekani mtu muwe mbali,akupangie mpaka muda wa kutuma msg.hata kama anasoma,msg tu.ninavyoelewa kama unampenda mtu,hata kama yupo mbali,ndio unammiss hasa,utataka kila wakati upate angalau msg
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Best!! Nakwambia mfadhili "MBUZI MEEE" lakini siyo binadamu yani atakuudhi2! Yani mi yamenitokea zaidi ya haya ya kwako. Wana akili finyu sana hata akisoma mpaka mwisho,yani kwenye mambo ya mapenzi hawanaga akili kabisa. Yani mweshimu yule aliyekubali kukuzalia mtoto2! Achana naye Best!
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Khaaa mi watu wengine
wananishangaza sana ..
simu ni mali yako na kama
Unavyodai huyo ni mpenzi wako..
unachoogopa ni nini tu haswa??
Mpigie simu usikubali kuwa lelemama hivyo..
hapo bado hata mjafunga pingu za maisha
mmesha anza kuwekeana mashrti mmmhhhhhh hatari..
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Usaliti wa mapenzi (kwa kificho) ushakuwa kawaida ktk jamii haswa ktk jumuia za chuo maana wengi wao kukutana na maisha 'HURU' na vijihela vya kujikimu vinawafanya wawe malimbukeni wa maisha mapya wasiyozea ikiwemo hayo mapenzi. Ila huyu wako kapitiliza maana kama simu yake iko hewani je, ni kina nani anaongea nao bila masharti hadi we uwekwe foleni. If she real luvs u, let her go coz when she comes, it will b for real ila tu achana nae kwa roho safi 'kishkaji' bila kukumbushia mazuri uliyomfanyia anachohtaji sasa ni Space tu. "JEURI DAWA YAKE NI KIBURI"....Sugu.
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Akili za kike hizo. Unajua huyo mdada anaweza kuwa anakujaribu, lakini njia aliyotumia ni mbaya. Ebu mwache usipige simu wala kutuma text kwa mwezi mmoja tu. Usiulize, usihoji, usilaumu, usikasirike, ungulia moyoni, nina imani kama ana akili timamu hajawahi kupata hitlafu ya ubongo basi atakuomba radhi kwa maneno yake ya kifedhuri yasiyo na chembe ya huruma ndani yake.

Lakini pia anaweza yote asiwe nayo, akawa ana mwingine anayemfanya kuwa bussy kuliko wewe. Cha kufanya soma alama za nyakati, wewe ndio unayemjua vizuri, kabla hajatoa hili wazo la kijinga inawezekana ameshawahi kufanya zaidi ya hayo, yaunganishe ili upate jibu.

Nakutakia kila la kheri, uwe mwanaume, usiyumbe kwa sababu ya mapenzi, usiape kutokuwa na mpenzi kwa sababu haikusaidii. songa mbele.
 
Mkuu yani kila nikifikiria tulikotoka na jinsi tulivyokuwa karibu kwa kipindi cha mwaka mmoja naumia sana kuona nampoteza mtu niliyepanga kuwanae katika maisha yangu. Mapenzi kizungumkuti!!!!

those are the challenges that one can face while in a relationship,i know you're in difficult situation but wake up and move on, 6 yrs back i lost someone i have had relationshiop with for over 5 yrs but i stood up and moved on with my life.....just know that everything happen 4 a reason u might get someone who is better than this and she will remain to be a history
 
Hii nimependa, ni ushauri mzuri. Maneno safi...Kabla ya kumwangalia mwenzako jiangalie wewe ukoje.

mkuu pole sana..

Cha msingi mkalishe huyo binti chini, usikimbilie kumpiga chini. Mwambie hufurahishwi na hiyo tabia, na kama hayuko tayari kubadilika, basi mwambia UAMUZI utakaochukua..Mkumbushe mlikotokea, na pia jaribu kuangalia msimamo wake kwenye uhusiano wenu.

Kumbuka hakuna aliye-perfect..jaribu kuelewana naye..Usiwe na haraka, usije ukajikuta wewe ndo mwenye matatizo
usiangalie upande mmoja tu, pengine (ingawa sifikirii kuwa uko hivyo) wewe ni king'ang'anizi sana, unampigia simu muda wote mpaka inakuwa kero kwake na kwa watu wengine. Pengine unampigia sanaaaa akiwa darasani kwa sababu ya wivu wako, kutaka kujua yuko wapi, na na nani, anafanya nini. Hizi ni assumptions zangu tu lakini wewe mwenyewe ndie unayejijua zaidi kuhusu tabia zako.
Na kama sio hayo nilobashiri hapo juu, ninakushauri kabla ya kumpiga na chini na nyengine kama hizo, umemuliza kwa nini kakuwekea kikomo? Ikiwa jawabu zake ni "aaah eti, miye, kwa sababu, maana yake, unajua nani huyu nani hivi"....blah blah zisizo kichwa wala miguu, naungana na wengine kuwa anatafuta njia taratibu ya kukuweka kama wa PLAN B, C, D.....Z. .

Ushauri wa ziada, usisubiri mpaka muonane ana kwa ana, anaweza kukulegezea mimacho yake hata swali ulilokusudia kulizungumza ukalisahau. Mpigie simu katika huo muda anaotaka yeye "AKWAMBIE KWA NINI", usiporidhika na jawabuzake, !NG'ATUKAwala usigeuke nyuma, mpe asante ya moyoni, badaye kila mmoja kivyake.
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Pole mkuu, ni dhahiri hy shemeji sio mwaminifu!

Anachotakiwa ajue kuwa wewe umejua dhahiri kuwa yeye anamegwa huko aliko!
Na onyesha dhahiri kuwa una lengo la dhati la kuanza ku-step down kwa kuwa huwezi a such conditional love.
 
Akili za kike hizo. Unajua huyo mdada anaweza kuwa anakujaribu, lakini njia aliyotumia ni mbaya. Ebu mwache usipige simu wala kutuma text kwa mwezi mmoja tu. Usiulize, usihoji, usilaumu, usikasirike, ungulia moyoni, nina imani kama ana akili timamu hajawahi kupata hitlafu ya ubongo basi atakuomba radhi kwa maneno yake ya kifedhuri yasiyo na chembe ya huruma ndani yake.

Lakini pia anaweza yote asiwe nayo, akawa ana mwingine anayemfanya kuwa bussy kuliko wewe. Cha kufanya soma alama za nyakati, wewe ndio unayemjua vizuri, kabla hajatoa hili wazo la kijinga inawezekana ameshawahi kufanya zaidi ya hayo, yaunganishe ili upate jibu.

Nakutakia kila la kheri, uwe mwanaume, usiyumbe kwa sababu ya mapenzi, usiape kutokuwa na mpenzi kwa sababu haikusaidii. songa mbele.


Hii mbona na ngumu, usiulize,usihoji, usilaumu, usikasirike, ungulia moyoni, u will end up having stress
 
Poleni na mihangaiko ya wiki mzima wana JF. Ni hivi nina mpenzi ambaye tuna muda wa mwaka na miezi 9 sasa toka tuwe katika mahusiano lakini kuna tabia moja ambayo ameianzisha hivi karibuni baada ya kwenda chuo, ameniambia kwamba nisiwe nampigia simu wala kumtumia text mpaka yeye atakaponiambia na kama nataka kuongea an yeye kabla sijampigia basi nimpigie kwanza rafiki yake ampe taarifa ndipo yeye atanipigia mimi au atanitumia text. Nampenda sana mpenzi wangu bt je wakuu kwa mtindo huu hakuna njema inayonitafunia mzigo wangu? Naomba mawazo yenu kabla sijachukua uamuzi wa kuachana nae, manake mapenzi yanautesa mtima wangu. Jioni njema wapendwa!!!!!

Dah umenikumbusha mbali sana,jamaa alikuwa na dem wake skuli..walipomaliza form 4, dem kapiga 2,msela kala zero...dem kaanza masharti..mara ooh sipendi afro zako,mara ooh sipendi mlegezo unavyovaa...dooohmapenzi bana,mwisho wa siku jamaa kanyoa mu-afro wake...na dem kampiga chini mshkaji!!
 
Dear Hny
sorry leo sitoweza kuja niko kwenye period jamani alafu si unajua na hasira zangu sijui hata kutakalika nikija
mbona ukunjulisha mapema kabla ya kuchukua chumba..sorry again
luv u
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"
 
Back
Top Bottom