Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

kweli x wako kiboko hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kaua bendi kabisa yani lazima new one ajione karuka majivu kakanyaga moto
 
WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha
 
Hizo ni vurugu za maono tu,soma kile kitabu cha" why men marry bitches"anato mwongozo mzuri kuhusu w/men wanaozimazima.
 
WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha

Mi nadhani inaongeza ukubwa wa tatizo, labda kama mmeamua kuachana moja kwa moja..................
 
WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha

halafu hiyo ni wanawake zaidi.....

mimi huwa sizimi simu...sanasana naweza nisipokee tu simu...
 
Why Men love Bitches: A Woman's Guide to Win her Man's Heart by Sherry Argov.

Kuhusu kuzima simu loh kuna wanaofanya hivyo kwa hacra tu. lakini kuna wenye kususa ka watoto wadogo. Wengine haiishii kwenye simu tu, wapo wanaofungasha mabegi na kuyapanga kwenye mlango.
 
inaweza kusaidia kama ww ni mtu ambae huwezi kuzuia hasira zako. na kuna mtu yuko nagging,anajua hutaki kuongea anapiga simu 20 times. ila kuliko uongee kitu ambacho utajutia kwa maisha yako yote, bora kunyamaza. japo kuzima simu ni kujiadhibu mwenyewe,huenda akakupigia mtu mwenye good news ukakosa kufurahia maisha,am just saying,lol

WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha
 
WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha

Wakati mwingine ni ujinga una delete number iko kichwani? Ila ikitokea terrible misundestanding huwa nazima simu kwani nikiona ananipigia nahic multiplicity ya rage!
 
Why Men love Bitches: A Woman's Guide to Win her Man's Heart by Sherry Argov.

Kuhusu kuzima simu loh kuna wanaofanya hivyo kwa hacra tu. lakini kuna wenye kususa ka watoto wadogo. Wengine haiishii kwenye simu tu, wapo wanaofungasha mabegi na kuyapanga kwenye mlango.

is it why men loves bitches or why men marry bitches...?????
 
Why Men love Bitches: A Woman's Guide to Win her Man's Heart by Sherry Argov.

Kuhusu kuzima simu loh kuna wanaofanya hivyo kwa hacra tu. lakini kuna wenye kususa ka watoto wadogo. Wengine haiishii kwenye simu tu, wapo wanaofungasha mabegi na kuyapanga kwenye mlango.

lolyz naona huyu mpendwa hapa amemweka mwandishi,sherryargov huyu anafundisha haki sawa kwenye uhusiano hakuna kubembelezana,alinchekesha aliandika kama umempigia jamaa hakupokea mpaka nusu imepita na ww subiri nusu ipite akikupigia ndio upokee ,ni jino kwa jino!
 
Sio jambo jema,ila kama mnataka kuachana kidogo inaleta maana!
 
Me naona inaongeza tatzo coz tatzo halikimbiwi

WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha
 
WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha

Ni hasira tu,,na haswa wanawake ndo hufanya hivyo!haisaidii na zaidi huzidisha uzito wa tatizo tu.
 
inaweza kusaidia kama ww ni mtu ambae huwezi kuzuia hasira zako. na kuna mtu yuko nagging,anajua hutaki kuongea anapiga simu 20 times. ila kuliko uongee kitu ambacho utajutia kwa maisha yako yote, bora kunyamaza. japo kuzima simu ni kujiadhibu mwenyewe,huenda akakupigia mtu mwenye good news ukakosa kufurahia maisha,am just saying,lol

Inategemea anapiga kwa minajili gani, kama anapiga kutafuta suluhisho la ugomvi uliotokea basi kuzima simu hakuna maana yoyote ila kama anataka kuendelea kusema hovyo na hata kutumia maneno ya kibaradhuli bora tu uzime simu yako badala ya kuendeleza ugomvi.

 
Last edited by a moderator:
Kwa mimi ninavyoona kuzima simu si suluisho haina tofauti na m2 anaye kunywa pombe analewa anadai anapoteza mawaza wakati kesho akiamka tatizo liko pale pale kwahiyo ilo si shuluhisho cha msingi ni kumsikiliza na kutatua tatizo
 
hata kama anapiga simu kutafuta suluhisho wakati mimi nina hasira bado,ni rahisi ku-loose it. ndo nikasema unaweza kumjibu mtu kitu utakachojutia maisha yako yote. bak,haijakutokea ukakasirika sana juu ya kitu,afu baada ya muda ukagundua u just overeacted? aibu yake sasa... ni better to avoid confrontations when u ar over the roof
Inategemea anapiga kwa minajili gani, kama anapiga kutafuta suluhisho la ugomvi uliotokea basi kuzima simu hakuna maana yoyote ila kama anataka kuendelea kusema hovyo na hata kutumia maneno ya kibaradhuli bora tu uzime simu yako badala ya kuendeleza ugomvi.

 
Last edited by a moderator:
Mi huwa sizimi ila sipigi namtegeshea yeye ndio aanze, na nina mshukuru Mungu mara zote huwa nafanikiwa, maana huwa na imagine akiamua kuchuna itakuwaje!
 
Ni hasira tu,,na haswa wanawake ndo hufanya hivyo!haisaidii na zaidi huzidisha uzito wa tatizo tu.



In red wote tu haijalishi upo jinsia gani inategemea na hasira ya mtu alivyo
lkn si dhani kama inasaidia ni kujichosha tu.
 
Back
Top Bottom