TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,193
- 18,217
kweli kabisa... harafu ukirara tena na simu ikiria anaweza pokea tena au sio... we n'tu umerara sarama kabisa harafu kwanini uamshwe, hiyo nndio hari harisi lafiki yanguwewe sasa kama unatakiwa kwenda sehemu harafu kikazi au umelala ndo sms ikaingia sasa akishasoma si anakuamsha jamani uwahi au