Binafsi simu yangu ni yangu peke yangu na ya mke wangu ni yangu pia.
Sheria hii inaongoza ndoa yangu.
OTIS
Kama ndo mimi patachimbika, vinginevyo we urudi kwenu nami nirudi kwetu.
Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.
tujadili
Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.
tujadili
Yake wala ctaki inikaribie acha kuishika,yangu atumie au awe nayo wakati wowote akitaka!moyo wangu wa bigjii hauwezi kuhandle mambo mazito ya kuumiza moyo hata joto la jua tu unayeyuka!nilishajitamjaua na kuchagua namna ya kuishi!
Heri yako una moyo wa ulojengwa na zege,Mh iv ni vzr kama hutotaka kuishika milele, lkn siku ukijichanganya ukashika waweza kupata heart attach maana waweza kukuta makubwa zaid ya ulivyodhan. me huwa naishika na tangu nianze kuishika cjakutana na la ajab tnx god, labda yuko kudelete mambo yake muda wote which z gud kama niivyo maana atakuwa anacheat responsibly huh! so me naishika mwaya maana madhara ya kutoishika ni makubwa zaid yan.
Binafsi simu yangu ni yangu peke yangu na ya mke wangu ni yangu pia.
Sheria hii inaongoza ndoa yangu.
OTIS
Heri yako una moyo wa ulojengwa na zege,
My dia sio kwamba sitaishika milele,kuna vitu atakavonionesha na kunifanya mie kuishika na kuichunguza kwa ukaribu kwa mfano:
*Akianza kuwa bize nayo wakati tuko wote iwe hm tunamaongezi au outing,
*Usiku tumelala yeye anakuwa bize na simu tena kwa charting am story zisizoeleweka,
*Ikitokea nikataka kutumia simu yake akaninyima na kunishushia mkwara wa kutogusa simu yake,
*Simu yake ikiita tukiwa wote akakimbilia kwenda kuickilizia nje au mbali na tulipokuwa wote,
*Anapokuwa hm au na mm mahali anakuwa amezima au kuwe cm yake silence jambo ambalo sio kawaida yake,
Kwa haya nitaishika na kuichunguza kwa mda wangu na nikipata ushahidi nitamweka chini anieleze kwa undani mpaka nimuelewe,otherwise nitaonyesha msimamo niujuao ktk hayo niliyoorodhesha.
Ndugu wadau,
Nawaomba mchangie hoja. Je ni ruhusa mke au mme kuangalia msg au kupokea simu ya mwenza wake. maana wakichunguza inaweza leta hisia hata ambazo hazipo, lakini pia kuto angalia mmoja anaweza kukosa imani na mwenzie.
tujadili
pole...naona amekukera sana....siku nyingine mpe dada apokee ndio atie adabu....
Ndyoko, hongera kwa kupata gelofrendi mwaya
Muhimu kukaba hadi penati
Ikibidi nakaba hadi refa na kocha
Asipokukaba yeye akukabe nani????
Kaa hupendi baki singo naona huwezi kumudu album.
Hujawahi ona timu imezidiwa ikakaba washabiki, njoo kwa mtogole tukufunze.
Kwanza namtafuta, siku tatu hajarudi home anadai yuko tuisheni ya homework.....................huyu mtoto huyu!madam nitake radhi, umri huu kuwa na gelofriend. ntakusemea kwa baba ngina na siku ya upatanisho nakuja na sime, ukijidai huna kosa na kuleta ubishi nafnya kama yule polisi wa magomeni kule kongowe