Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Habari zenu wanaJf. Mtazamo wangu na wa-Beijing hawa nitofauti kabisa..! Unasemaje kuhusu hili? Leo nimekuta kundi la wa-Beijing fulani wanaponda sana, eti kisa kuna boyfriend/mister wa mwenzao ka-beep simu ya dame/wife wake. Madai yao ni kwamba eti ni aibu kwa mwanaume ku-beep simu ya mwanamke. Mtazamo wangu ni kwamba mtu mwenye mawazo ya aina hii ni mjinga. Mimi nimeoa mwanamke ambae before alikuwa ni gf wangu. Nilipokuwa nahitaji kuongea nae wakati simu yangu haina salio nilikua nam-beep na alikuwa ananipigia. Sasahivi ni ni mke wangu na ananipenda na kuniheshimu. Aibu iko wapi?


Sasa huo usawa wanaodai wanadada unakujaje hapo iwapo hata mambo yaliyo nje ya maumbile yapangwe kijinsia? Mwenye shida ndie wa kuchunwa kwani inawezekana shosti wao ndie anaejigonga kwa huyo jamaa!
 
na usikute kajibeep mweyewe kisha kajidai jamaa, anatafuta njia za kumwaga kisha apate sababu ya kuongea kwa rafiki zake.
 
hata kama mwanamke atakupigia, ni aibu kubwa kwa mwanamme kubip simu ya mwanamke, tena kama mna mahusiano ndo yelewi.
 
  • Thanks
Reactions: Kbd
Pancrease
sikuelewi unajua!
Yaani nim'beep mai waif wangu uniambie haifai ? Ki vipi ?
 
Habari zenu wanaJf. Mtazamo wangu na wa-Beijing hawa nitofauti kabisa..! Unasemaje kuhusu hili? Leo nimekuta kundi la wa-Beijing fulani wanaponda sana, eti kisa kuna boyfriend/mister wa mwenzao ka-beep simu ya dame/wife wake. Madai yao ni kwamba eti ni aibu kwa mwanaume ku-beep simu ya mwanamke. Mtazamo wangu ni kwamba mtu mwenye mawazo ya aina hii ni mjinga. Mimi nimeoa mwanamke ambae before alikuwa ni gf wangu. Nilipokuwa nahitaji kuongea nae wakati simu yangu haina salio nilikua nam-beep na alikuwa ananipigia. Sasahivi ni ni mke wangu na ananipenda na kuniheshimu. Aibu iko wapi?

kwani mwanaume huwa haishiwi?

Unless uniambie huyo mwanaume toka januari hadi december yeye mwendo wa kubeep tu....
 
Hivi unaifahamu falsafa ya Njiwa wako na mtama wako ?
Njiwa wako kala mtama wako!
Mali imekula mali si ndiyo ?
Na vyote viko kwenye milki yako,
tamatisha kwa kauli
mke ni wako na anachomiliki (kama crdt, simu) ni vyako wewe unaemmiliki .
 
Habari zenu wanaJf. Mtazamo wangu na wa-Beijing hawa nitofauti kabisa..! Unasemaje kuhusu hili? Leo nimekuta kundi la wa-Beijing fulani wanaponda sana, eti kisa kuna boyfriend/mister wa mwenzao ka-beep simu ya dame/wife wake. Madai yao ni kwamba eti ni aibu kwa mwanaume ku-beep simu ya mwanamke. Mtazamo wangu ni kwamba mtu mwenye mawazo ya aina hii ni mjinga. Mimi nimeoa mwanamke ambae before alikuwa ni gf wangu. Nilipokuwa nahitaji kuongea nae wakati simu yangu haina salio nilikua nam-beep na alikuwa ananipigia. Sasahivi ni ni mke wangu na ananipenda na kuniheshimu. Aibu iko wapi?

Wanawake hawatakaa wapate haki sawa na NYAMAUME; kwasababu ya ujinga wao kwamba mwanaume haishiwi, kila wakati ana kitu mfukoni. Tutaendelea kuwamega na kuwamwaga hadi akili zao zifunguke wajue katika mapenzi ni kutegemeana. Bahati mbaya hata ukiwakatika mahusiano na manzi/demu/kidenishi/chuda aliyekuzidi kipato bado anataka mwanaume pekee ndiye atoboke kila wakati na mbaya zaidi anataka a"dicted terms". Ujinga wasipouacha wataendelea kutumiwa kama choo.
 
Habari ya kubeep is SO DAMN CHEAP this applies for both gender regardless. I have made a rule not to respond mtu yeyote anayenibeep with exception to wazazi wangu na mtu ambaye najua hajitegemei. Ikiwa ni dume yaani ndo bonge la soo kubeep mwanamke, alafu utasikia nimekumiss au nimekukumbuka. Kama kweli umenimiss kopa unipigie at your own expense but not in my account.

I dont take any excuse ya kubipiwa coz I don't do that myself to others.
 
Habari zenu wanaJf. Mtazamo wangu na wa-Beijing hawa nitofauti kabisa..! Unasemaje kuhusu hili? Leo nimekuta kundi la wa-Beijing fulani wanaponda sana, eti kisa kuna boyfriend/mister wa mwenzao ka-beep simu ya dame/wife wake. Madai yao ni kwamba eti ni aibu kwa mwanaume ku-beep simu ya mwanamke. Mtazamo wangu ni kwamba mtu mwenye mawazo ya aina hii ni mjinga. Mimi nimeoa mwanamke ambae before alikuwa ni gf wangu. Nilipokuwa nahitaji kuongea nae wakati simu yangu haina salio nilikua nam-beep na alikuwa ananipigia. Sasahivi ni ni mke wangu na ananipenda na kuniheshimu. Aibu iko wapi?

Ndo maana tunawagonga na kusepa...a reral woman would understand kwamba kuna times mwanaume wake anapigika na ni fahari kuwa anambip that means anamfikiria.mnakimbilia wanaume wenye hela ambao mawasiliano ni zero.
 
hata kama mwanamke atakupigia, ni aibu kubwa kwa mwanamme kubip simu ya mwanamke, tena kama mna mahusiano ndo yelewi.
Hujui unaloliongea. Unless you are one of those 'Sharobaros' then I can say your right..!
 
there is no general rule to beeping; inategemea na situation tu at that material time
 
Pancrease
sikuelewi unajua!
Yaani nim'beep mai waif wangu uniambie haifai ? Ki vipi ?
Kongosho hajawahi kukutana na mambo haya..! Ninawasiwasi huyu jamaa huwa anapelekwapelekwa sana..!
 
Habari ya kubeep is SO DAMN CHEAP this applies for both gender regardless. I have made a rule not to respond mtu yeyote anayenibeep with exception to wazazi wangu na mtu ambaye najua hajitegemei. Ikiwa ni dume yaani ndo bonge la soo kubeep mwanamke, alafu utasikia nimekumiss au nimekukumbuka. Kama kweli umenimiss kopa unipigie at your own expense but not in my account.

I dont take any excuse ya kubipiwa coz I don't do that myself to others.

Consider this situation. You are a husband, and sometimes you work at remote areas where sometimes you can't get access to top up vouchers. According to you ni kwamba hutaweza kuongea na familia yako just because msimamo wako ni kutom-beep mwanamke. Kwa mtazamo wako mimi nakuona kwamba you are totally outdated. Pole sana..!
 
Ukiona mwenzio anakasirika wewe kumpeeb ujue wewe si mpenzi wake bali wewe ni ATM tu na inawezekana amesave jina lako ATM, VOCHA na mengineyo.
 
Ningekuwa huyo mdada ningemtumia vocha mpenzi wangu kimya kimya ili yeye ndio anipigie. Aibu ukiwa na mashosti. Lol.
 
Habari zenu wanaJf. Mtazamo wangu na wa-Beijing hawa nitofauti kabisa..! Unasemaje kuhusu hili? Leo nimekuta kundi la wa-Beijing fulani wanaponda sana, eti kisa kuna boyfriend/mister wa mwenzao ka-beep simu ya dame/wife wake. Madai yao ni kwamba eti ni aibu kwa mwanaume ku-beep simu ya mwanamke. Mtazamo wangu ni kwamba mtu mwenye mawazo ya aina hii ni mjinga. Mimi nimeoa mwanamke ambae before alikuwa ni gf wangu. Nilipokuwa nahitaji kuongea nae wakati simu yangu haina salio nilikua nam-beep na alikuwa ananipigia. Sasahivi ni ni mke wangu na ananipenda na kuniheshimu. Aibu iko wapi?
sioni tatizo mwanaume kumbip demu wake, mchumba wake hata mkewe ila tatizo linalonisumbua siku nyingi ni wanaume kupenda kuwabip wanaume wenzao ambao hata kuwajua hawawajui, utakuta mtu anakubip kila siku ukimuuliza anakwamba amekosea namba, siyo mmoja wako wengi kweli, yaani mpaka shida.
 
yan partner ananibeep duh!
labda awe ndio MR already nitamchukulia poa, kibf jaman nacho chaanza beep duh.........., me akuu.

Habari zenu wanaJf. Mtazamo wangu na wa-Beijing hawa nitofauti kabisa..! Unasemaje kuhusu hili? Leo nimekuta kundi la wa-Beijing fulani wanaponda sana, eti kisa kuna boyfriend/mister wa mwenzao ka-beep simu ya dame/wife wake. Madai yao ni kwamba eti ni aibu kwa mwanaume ku-beep simu ya mwanamke. Mtazamo wangu ni kwamba mtu mwenye mawazo ya aina hii ni mjinga. Mimi nimeoa mwanamke ambae before alikuwa ni gf wangu. Nilipokuwa nahitaji kuongea nae wakati simu yangu haina salio nilikua nam-beep na alikuwa ananipigia. Sasahivi ni ni mke wangu na ananipenda na kuniheshimu. Aibu iko wapi?
 
Hvi jamani ni muhimu kuchukua simu ya mpenzi wako ili kujua kunanini kwenye inbox kama ishara ya mapenzi ya kweli kwa mpenzio au ni ujinga na ulimbukeni kwenye mapenzi sababu kuna hili limetokea.

kuna jamaa mmoja alichukua simu ya mpenzi wake akakuta mpenzi wake anapongezwa kwa kuweza kumkuna jamaa kisawasawa mchana wa siku hyo. Jamaa alipojalibu kumshilikisha mpenzi wake jibu lilikua hili "mbona mi jana nilikuta sms ya demu wako mwingine tena akikwambia kashafika gesti anakusubili wewe tu tena anahamu na wewe sana" ila mimi sikuoji sasa kwanini wewe unanifatafata.

sasa hivi kuna umuhimu wa kushika simu ya mpenzi wako ili kujua nini kinaendelea katika simu yake
 
Back
Top Bottom