Ushauri wng acheke na kila mmoja ila asimuamini kila ane cheka nae.naunga mkono utendaji wk kazi,yy binaadamu hawezi kamilika ktk kila idara,hivyo tusiogope kumpa ushauri au kumkosoa kwa busara nae kwa hekma aliyopewa na MWENYEEZI MUNGU.ninaamini atakua pamoja na wanao muunga mkono wa dhati si wakumdhihaki.piga kazi mwanawane.call spade a spade.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app