Status
Not open for further replies.
Unajua accrual accounting concept inayotumiwa na serikali as against cash basis accounting concepts? Ukijua dhana hizi na tofauti zake kwenye uhasibu utagundua kuwa Ripoti ya CAG iko sahihi na wala hakuna pesa iliyoibiwa. Usipojitahidi kuelewa mwenyewe utaendelea kuwa mtumwa wa wapotoshaji milele.
Mkuu usipoteze muda wako na hawa watu wasiokua na hoja. Wameshaelezwa mara 1000 hawataki kuelewa kwa makusudi tu. Kwasbbu wakifanya hivyo watakosa hoja. Kwahiyo inabidi washikilie hapo hapo.
 
Unajua accrual accounting concept inayotumiwa na serikali as against cash basis accounting concepts? Ukijua dhana hizi na tofauti zake kwenye uhasibu utagundua kuwa Ripoti ya CAG iko sahihi na wala hakuna pesa iliyoibiwa. Usipojitahidi kuelewa mwenyewe utaendelea kuwa mtumwa wa wapotoshaji milele.
Acrual accounting tupa kule...
 
    1. Usikubali kofia mbili; wewe ni Raisi, uenyekiti wa CCM muachie mwingine ili chama kibaki chama na serikali ibaki serikali.
    2. Washauri Wabunge wa CCM, watangulize maslahi ya taifa mbele ya maslahi ya chama.
    3. Washauri Wabunge wa CCM kama itawezekana wamchague Spika wa Bunge asiyeegemea upande wowote.
    4. Pokea ushauri kutoka kwa vyama vya siasa lakini uwe huru kufanya maamuzi kulingana na matakwa ya Katiba ukizingatia maslahi ya wananchi.
    5. Usiruhusu Ikulu kutumika kwa maslahi ya CCM, vikao vya chama vifanyike nje ya Ikulu.
    6. Washauri CCM waachie mali za wananchi kwa kuzirudisha mikononi mwa wananchi kupitia serikali.
    7. Agiza vyombo vya dola vitoe haki sawa kwa wananchi bila upendeleo.
    8. Futa sheria zote kandamizi zinazozuia uhuru wa kutafuta, kupokea na kutoa habari. Vyombo vyote vya habari viwe huru.
    9. Hakikisha mikataba yote tunayoingia inawekwa wazi ili vijadiliwe na kupitishwa na Bunge.
    10. Vikumbushe vyombo vya dola kwamba jukumu lao la kwanza ni kuwalinda Watanzania na mali zao na si kupambana nao.

Mzee wa Strength in Number Mag3 una madini adhimu sana. Vyoint vyote 10 ni Almasi kama si dhahabu iliyochanganywa na Tanzanite.
 
Kwako mh Rais ,tumehama chama na kujiunga na ccm kukuunga Mkono kwa juhudi zako za kuwaletea wananchi maendeleo

Tunakusifia kila siku mh kwenye midahalo nje na ndani kwenye vyombo vya habari

Mbona wale waliokuwa madiwani na wabunge,mnawapa nafasi ya kugombea na wanashinda wanarudi tena?,sisi ambao hatukuwa na nafasi mh tupeni angalau ukuu wa wilaya

Tupo wengi mheshimiwa ,Akina Kafulila,Machali,Katambi na wengine wengi,tuonee huruma mkuu

Tupo wengine tunaandika makala za kukutukuza mkuu,Tupo akina Muro na Le mutuz

Na wengine kila siku tunakuandika front page ya magazeti yetu mh
Kama Tanzanite na Jamvi la habari mbona tunakusifia kila kukicha mkuu

Mkuu tunaomba uteuzi wako ,tumechoka kusakamwa

Rais amteua Anamringi Macha kuwa mkuu wa wilaya Kahama
Hatimae maombi yangu yamefanyiwa kazi,mungu awabariki wateuliwa
 
Hatimae maombi yangu yamefanyiwa kazi,mungu awabariki wateuliwa
:D:D:D, ukiweka bango la kuwatabiria watu mbona utakula vichwa cutelove! Kutabira mtu mmoja laki mbili mi ntakua cashier wako:cool::cool::cool:, maana si kwakulenga huku aisee, japo wewe ulikua namaana fulani ya kifasihi
 
Ikitokea umepigiwa simu na mh Rais jpm uende ikulu mkafanye mazungumzo,baada ya maongezi yenu yale aliyokuitia kuisha anakupa fursa na wewe uongee ya kwako ambayo ulikuwa unafikiri kuwa siku ukipata nafasi ya kukutana na mh Rais ungemwambia.je ungemwambia mambo gani
 
Jambo ulilofanya la kutaka kutoa uhai wa binadam mwenzako lissu sbu jeshi lako sio la kibinadam unastahili kufa jiwe maana ulidhamiria
 
Binafsi ningeongelea suala la ajira, Boss atoe ajira kama ilivyokua zamani....
Iwe mwalimu,Afya, wahandisi , wahasibu ...yeye atoe ajira tuu
Siku hizi hata watu wa Engineering hali ni mbaya
 
Ningemkumbusha juu ya katiba mpya na hata kuiheshimu hii aliyoapa kuitunza na kuilinda lakini si kuitekeleza!
 
Sera ya uchumi abadili pesa za wizara zirudi mabenki,kodi zisizo rafiki apunguze,haki na stahiki za watumishi azingatie na ajira atoe mara kwa mara nadhan ningemwambia hayo kwa upande wangu.
 
Nashukuru nimefuta nilichokua nimetyp, nisingemalza dk tatu jf, Mods futen huu uzi tunataftiana ban,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom