Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,111
Upuuzi mtupu.
Jamaa janja sanaWewe mbona hujatoa nyongo yako kwanza? Usitutafutie balaa wenzio
Mkuu usipoteze muda wako na hawa watu wasiokua na hoja. Wameshaelezwa mara 1000 hawataki kuelewa kwa makusudi tu. Kwasbbu wakifanya hivyo watakosa hoja. Kwahiyo inabidi washikilie hapo hapo.Unajua accrual accounting concept inayotumiwa na serikali as against cash basis accounting concepts? Ukijua dhana hizi na tofauti zake kwenye uhasibu utagundua kuwa Ripoti ya CAG iko sahihi na wala hakuna pesa iliyoibiwa. Usipojitahidi kuelewa mwenyewe utaendelea kuwa mtumwa wa wapotoshaji milele.
Acrual accounting tupa kule...Unajua accrual accounting concept inayotumiwa na serikali as against cash basis accounting concepts? Ukijua dhana hizi na tofauti zake kwenye uhasibu utagundua kuwa Ripoti ya CAG iko sahihi na wala hakuna pesa iliyoibiwa. Usipojitahidi kuelewa mwenyewe utaendelea kuwa mtumwa wa wapotoshaji milele.
- Usikubali kofia mbili; wewe ni Raisi, uenyekiti wa CCM muachie mwingine ili chama kibaki chama na serikali ibaki serikali.
- Washauri Wabunge wa CCM, watangulize maslahi ya taifa mbele ya maslahi ya chama.
- Washauri Wabunge wa CCM kama itawezekana wamchague Spika wa Bunge asiyeegemea upande wowote.
- Pokea ushauri kutoka kwa vyama vya siasa lakini uwe huru kufanya maamuzi kulingana na matakwa ya Katiba ukizingatia maslahi ya wananchi.
- Usiruhusu Ikulu kutumika kwa maslahi ya CCM, vikao vya chama vifanyike nje ya Ikulu.
- Washauri CCM waachie mali za wananchi kwa kuzirudisha mikononi mwa wananchi kupitia serikali.
- Agiza vyombo vya dola vitoe haki sawa kwa wananchi bila upendeleo.
- Futa sheria zote kandamizi zinazozuia uhuru wa kutafuta, kupokea na kutoa habari. Vyombo vyote vya habari viwe huru.
- Hakikisha mikataba yote tunayoingia inawekwa wazi ili vijadiliwe na kupitishwa na Bunge.
- Vikumbushe vyombo vya dola kwamba jukumu lao la kwanza ni kuwalinda Watanzania na mali zao na si kupambana nao.
Hatimae maombi yangu yamefanyiwa kazi,mungu awabariki wateuliwaKwako mh Rais ,tumehama chama na kujiunga na ccm kukuunga Mkono kwa juhudi zako za kuwaletea wananchi maendeleo
Tunakusifia kila siku mh kwenye midahalo nje na ndani kwenye vyombo vya habari
Mbona wale waliokuwa madiwani na wabunge,mnawapa nafasi ya kugombea na wanashinda wanarudi tena?,sisi ambao hatukuwa na nafasi mh tupeni angalau ukuu wa wilaya
Tupo wengi mheshimiwa ,Akina Kafulila,Machali,Katambi na wengine wengi,tuonee huruma mkuu
Tupo wengine tunaandika makala za kukutukuza mkuu,Tupo akina Muro na Le mutuz
Na wengine kila siku tunakuandika front page ya magazeti yetu mh
Kama Tanzanite na Jamvi la habari mbona tunakusifia kila kukicha mkuu
Mkuu tunaomba uteuzi wako ,tumechoka kusakamwa
Rais amteua Anamringi Macha kuwa mkuu wa wilaya Kahama
, ukiweka bango la kuwatabiria watu mbona utakula vichwa cutelove! Kutabira mtu mmoja laki mbili mi ntakua cashier wako, maana si kwakulenga huku aisee, japo wewe ulikua namaana fulani ya kifasihiHatimae maombi yangu yamefanyiwa kazi,mungu awabariki wateuliwa