Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Magufuli huyu anayeongea sana kuliko kusikiliza na kutenda, kana kwamba ana midomo miwili na sikio moja, hawezi kufanya lolote katika miaka yake mitano ya Urais... huyu hakika Urais kakutana nao tu barabarani na anaushangaa na ataendelea kushangaa mpaka 2020 - si ajabu anazidisha vituko kila kukicha kiasi cha kufikia kucheza gwaride siku ya Uhuru badala ya kukagua gwaride!
Angalia mambo makubwa aliyoyafanya Mkapa kipindi cha Urais wake:
1. Kujenga barabara za lami kuunganisha mikoa yote nchini,
2. Kuanzisha taasisi mbalimbali imara ili kuboresha utendaji wa serikali - Mfano TRA, TIC, TIB na TANROADS,ambazo kwa hakika zimeleta tija katika shughuli za serikali.
3. Kuanzisha programu mbalimbali kubwa ambazo hadi leo akina Magufuli wanapandia juu yake na hawajaweza kuongeza ubunifu wowote, mfano TASAF. MMEM. Anachokifanya Magufuli kuhusu TASAF ni kuwa watu 'wanapiga dili' lakini TASAF wamekuwa wakitenda kazi yao vema tu miaka mingi
4. Kufanya nchi iheshimike kimataifa na kusamehewa madeni makubwa yaliyokuwa yakiikabili nchi
Sasa mimi najiuliza, Magufuli huyu anayevuvuzelika tuuuuuuuuuuuu mchana kutwa ata-achieve nini kipindi cha Urais wake???? Hivi haongei na Mkapa apewe akili?
Angalia mambo makubwa aliyoyafanya Mkapa kipindi cha Urais wake:
1. Kujenga barabara za lami kuunganisha mikoa yote nchini,
2. Kuanzisha taasisi mbalimbali imara ili kuboresha utendaji wa serikali - Mfano TRA, TIC, TIB na TANROADS,ambazo kwa hakika zimeleta tija katika shughuli za serikali.
3. Kuanzisha programu mbalimbali kubwa ambazo hadi leo akina Magufuli wanapandia juu yake na hawajaweza kuongeza ubunifu wowote, mfano TASAF. MMEM. Anachokifanya Magufuli kuhusu TASAF ni kuwa watu 'wanapiga dili' lakini TASAF wamekuwa wakitenda kazi yao vema tu miaka mingi
4. Kufanya nchi iheshimike kimataifa na kusamehewa madeni makubwa yaliyokuwa yakiikabili nchi
Sasa mimi najiuliza, Magufuli huyu anayevuvuzelika tuuuuuuuuuuuu mchana kutwa ata-achieve nini kipindi cha Urais wake???? Hivi haongei na Mkapa apewe akili?