halafu hili jina la sukuma gang naona wasukuma wamelipenda wamelibadili kidogo wanajita sukuma GangweNa tunampenda sana na tuna muombea , CCM Sukuma Gang washindwe kabisaaaaaaa
Mtapata taabu saana maana Mama Samia is the 'iron lady'! Ukiingia anga zake tu kuvuruga serikali iliyoyaanzisha chini ya JPM, ambayo yy naye alikuwa sehemu ya serikali hiyo lazima apite na weye!
Hamtaamini huyu mama atakavyokuwa zaidi ya Magufuli kwa kutokucheka na nyani! Mama Samia atapandisha viwango vya uongozi kiasi kwamba tutatamani aendelee kutawala kwa muda mrefu!
Nafasi ya mwanamke kuchukua madaraka makubwa inaenda kuhakikishwa kwa utendani bora wa Mama Samia! Wezi mmeula wa chuya! Hamna chenu hapa!
Wataje kwa majinaKuna wachawi wengi sana hapa tz
Kwa sbb siyo mgumba 😂!Kwanini mnamwita mama Samia badala ya Rais Samia Suluhu? Au ana mtoto anaitwa Samia? Mbona Magufuli hamkuwa mnamwita baba John Magufuli? Mwiteni Rais kwa cheo chake hilo la mama ni nyumbani huko kwa mumewe na watoto.
Kwa sbb siyo mgumba 😂!Kwanini mnamwita mama Samia badala ya Rais Samia Suluhu? Au ana mtoto anaitwa Samia? Mbona Magufuli hamkuwa mnamwita baba John Magufuli? Mwiteni Rais kwa cheo chake hilo la mama ni nyumbani huko kwa mumewe na watoto.