Tuliibiwa na wachinaSi CCM ilituambia kuwa tisiwe na wasiwasi gesi asilia imejaa kibao
Kwahiyo Wachina walikuja usiku usiku wakashirikiana na Chadema halafu Tundu Lissu akawafungulia mlango wa uwani au sioo!Tuliibiwa na wachina
Watanzania hawatakubaliAtakayefuta legacy ya Magufuli ni Samia na ndani ya wiki 2 tu tumeshamsahau umebaki wewe unayelialia.
Watanzania hawatakubali miradi yao kuliwa kichwa.Hayo yote yanaweza kuliwa kichwa bila hata hata kujieleza kwa sababu Alipokuwa anaunua ndege kwa cash bila idhini ya bunge hakujieleza , alipojenga Bwawa la Umeme bila feasibility study na Tathmini ya mazinga hakujieleza, alipojenga uwanja wa ndege Chato hakujieleza. Zaidi sana alisema yeye ukimshauri ndio unaharibu kabisa.
Imeanza. Soma report ya CAGWatanzania hawatakubali miradi yao kuliwa kichwa
Chadema inaonekana wana nguvu mnoo aisee 🤣🤣🤣Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
Watanzania hawali wapinzani, watanzania wanataka umeme na majiLegacy aliyoacha Magufuli ni hii hapa:
1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.
2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.
3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku.
4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.
5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.
6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.
7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.
8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.
9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.
10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.
11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.
12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.
13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.
14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.
15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.
16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?
17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.
18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.
19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.
20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.
21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.
22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.
23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.
24.Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa.
Mbona huu mtanange ni wa kwenu wenyewe CCM? CAG aliwekwa na Chadema? Ndungai ni Chadema? Kigwangwala ni. Chadema? The list is endless,pinganeni,piganeni,uaneni mtajijua wenyewe. Sisi Chadema ni wapenzi watazamaji tu.Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
Kwani huyu mwendazake unayempigania ana legacy ipi? Ya kupiga watu risasi? ya kutumia kibabe fedha za serikali kununua ndege nyingi zinazoliingizia hasara Taifa? Kutumia fedha za serikali kujenga kwao? Legacy ipi? Au hujui hata maana ya legacy?Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
Watanzania siyo vilazaMbona huu mtanange ni wa kwenu wenyewe CCM? CAG aliwekwa na Chadema? Ndungai ni Chadema? Kigwangwala ni. Chadema? The list is endless,pinganeni,piganeni,uaneni mtajijua wenyewe. Sisi Chadema ni wapenzi watazamaji tu.
Kama unavyoinjoi fly over kenge weweUnauaje kisichokuwepo na kisichoishi? Kwani kuna legacy gani ya huyo mwendazake? Tatizo mleta mada haelewi hata maana ya legacy. Legacy haipigiwi debe wala kupiganiwa bali ipo tu na inajipigania yenyewe, yaani inajiuza yenyewe.