Sheria kwa Kiswahili
Senior Member
- Mar 30, 2018
- 116
- 106
ukweli ni kwamba, kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. kuna wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna, yawapasa kila mhusika kuanzia viongozi wa dini na serikali wawe makini wakijua they are not imune kushitakiwa either ICC au kwa zile nchi zingine hata mahakama za ndani. (ukiondoa tz).