Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Lula was very smart President,but Sheria Ni msumeno wacha apambane na Hali yake
Smart but power went into his head. And thought that the country was his. And thus thought he could make easy money.
Kwa bahati mbaya the LAW has caught up with him. ALL his smartness has come to naught!!
 
Lula was very smart President,but Sheria Ni msumeno wacha apambane na Hali yake
Yes he was a smart President but corrupt.. He allowed power to get into his head thinking he could easily make quick money through corruption.
Unfortunately the law has caught up with him.
UFISADI nimbaya sana.
 
View attachment 737179
Rais wa zamani wa A/Kusini Jacob Zuma akiwa kizimbani.
View attachment 737185
Rais wa zamani wa Brazil Lila De Silva akiwa kizimbani.
View attachment 737187
Rais wa zamani wa Korea Kusini, Park alipokuwa akipelekwa Mahakamani.

Kumekuwa na wimbi jipya sana linaloendelea duniani la kushitakiwa viongozi wa nchi na WASHIRIKA wao pinde anapoachia madaraka hasa kutokana na UFISADI.

1.Tumeona rais wa zamani wa Afrika Kusini akiwa kizimbani kwa makosa ya UFISADI baadhi ya mashataka ni MANUNUZI ya SILAHA miaka ya 90. !!!!
Huku mshirika wake MKUU GUPTA ambaye ndiye aliyekuwa akimsaidia Zuma yuko matatani.
anatafutwa.

2.Rais Lule de Silva wa Brazil KUFUNGWA miaka 12 gerezani baada ya kuwa rais kwa miongo miwili katika utawala wake kwa kosa la UFISADI na kutumia madaraka yake KUJITAJIRISHA na kupokea RUSHWA!.

3.Rais wa zamani na wa kwanza mwanamke wa KOREA KUSINI Ms Park kahukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 24 gerezani, na kuilipa serikali Dollar za Kimarekani millioni 24.
MSAIDIZI wake aliyekuwa AKITENGENEZA DILI zake miaka nafikiri 10

Wakati vuguvuvugu la vyama vingi lilipoanza lilianza hivi hivi tu baadaye likapokelewa na Afrika na Tanzania kwa ujumla. "You cannot resist an idea whose time has come"./Huwezi kuzuia NIA/WAZO ambalo wakati wake umefika!

TUPENDE , TUSIPENDE siku moja litatokea Tanzania. Hamna huruma kwa watu walio ila Tanzania na kuwafanya Watanzania wengine kama second class Citizens and destitute/Maskini wa kutupwana watu wa daraja la pili

Wakati wengine WANAKULA na KUSAZA na KUENDESHA MAGARI yanyaozidi mishahara yao.Majumba mabayo hawawezi kuelezea WALIYAPATA namana gani.

Nasema hivi kwa sababu. Kwa nini Rais Magufuli kwa Muda mfupi wa kipindi cha MIAKA 2 NA NUSU tu ameweza KUFANYA mambo MAKUBWA sana. Kwani VIONGOZI waliomtangulia HAWAKUYAONA?????

Let's call a Spade a Spade/Acha tuite kama ni Koleo ni Koleo na si KIJIKO.
UKWELI ni lazima USEMWE.
Within miaka miwili na nusu. Ndege ndo hizo na zingine zinakuja. Elimu bure, KUDHIBITI Madini yetu. SGR sijui nini Mambo meengi sana mzee kafanya.
Tumpongeze.



Hata haya ya jana aliyoyafanya ya kujenga na kufungua UKUTA MERARANI liliokuwa ni NDOTO kwa wengine. alifanya hivyo ili KUNUFAISHA Watanzania WASIENDELEE KUIBIWA raslmali zao. Kweli MAGUFULI ANASTAHILI PONGEZI sana sana.

Pamoja na mapungufu yake ambayo tunajaribu kumshauri kila wakati kupitia mitandao ya jamii. Maana naye ni binadamu SI Malaika.
Lakini ukweli AISEE Mzee AMEFANYA KAZI zinazoonekana

Kama tukiweka kwenya MIZANI nafikiri UZITO wa MAZURI ota ushinda MAPUNGUFU yake.

Hata katika maoni yangu si kwamba kila kitu huwa ninakubaliana naye, kuna wakati nakosoa na kutoa ushauri. Ili mtu asiseme bla bla sijui nini!

Maana hata KATIKA FAMILIA yeyoteile mtu na NDUGU yake si LAZIMA wakubaliane kimawazo wakati mwingine hutofautiana sana.

Hata hivyo hubaki kuwa wao ni ndugu mwishowe HUELEWANA na maisha yanaendelea.
Na hiyo ndo tabia ya kibinadamu.


POINTI yangu kuu ni kuwa naamni SIKU MOJA WATU fulani watakuja kujibu KWA NINI WALIIFIRISISHA Tanzania kupitia UFISADI.

Niaamini. itafika mahali CHAMA cha CCM na WABUNGE wa vyama vingine kwa PAMOJA wataungana ili kukiondoa KIFUNGU cha IMMUNITY ya kutokushtakiwa kwa {sic}


Hata kama si huyu Rais Magufuli SASA basi rais atakayekuja siku zijazo huenda akawa na MAONO na UCHUNGU kama wa Magufuli wa NCHI na WANANCHI wake ATAKUWA na UJASIRI na kuwapeleka MAHAKAMANI viongozi MAFISADI bila huruma.
kwa tz hii na maiti hawa wanaoitwa wananchi ni vizuri kuota
 
View attachment 737179
Rais wa zamani wa A/Kusini Jacob Zuma akiwa kizimbani.
View attachment 737185
Rais wa zamani wa Brazil Lila De Silva akiwa kizimbani.
View attachment 737187
Rais wa zamani wa Korea Kusini, Park alipokuwa akipelekwa Mahakamani.

Kumekuwa na wimbi jipya sana linaloendelea duniani la kushitakiwa viongozi wa nchi na WASHIRIKA wao pinde anapoachia madaraka hasa kutokana na UFISADI.

1.Tumeona rais wa zamani wa Afrika Kusini akiwa kizimbani kwa makosa ya UFISADI baadhi ya mashataka ni MANUNUZI ya SILAHA miaka ya 90. !!!!
Huku mshirika wake MKUU GUPTA ambaye ndiye aliyekuwa akimsaidia Zuma yuko matatani.
anatafutwa.

2.Rais Lule de Silva wa Brazil KUFUNGWA miaka 12 gerezani baada ya kuwa rais kwa miongo miwili katika utawala wake kwa kosa la UFISADI na kutumia madaraka yake KUJITAJIRISHA na kupokea RUSHWA!.

3.Rais wa zamani na wa kwanza mwanamke wa KOREA KUSINI Ms Park kahukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 24 gerezani, na kuilipa serikali Dollar za Kimarekani millioni 24.
MSAIDIZI wake aliyekuwa AKITENGENEZA DILI zake miaka nafikiri 10

Wakati vuguvuvugu la vyama vingi lilipoanza lilianza hivi hivi tu baadaye likapokelewa na Afrika na Tanzania kwa ujumla. "You cannot resist an idea whose time has come"./Huwezi kuzuia NIA/WAZO ambalo wakati wake umefika!

TUPENDE , TUSIPENDE siku moja litatokea Tanzania. Hamna huruma kwa watu walio ila Tanzania na kuwafanya Watanzania wengine kama second class Citizens and destitute/Maskini wa kutupwana watu wa daraja la pili

Wakati wengine WANAKULA na KUSAZA na KUENDESHA MAGARI yanyaozidi mishahara yao.Majumba mabayo hawawezi kuelezea WALIYAPATA namana gani.

Nasema hivi kwa sababu. Kwa nini Rais Magufuli kwa Muda mfupi wa kipindi cha MIAKA 2 NA NUSU tu ameweza KUFANYA mambo MAKUBWA sana. Kwani VIONGOZI waliomtangulia HAWAKUYAONA?????

Let's call a Spade a Spade/Acha tuite kama ni Koleo ni Koleo na si KIJIKO.
UKWELI ni lazima USEMWE.
Within miaka miwili na nusu. Ndege ndo hizo na zingine zinakuja. Elimu bure, KUDHIBITI Madini yetu. SGR sijui nini Mambo meengi sana mzee kafanya.
Tumpongeze.



Hata haya ya jana aliyoyafanya ya kujenga na kufungua UKUTA MERARANI liliokuwa ni NDOTO kwa wengine. alifanya hivyo ili KUNUFAISHA Watanzania WASIENDELEE KUIBIWA raslmali zao. Kweli MAGUFULI ANASTAHILI PONGEZI sana sana.

Pamoja na mapungufu yake ambayo tunajaribu kumshauri kila wakati kupitia mitandao ya jamii. Maana naye ni binadamu SI Malaika.
Lakini ukweli AISEE Mzee AMEFANYA KAZI zinazoonekana

Kama tukiweka kwenya MIZANI nafikiri UZITO wa MAZURI ota ushinda MAPUNGUFU yake.

Hata katika maoni yangu si kwamba kila kitu huwa ninakubaliana naye, kuna wakati nakosoa na kutoa ushauri. Ili mtu asiseme bla bla sijui nini!

Maana hata KATIKA FAMILIA yeyoteile mtu na NDUGU yake si LAZIMA wakubaliane kimawazo wakati mwingine hutofautiana sana.

Hata hivyo hubaki kuwa wao ni ndugu mwishowe HUELEWANA na maisha yanaendelea.
Na hiyo ndo tabia ya kibinadamu.


POINTI yangu kuu ni kuwa naamni SIKU MOJA WATU fulani watakuja kujibu KWA NINI WALIIFIRISISHA Tanzania kupitia UFISADI.

Niaamini. itafika mahali CHAMA cha CCM na WABUNGE wa vyama vingine kwa PAMOJA wataungana ili kukiondoa KIFUNGU cha IMMUNITY ya kutokushtakiwa kwa {sic}


Hata kama si huyu Rais Magufuli SASA basi rais atakayekuja siku zijazo huenda akawa na MAONO na UCHUNGU kama wa Magufuli wa NCHI na WANANCHI wake ATAKUWA na UJASIRI na kuwapeleka MAHAKAMANI viongozi MAFISADI bila huruma.
Tutaanza na huyu huyu !
Miaka miwili tu chato imekuwa vile. Pia kivuko ,risasi nje nje,maiti kila kona,bajeti haijulikani!
LAZIMA ATAELEZA!
 
Ufisadi hauna chama,kabila,rangi,cheo.Hata huko upinzani kuna mafisadi,wakwepa kodi,wauza mihadarati,matapeli,majizi n.k.Unapompa kimada wako nafasi ya ubunge kisa ni kimada wako au kimada wa rafiki yake tayari huo ni ufisadi,unapodai nyumba ya shirika la umma ni yako wakati unajua sio yako tayari ni ufisadi,unapokuwa na mimali isiyoelezeka wakati hujawahi kuwa mfanyabiasha hata siku moja huo ni ufisadi
 
Ufisadi hauna chama,kabila,rangi,cheo.Hata huko upinzani kuna mafisadi,wakwepa kodi,wauza mihadarati,matapeli,majizi n.k.Unapompa kimada wako nafasi ya ubunge kisa ni kimada wako au kimada wa rafiki yake tayari huo ni ufisadi,unapodai nyumba ya shirika la umma ni yako wakati unajua sio yako tayari ni ufisadi,unapokuwa na mimali isiyoelezeka wakati hujawahi kuwa mfanyabiasha hata siku moja huo ni ufisadi
CCM ndipo kuna Ufisadi wote, mawaziri wengi hasa wa kike zipo tetesi kibao, ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi Chato Airport, viwanja vinginevyo vya ndege, bomba za gesi, mafuta, ujenzi wa reli kote kuna Ufisadi pia zipo 10% za Wajanja wachache huko CCM , una Dili nyingi wamepiga ikiwemo kivuko cha Dsm-Bagamoyo , uuzaji nyumba za serikali akajiuzia nyumba kibao na zingine akagawa kwa hawala na mdogo wake ambao hawakuwa watumishi wa umma.
 
Wachaga dema wanaamini wao ndio bora kuliko yeyote asiye wao, nyie was****** hivi nchi iliyogawanyika ikoje?
Walimu wangapi wanafanya kazi nchi nzima bila kujali who is who and from which party of the country brings his mothelaland.
Polisi wangapi wanafanya kazi popote bara na visiwani bila kinyongo (uzalendo)
Kila idara ya umma nchini Tanzania imewakusanya watanzanzania woooote bila kujali ujinga wa chagadema.
Sasa nyie wauza chama kazi yenu imebaki hizi propaganda za bilicanas alipokuwa akiuza K Huyu mange Kimambo wenu.... Ole wenu

Chonde chonde msivute bangi zenu na kutuharibia amani na utulivu na uzalendo wa nchi hii... Pambaneni na hali zenu..... Ohoooooo!
Labda kama wewe ni mtoto mdogo.... Miaka yote tangu enzi za Hayati Baba wa Taifa zilipokuwa zinatolewa tuhuma za ukabila/udini/ukanda haijawahi kuwa ktk mtazamao unaouwaza.
Ziliangaliwa higher positions za ufanyaji maamuzi na ndio malalamiko yakaibuka. Huwezi kusema mbona manesi wanatoka kabila zote, au walimu, n.k. Nakushauri fuatilia historia vizuri na tafuta hata hotuba za Baba wa Taifa na vitabu vyake usome.

Pia mimi sikuzungumzia mambo ya Chadema, endelea kuvaa u-CHADEMA/u-CCM uone kama utaelewa kitu
 
Mkuu nimekuelewa sana na wala sikupingi ni kubadilishana mitazamo na mawazo tu.
Ukimwangalia sana Magufuli kitendo alichofanya Mwanza HAKIKUWA cha UBAGUZI aliteleza katika hali ya upungufu wa kibinadamu.
Mara nyingi Magufuli hufanya maaamuzi mengine tata hasa ANAPOFURAHI sana kupita kiasi.
Na anataka instant results/Matokeo ya pao kwa papo.

Nafikiri wasaidizi wake wamemwelewa na hawana shida naye.

Maana anaweza kutoa tamko watu wakaanza kutazamana na kushangaa wakati yeye anawashangaa "MNASHANGAA NINI?"
Kulingana naye yeyeTAYARI kishamaliza na kufunga kazi!.Ukibaki unashangaa shauri yako.

Yaani sometimes anakuwa a bit emotional na impulsive/HATABIRIKI.
Na huo tu ndo udhaifu wake.

Ndo maana wengi hawakumwelewa alipotoa tamko hilo akiwa Mwanza as if Mwanza ndo Tanzania NZIMA.
Yeye alisema na kumaliza. Wengine mnashangaa yeye kaenda zake.

Hivyo ndo sisi wote tuliumbwa tofauti.
Kwa mfano hatuwezi kumfananisha Rais Magufuli na rais TRUMP wa Marekeni.

Yeye ndo basi tu. ANAFUTA LEO huyu, ANALETA MWINGINE ,KABLA HAJAKAA SAWA ANABADILISHA WASHAURI wake kila leo
Akienda mitandaoni ni kutukana wengine na HAJALI!!!

jAMANI afadhali Magufuli wetu tumvumilie ukilinganisha na TRUMP.
Sasa Trump anaaamka tu anasema "TUNAOONDOA majeshi SYRIA" Mshauri anamshauri ANAKATAA na kusema HAMNA KAZI nenda nyumbani.

Waziri wa masuala ya kigeni anamshauri kuhusu N/Korea na kutoa tamko.
Trump ANAMPINGA kupitia TWEETER na kusema hamna kazi.

Jamani AFADHALI MAGUFULI wetu hajatufikisha hapo jamani.
Rais wa Marekani ni mtu wa ajabu kati ya Marais wote waliowahi kutawala nchi hiyo.
Kwani tunatafuta afadhali mkuu?
 
Eti umesema yeye ni binadamu sio malaika wakati yeye mwenyewe amesema mungu atanteua awe kiongozi wa malaika
 
View attachment 737179
Rais wa zamani wa A/Kusini Jacob Zuma akiwa kizimbani.
View attachment 737185
Rais wa zamani wa Brazil Lila De Silva akiwa kizimbani.
View attachment 737187
Rais wa zamani wa Korea Kusini, Park alipokuwa akipelekwa Mahakamani.

Kumekuwa na wimbi jipya sana linaloendelea duniani la kushitakiwa viongozi wa nchi na WASHIRIKA wao pinde anapoachia madaraka hasa kutokana na UFISADI.

1.Tumeona rais wa zamani wa Afrika Kusini akiwa kizimbani kwa makosa ya UFISADI baadhi ya mashataka ni MANUNUZI ya SILAHA miaka ya 90. !!!!
Huku mshirika wake MKUU GUPTA ambaye ndiye aliyekuwa akimsaidia Zuma yuko matatani.
anatafutwa.

2.Rais Lule de Silva wa Brazil KUFUNGWA miaka 12 gerezani baada ya kuwa rais kwa miongo miwili katika utawala wake kwa kosa la UFISADI na kutumia madaraka yake KUJITAJIRISHA na kupokea RUSHWA!.

3.Rais wa zamani na wa kwanza mwanamke wa KOREA KUSINI Ms Park kahukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 24 gerezani, na kuilipa serikali Dollar za Kimarekani millioni 24.
MSAIDIZI wake aliyekuwa AKITENGENEZA DILI zake miaka nafikiri 10

Wakati vuguvuvugu la vyama vingi lilipoanza lilianza hivi hivi tu baadaye likapokelewa na Afrika na Tanzania kwa ujumla. "You cannot resist an idea whose time has come"./Huwezi kuzuia NIA/WAZO ambalo wakati wake umefika!

TUPENDE , TUSIPENDE siku moja litatokea Tanzania. Hamna huruma kwa watu walio ila Tanzania na kuwafanya Watanzania wengine kama second class Citizens and destitute/Maskini wa kutupwana watu wa daraja la pili

Wakati wengine WANAKULA na KUSAZA na KUENDESHA MAGARI yanyaozidi mishahara yao.Majumba mabayo hawawezi kuelezea WALIYAPATA namana gani.

Nasema hivi kwa sababu. Kwa nini Rais Magufuli kwa Muda mfupi wa kipindi cha MIAKA 2 NA NUSU tu ameweza KUFANYA mambo MAKUBWA sana. Kwani VIONGOZI waliomtangulia HAWAKUYAONA?????

Let's call a Spade a Spade/Acha tuite kama ni Koleo ni Koleo na si KIJIKO.
UKWELI ni lazima USEMWE.
Within miaka miwili na nusu. Ndege ndo hizo na zingine zinakuja. Elimu bure, KUDHIBITI Madini yetu. SGR sijui nini Mambo meengi sana mzee kafanya.
Tumpongeze.



Hata haya ya jana aliyoyafanya ya kujenga na kufungua UKUTA MERARANI liliokuwa ni NDOTO kwa wengine. alifanya hivyo ili KUNUFAISHA Watanzania WASIENDELEE KUIBIWA raslmali zao. Kweli MAGUFULI ANASTAHILI PONGEZI sana sana.

Pamoja na mapungufu yake ambayo tunajaribu kumshauri kila wakati kupitia mitandao ya jamii. Maana naye ni binadamu SI Malaika.
Lakini ukweli AISEE Mzee AMEFANYA KAZI zinazoonekana

Kama tukiweka kwenya MIZANI nafikiri UZITO wa MAZURI ota ushinda MAPUNGUFU yake.

Hata katika maoni yangu si kwamba kila kitu huwa ninakubaliana naye, kuna wakati nakosoa na kutoa ushauri. Ili mtu asiseme bla bla sijui nini!

Maana hata KATIKA FAMILIA yeyoteile mtu na NDUGU yake si LAZIMA wakubaliane kimawazo wakati mwingine hutofautiana sana.

Hata hivyo hubaki kuwa wao ni ndugu mwishowe HUELEWANA na maisha yanaendelea.
Na hiyo ndo tabia ya kibinadamu.


POINTI yangu kuu ni kuwa naamni SIKU MOJA WATU fulani watakuja kujibu KWA NINI WALIIFIRISISHA Tanzania kupitia UFISADI.

Niaamini. itafika mahali CHAMA cha CCM na WABUNGE wa vyama vingine kwa PAMOJA wataungana ili kukiondoa KIFUNGU cha IMMUNITY ya kutokushtakiwa kwa {sic}


Hata kama si huyu Rais Magufuli SASA basi rais atakayekuja siku zijazo huenda akawa na MAONO na UCHUNGU kama wa Magufuli wa NCHI na WANANCHI wake ATAKUWA na UJASIRI na kuwapeleka MAHAKAMANI viongozi MAFISADI bila huruma.
Ukiona mwanaume kila siku anasimulia habari za wanaume wenziye kila siku ujue siyo Riziki
 
Mkuu hapo umekosea. Heshima si utumwa. Ni vizuri tuiheshimu taasisi ya URAISI hata kama hukubalini naye.
Ni MTANZANIA mwenzetu na wala si hivyo usemavyo.
Tujadili hoja badala ya matusi na kubezana. Ama vipi mkuu?
Ni kweli usemacho! Lakini wao ndo wanapandikiza haya mambo, wangejibu hoja za askofu Niwemugizi, kakobe na mwanafunzi Nondo badala ya kuwaita uhamiaji!
 
Kwa katiba yetu haiwezekani labda wakati ukifika wa kuweka hilo unalotabiri. Kweli ndege tumeziona Je, vipi kipato cha mtu wa chini kokoje nacho
 
Ni kweli usemacho! Lakini wao ndo wanapandikiza haya mambo, wangejibu hoja za askofu Niwemugizi, kakobe na mwanafunzi Nondo badala ya kuwaita uhamiaji!
Nakuelerwa mkuu. Wakati mwingine wanahitaji kuchukuli mambo kwa utaratibu isionekane kama ni visasi.
Pengine ni maamuzi ya watu wa ngazi za chini. Inahitajika Magufuli kama rais awaambie "Msiniharibie serikali yangu kwa kuwaita watu wanaotoa maoni eti ni Wahamiaji"
Nakuelewa kabisa,
 
Back
Top Bottom