Ombi kwa Rais Samia: Japo wengi wape, wachache pia wasikilizwe, Hoja ya kufanya minimum reforms za Katiba ni hoja ya msingi sana kuliko hata Sheria!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,604
Wanabodi,

Kwa kadri siku zinavyokwenda na miaka inavyopita, ndivyo wazee wanavyopita na vijana kuchipukia, hivyo sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, na ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara kama za Mfalme Suleiman, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu lakini wachache ndio wakapewa!, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja!, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge!, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, kuleta katiba ya vyama vingi, then chama hiki kimoja kitaendelea kutawala Tanzania kwa miaka mingi ijayo na pengine kitatawala milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya ”wengi wape, ila wachache wasikilizwe”!. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa Rais Samia, lile jicho lake niliwahi kuliandika humu kuwa ni jicho la haki, liangazie haki kuu za msingi zilizoporwa na sikio la Rais Samia nililiita ni sikio la haki kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia!.

Kwa mujibu wa katiba yetu,
Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa!, zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa!. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, kupitia ile falsafa yake ya 4R na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa!.

Sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye ni marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
 
Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko
Ndio tatizo la Katiba
 
Well written. Kuna vimabadiliko vinawezekana kabla ya 2025. Vifanyike tu mapema wale tegemezi ambao wanaona vitawaletea madhara kwenye ndoto zao wataji-adjust na wata-survive. Kuna kitu mimi kinanipa matumaini na Mwenyekiti wetu,nacho ni historia yake ya usikivu na kwenda kinyume na mategemeo ya waliomzunguka kwa maslahi ya nchi bila aibu. Haikuwa rahisi kumuita Mbowe Ikulu,haikuwa rahisi kwenda kwenye maridhiano,hatua zote hizo zilipingwa na baadhi ndani ya chama na najua hata sasa lipo ambalo litafanyika kwa maslahi ya Taifa hili.
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% waliotaka vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, akawasikiliza wachache, Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, wale wengi wanaendelea kukichagua chama chao kimoja!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia. Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?, ambapo mpaka hapa ninapoandika hapa, haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wagombea au wananchi, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna viongozi wetu!.

Rais Samia Suluhu, japo ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, lakini Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preaching? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kakuta zimeishaporwa na sasa anafanya marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi?, hivyo jee inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Haki ziko nyingi, lakini mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  1. Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga.
  2. Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  3. Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.
Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Haya ni mabandiko ya kichawa, yanakuja kiunafikinafiki zaidi. Kilio Cha katiba ni cha miaka 30+ Sasa, Sasa hiyo kidogo kidogo tukubali Ili iweje? Huu mtindo wa kujinyenyekeza kwa viongozi, tena walioko madarakani kwa wizi wa kura ndio umetufikisha hapa. Suala la katiba mpya liko nje ya muda, na bado tunaleta story za kupokea kidogo kisha tudai kikubwa!

Dhalimu Magu ndio alikuja kuweka mwisho wa matumizi ya hiyo katiba outdated, kutokana na alivyoinajisi hiyo katiba. Kuendelea kubembeleza kitu ambacho tunajua fika wanaofaidika na katiba hii hawataki katiba mpya, ni matumizi mabaya ya raslimali muda. Ni Aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi ili tuanze upya kama taifa.
 
Mayalla unataka pawepo na mgombea binafsi pale uliposema kuna kakikundi kadogo kamepoka haki ya wananchi kumchagua mgombea wamtakae?

Mbona kwangu naona bado wananchi wanayo haki ya kumchagua mgombea wamtakaye, tatizo tulilonalo ni maamuzi yao kutoheshimiwa, hasa pale ambapo Tume ya uchaguzi huja na matokeo yao mfukoni.

Kwa mantiki hii, hata kama tukija na mgombea binafsi kama ndicho unachotaka, naona bado haki ya wananchi kumchagua wamtakaye itaendelea kuporwa na Tume ya uchaguzi, kwa manufaa ya kikundi cha siasa hasa CCM, kinachomteua mwenyekiti wake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, akawasikiliza wachache, Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ile ile ya chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia. Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?, ambapo mpaka hapa ninapoandika hapa, haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wagombea au wananchi, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna viongozi wetu!.

Rais Samia Suluhu, japo ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, lakini Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preaching? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kakuta zimeishaporwa na sasa anafanya marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi?, hivyo jee inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Haki ziko nyingi, lakini mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  1. Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga.
  2. Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  3. Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.
Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Wewe Pasco wewe!!

Dola inataka katiba mpya sio nusu katiba!!
Hakuna utii na nusu utii!!

Kama chama tumeamua kukaidi Basi tujiandae kulinywa tu Hanna namna!!

Mimi niliwahi mshauri mama aunde Bunge walau la katiba hata likikaa Kwa muda mrefu walau tuonyeshe tunatii kuliko usanii!!

Maagizo yalisema uchaguzi was serikali za mitaa usubiri Hadi katiba mpya ipatikane,matokeo yake tunaingia kwenye uchaguzi Kwa kuwarubuni chadema na nusu mkate badala ya katiba!!!

Haya ni matusi kwa Dola,matuzi Kwa utaifa matusi Kwa wananchi,matusi Kwa jamuhuri,!!

Binafsi nashangazwa Sana na muelekeo huu tulionao!!!
 
Wanabodi,Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, akawasikiliza wachache, Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ile ile ya chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia. Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.Mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?, ambapo mpaka hapa ninapoandika hapa, haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wagombea au wananchi, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna viongozi wetu!.Rais Samia Suluhu, japo ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, lakini Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preaching? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kakuta zimeishaporwa na sasa anafanya marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi?, hivyo jee inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?. Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
    • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"

    • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
    • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
💯 truth !
Kama atataka kujiwekea legacy nzuri ili akumbukwe anao uwezo wa kuyatekeleza uliyo yashauri,,
After all ni vipengele vimo kwenye Katiba ya sasa ila vimepokwa na wenye kupenda Abracadabra katika Nchi kwa manufaa yao !
 
Mayalla unataka pawepo na mgombea binafsi pale uliposema kuna kakikundi kadogo kamepoka haki ya wananchi kumchagua mgombea wamtakae?

Mbona kwangu naona bado wananchi wanayo haki ya kumchagua mgombea wamtakaye, tatizo tulilonalo ni maamuzi yao kutoheshimiwa, hasa pale ambapo Tume ya uchaguzi huja na matokeo yao mfukoni.

Kwa mantiki hii, hata kama tukija na mgombea binafsi kama ndicho unachotaka, naona bado haki ya wananchi kumchagua wamtakaye itaendelea kuporwa na Tume ya uchaguzi, kwa manufaa ya kikundi cha siasa hasa CCM, kinachomteua mwenyekiti wake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
CCM ndiyo tatizo no moja
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Na mw.nyerere kayasema sana
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Katika mtu mweupe ni wewe huko shuleni ulienda kukua badala ya kuelimika
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Muda hautoshi, white paper inahitaji ushirikishwaji wa wadau , kwa walau mwaka mzima.

Tuendelee kutoa elimu kwa wadau kwanza waelewe, hasa wananchi, chadema wao wanapigania madaraka na vyeo tu, hawana ajenda za wananchi
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Wisdom

Well said mkuu Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom