johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,891
Hahahaa!!!Natumaini haujibu sarcastically .
Hahahaa!!!Natumaini haujibu sarcastically .
Kwa wananchi wa kawaida ukiwambia Magufuli ni MBAYA watakuona wewe hauko sawa sawa. Maana KOROSHO zimepata SOKO na kwa bei nzuri. Nk nk.Magufuli anastahili pongezi mno hasa kutoka kwa wananchi wa kawaida
Sijui hata kama umeuelewa huu Uzi unazungumzia kitu gani!Hata viongozi wa upinzani waliopiga bilioni za mafisadi wanafaa kushtakiwa
Kwani mahakama ya mafisadi si ipo??
Zuma alishitakiwa akiwa rais kwa kutumia fedha za umma kukarabati jumba lake na mahakama ikatoa hukumu kuwa alipe. Hii ya jana wamefukua makaburi, hata huku kwetu wangefanya hivyo ingekuwa somo zuri kwa future presidents.Tanzania ni kama Afrika Kusini. Rais hawezi kushtakiwa kwa makosa aliyoyafanya akiwa madarakani. Rais Zuma ameshtakiwa kwa makosa ya kabla hajawa rais. Katiba yao hairuhusu kumshtaki kwa makosa aliyoyafanya akiwa rais. Tanzania haki kadhalika. Rais anaweza kushtakiwa kwa makosa yoyote aliyofanya kabla hajawa rais au baada.
Kwa Brazil na South Korea ni kinyume. Tuheshimu katiba zao nasi tuheshimu yetu. Subirini siku Lowassa akiwa rais (Joke), ndio mbadilishe katiba ili tumfunge kisawasawa maana lazima ATAIBA TU! Hawa wengine, WAACHENI WAPUMZIKE!
Naona hujanipata bado. KOSA la RUSHWA la SILAHA MOJA ya MENGI ikiwa ni PAMOJA na alipokuwa MADARAKANI,Tanzania ni kama Afrika Kusini. Rais hawezi kushtakiwa kwa makosa aliyoyafanya akiwa madarakani. Rais Zuma ameshtakiwa kwa makosa ya kabla hajawa rais. Katiba yao hairuhusu kumshtaki kwa makosa aliyoyafanya akiwa rais. Tanzania haki kadhalika. Rais anaweza kushtakiwa kwa makosa yoyote aliyofanya kabla hajawa rais au baada.
Kwa Brazil na South Korea ni kinyume. Tuheshimu katiba zao nasi tuheshimu yetu. Subirini siku Lowassa akiwa rais (Joke), ndio mbadilishe katiba ili tumfunge kisawasawa maana lazima ATAIBA TU! Hawa wengine, WAACHENI WAPUMZIKE!
Mkuu, msaidie tafadhali. nitashukuruSijui hata kama umeuelewa huu Uzi unazungumzia kitu gani!
Nilijua tu. Hahahaaaa!Hahahaa!!!
Naona SI MUDA MREFU hayo YATABADILIKA ili kila mtu awajibishwe.Shige2, Tanzania hatuwezi kufikia huko kwa demokrasia na umadisikini huu tulio nao. Kwetu mtu anaiibia nchi analindwa na vyombo vya dola na kusifiwa na masikini.
Hizo nchi zote ulizozitaja ziko kwenye uchumi wa kati na zina demokrasia iliyostawi, sisi huku demokrasia yetu inarudi nyuma kwa kisingozio cha maendeleo, uwazi unapigwa vita na maamuzi muhimu yanafanywa gizani na watu wachache ambao hatuna hakika na usafi wao.
Vv
Wewe akili yako inatosha kukibeba kichwa chako tu.Ebu vuguvugu litokote mapema tuanze na huyu Muhutu
Nimekupa like mkuu, umeiona?Wewe akili yako inatosha kukibeba kichwa chako tu.
Watu wengine hata heshima hawana. Akiambiwa dhibitisha anaanzaoh oh sijui bla bla. Hawana heshima.Wewe akili yako inatosha kukibeba kichwa chako tu.
Mmh, mimi siamini kama tutafanikiwa ikiwa hatutaki uwazi na kufinya demokrasia. Tutaishia kuaminishwa na viongozi nasi kuitikia ndio maana watawala hawako tayari kusikia hoja kinzani. Itakuwa hivi; vyombo vyote vitacheza wimbo wa watawala nasi tutakuwa tunaitikia NDIYO MZEE na wale wasioweza kusema ndio watakuwa wanatoroka na kuishia kuwa wahamiaji haramu kama wafanyavyo wenzetu wa Ethiopia na Eritrea.Naona SI MUDA MREFU hayo YATABADILIKA ili kila mtu awajibishwe.
Nchi hii si ya watu WACHACHE ni yetu sote.
Mabadiliko hata KISHERIA yanakuja kwa kasi.
Ameongea vyema.Nimekupa like mkuu, umeiona?
Kwa nini mkuu?Hii taarifa ni mbaya sana kwa CCM
Wahutu mkuu chige2 ni watu ambao wanaamini ktk wao tu na hata siku moja usijaribu kuwakosoa.Mkuu nakuuliza Je ni ZIPI TABIA/Characteristics ZA WAHUTU kama unavyodai?
Aisee!!!Tanzania hatuna shida sana na Viongozi wetu wastafu kama hizo nchi. Naomba wimbi la kushitaki viongozi waliobariki/walioua raia wasio na hatia kule Iraq, Cossovo, Libya, Palestine, Nagasaki, Syria, Yemen, Soweto, Vietinam n.k wapelekwe The Hague
Kwa kweli!Hata viongozi wa upinzani waliopiga bilioni za mafisadi wanafaa kushtakiwa
Tusiwe personal humu na kutaja majina ya watu. Tujadili tu kwa ujumla. Kuna Mawaziri wa zamani labda na WASASA sijui ambao ni MABILIONEA.Siku Watanzania tukiamka lazima tuwafikishe Kitambi na Kikwete na huyu Sizonje.
Pia watu wajifunze kujiajiriMaendeleo ya vitu huku umasikini wa watu unaongezeka?
Maendeleo ya vitu huku ajira hakuna na watu wanapunguzwa makazini?
Maendeleo ya vitu huku watu wanamaliza vyuo na hawana pa kwenda?
Maendeleo ya vitu huku watumishi wa umma wamesahalika?
Maendeleo ya vitu huku mazao ya wakulima yanakosa masoko?
Maendeleo ya vitu huku uchumi unalalamikiwa?
Maendeleo ya vitu huku watu kila siku wanatekwa au kupotezwa?
Maendeleo ya vitu huku chaguzi zinavurugwa?
Lazima tu-balance haya mambo vinginevyo tunatengeneza bomu litakalokuja kutulipukia.