Inapatikana katika king'amuzi gani mkuu?Mbona ni jina geni kwangu!Tanzanite tv!
Vyote bwashee!Inapatikana katika king'amuzi gani mkuu?Mbona ni jina geni kwangu!
Watakuwa wabunge wa mahakama kama Zitto huko nyuma sio ChademaAtatoa tamko ila ni uchwara kwa serikali ya CCM, hata akiwafukuza uanachama bado wana baraka za NEC watashinda tuuu
swali gani hili unaniuliza?uliza vitu vya maanaIna maana hadi kina mdee wameghushiwa sio wale tunaowajua sisi
Kwahiyo kujenga upya chama ni mpaka Mbowe ajiudhuru?Baada kutoa tamko naomba ajiuzulu waanze upya kujenga chama.
Uliwahi kujiuliza kwa nini Mkapa alikuwa anahutubia Taifa usiku kila mwisho wa mwezi?Kwa nini usiku?
Nani nimemkejeri mkuu. Kwani ni siri kuhusu Mbowe na Faru John? Mbona nakunywa naye kila mara hapa Triple 7 na anajua huwa namwambia kila nikikutana naye?Wewe jamaa una mambo ya kipumbavu sana. Hivi huwezi kuongea bila kukejeri watu? Jifunze ustaarabu basi.
Pumbavu mkubwa, rais unamlinganisha na wapuuzi kama MboweUliwahi kujiuliza kwa nini Mkapa alikuwa anahutubia Taifa usiku kila mwisho wa mwezi?
NB.Siku ina saa 24! Ni wakati gani ufanye nini ni hiari!
Kama na wewe unakunywa faru john kama unavyodai mbona wewe hujiiti faru john?Nani nimemkejeri mkuu. Kwani ni siri kuhusu Mbowe na Faru John? Mbona nakunywa naye kila mara hapa Triple 7 na anajua huwa namwambia kila nikikutana naye?
Tunataka wakike 19 wanandungai wafukuzweTunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.
Press itaanza saa tatu kamili usiku
Hhahaha we jamaa mnafurahisha kweli, Jpm hawezi kuhangaika na mambo ya kitoto hivyoTunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.
Press itaanza saa tatu kamili usiku
Mnyika endapo mdee hatafukuzwa atajiuzuluMara paap, Boni anakuwa katibu mkuu 🤣🤣🤣🤣
Hakama!Kumekucha Sasa Hivi
NEC
Bunge
DPP
POLICE
PCCB