Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,724
218,287
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .

Screenshot_2023-12-14-16-34-09-1.png

Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .

Screenshot_2023-12-14-17-18-20-1.png


====

Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.

Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
 
HUKUMU KAMILI ILIYOMO KATIKA JUMLA YA KURASA 79

Na kusomwa kwa zaidi ya masaa 3 na mheshimiwa jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania leo tarehe 14 December 2023:


IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
(MAIN REGISTRY)
AT DAR ES SALAAM

MISCELLANEOUS CAUSE NO 36 OF 2022

IN THE MATTER OF AN APPLICATION FOR ORDERS OF
CERTIORARI, MANDAMUS AND PROHIBITION BY HALIMA JAMES
MDEE AND 18 OTHERS

AND

IN THE MATTER OF THE DECISION OF CHAMA CHA DEMOKRASIA
NA MAENDELEO (CHADEMA) EXPELLING THE APPLICANTS FROM
BEING MEMBERS OF CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
(CHADEMA)

BETWEEN
  1. HALIMA JAMES MDEE....................................1stAPPLICANT
  2. GRACE VICTOR TENDEGA......2NDAPPLICANT
  3. ESTHER NICHOLAS MATIKO....... 3rdAPPLICANT
  4. ESTER AMOS BULAYA.................. 4thAPPLICANT
  5. AGNESTA LAMBERT KAIZA................................5thAPPLICANT
  6. ANATROPIA THEONEST....... 6thAPPLICANT
  7. ASYA MWADINI MOHAMED............. 7thAPPLICANT
  8. CECILIA DANIEL PARESSO............. 8thAPPLICANT
  9. CONCHESTA LEONCE RWAMLAZA...................9thAPPLICANT
  10. FELISTER DEOGRATIUS NJAU............10™ APPLICANT
  11. HAWA. S. MWAIFUNGA............... 11™APPLICANT
  12. JESCA DAVID KISHOA................12™APPLICANT
  13. KUNTI YUSUPH MAJALA...............13™APPLICANT
  14. NAGHENJWA LIVINGSTONE KABOYOKA.................. 14™APPLICANT
  15. NUSRAT SHAABAN HANJE........... 15™ APPLICANT
  16. SALOME MAKAMBA.................... 16™APPLICANT
  17. SOPHIA HEBRON MWAKAGENDA..............17th APPLICANT
  18. STELLA SIMON FIYAO.......................18™ APPLICANT
  19. TUNZAISSA MALAPO.............19™ APPLICANT
VERSUS

AND
THE REGISTERED TRUSTEES OF CHAMA CHA DEMOKRASIA NA
MAENDELEO (CHADEMA)......................................... 1st RESPONDENT
NATIONAL ELECTORAL COMMISSION...................2nd RESPONDENT
THE HONOURABLE ATTORNEY GENERAL.............. 3rd RESPONDENT
Date of Last Hearing: 24th October, 2023
Date of Ruling: 14th December, 2023


Page 1

RULING
MKEHA, J:
The applicants were members of a political party known as CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO hereinafter referred to by its acronym 'CHADEMA', up to the 27th day of November 2020. Because of their expulsion from continuing being members of the said political party,
they are now engaged in a serious legal battle aimed at restoring their membership.
The facts giving rise to the present application are these: On 28th October 2020, presidential and general parliamentary elections were held countrywide. CHADEMA happened to be one of the political parties which
participated in the said general elections. In terms of the official election results declared by the National Electoral Commission and as per the provisions of Articles 66 (1) (b), 67 (1) (a) and (b) and 78 (1) of the Constitution of the United Republic of Tanzania, CHADEMA was entitled to have nineteen (19) Members of Parliament for Women Special Seats in the National Assembly.
In accordance with the provisions of section 86 (2), (6) and (7) of the National Elections Act, a political party entitled to have whatever number of

Page 2

Members of Parliament for Women Special Seats would submit to the National Electoral Commission names of its eligible women candidates for
nomination to Women Special Seats. The Commission would upon receipt of proposal submitted to it by a qualifying political party, subject to Articles
66, 67 and 78 of the Constitution and in accordance with the order of preference indicated in the list proposed by each political party, declare such number of women candidates from the respective political parties as Members of Parliament for Women Special Seats. After the said declaration, the Commission would then send a notification of declaration
to the Speaker of the National Assembly and to the Secretary General of the respective political parties.
On 24th November 2020, the applicants appeared on Tanzania Broadcasting Television taking their respective oaths as Special Seats Members of Parliament sponsored by CHADEMA. Soon after the applicants had been sworn in as Members of Parliament, particularly, in the evening
of the 25th November 2020, CHADEMA'S Secretary General, having a bone to pick with the applicants, issued a public statement condemning
them for being sworn in indicating that, their swearing in violated the Party's directives disowning the 2020 General Elections. Through the said

Page 3

public statement and afterwards through WhatsApp, the Secretary General summoned the applicants to appear before the Party's Central Committee
in the morning of 27th November 2020, to show cause why they took up positions as Special Seats Members of Parliament, purporting to be sponsored by CHADEMA, without abiding by the Party's inherent processes and in contravention of the Party's political electoral stance.
Upon receipt of the show cause notices, all the applicants sought for adjournment of the hearing scheduled to be done on 27/11/2020. They coincidentally sought the adjournment for similar grounds. Each of the
applicants wrote to the Secretary General alleging presence of security threats on her part. They all prayed for seven days' adjournment to let the
atmosphere cool down, to secure safety environment and reasonable time to prepare for hearing and submit a fair and just defence.
The requests for adjournment were denied by the Party's Central Committee vide letters by the Secretary General, allegedly received by the
applicants at various times between the midnight of 26/11/2020 and 28/11/2020 in the morning. Despite denial of adjournment, none of the 19
applicants appeared before the Central Committee on 27/11/2020, at the time when hearing of the disciplinary matter had to take place.

Page 4


In spite of the fact that none of the applicants attended the hearing session on 27/11/2020, CHADEMA'S Central Committee proceeded in the absence of the applicants. The Central Committee held that, the
Commission had inappropriately or wrongly appointed the applicants who were thereafter sworn in as Special Seats Members of Parliament of the
United Republic of Tanzania. The Central Committee decided against the applicants. All the nineteen (19) applicants were expelled from being members of CHADEMA henceforth. Against the Central Committee's decision, the applicants appealed to the Party's Governing Council which under the Party's Constitution, was the
final appellate body. On 11th May 2022, the Party's Governing Council (Baraza Kuu) affirmed the decision of the Central Committee (Kamati Kuu).
On these facts and in these circumstances, an application is being made by the applicants, moving the High Court for prerogative orders of,
Certiorari to quash the decision passed by the Governing Council of the 1st respondent on the 11th day of May 2022 and formally published on the 12th May 2022 along with the whole process of expelling the applicants
from being members of CHADEMA; Mandamus to compel the 1st respondent to accord the applicants the right to be heard, observe the due

Page 5

ENDELEA KUSOMA HUKUMU YOTE : LINK :
Source : In the Matter of an Application for Orders of Certiorali, Mandamus and Prohibition by Halima James Mdee & 18 Others and In the Matter of the Decision of CHADEMA Expelling the Applicants from Being Members of CHADEMA between Halima James Mdee & 18 Others and The Registered Trustees of CHADEMA & 2 Others (Miscellaneous Cause No. 36 of 2022) [2023] TZHC 23309 (14 December 2023)

HUKUMU YAFAFANULIWA

🅻🅸🆅🅴 :SAKATA LA HALIMA MDEE NA WENZAKE,CHADEMA KUHITIMISHWA LEO MAHAKAMA KUU...​


View: https://m.youtube.com/watch?v=g8CWFw_WTCU
Wanasheria wa pande zote wanatufafanulia kisheria baada ya hukumu hii kusomwa leo na Mahakama Kuu ya Tanzania
Source : JAMBO TV

HISTORIA NA MWENENDO
Kesi hiyo inarejea tena Mahakamani leo Julai 10, 2023 baada ya kusimama kwa siku 54 (Tangu Mei 17, 2023) ilipoahirishwa kutokana na Jaji Cyprian Mkeha anayesikiliza Kesi hiyo kwenda kwenye Semina ya Majaji

Kesi hiyo inayohusu uhalali wa utaratibu uliotumika kuwavua Uanachama Wabunge 19, kuna hatua ya mahojiano kati ya Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA na Mawakili wa Wabunge hao akiwemo Halima Mdee

Halima Mdee na wenzake 18 wanapinga uamuzi wa Baraza Kuu la CHADEMA kutupilia mbali rufaa zao za kupinga uamuzi wa Kamati Kuu iliyowafuta uanachama Novemba 27, 2020 kwa tuhuma za kuapishwa kuwa Wabunge bila ridhaa ya Chama.

Kesi ya msingi :

WABUNGE WA VITI MAALUM 19 KUPINGA KUTIMULIWA UANACHAMA WA CHADEMA
1702564530725.png

Picha: Wabunge 19 wa CHADEMA
 
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .

View attachment 2842497
Jaji hawezi kwenda kinyume na maelekezo kutoka juu. Bunge lazma liwe na wapinzani ili kuendelea kupata msaada kuoka kwa mabeberu.
Bunge kun kamati lazma ziongozwe na wapinzani na huwezi kutoa wote.
JIWE aliambiwa kwa hasira akawakataa wote, akawafuta wapinzani wote ila baadae akashauriwa na wastaafu ndio akawapachika hawa VIRUSI-19.

Wataam wa mambo tunajua wataambiwa wakate rufaa ambayo itawekewa mapingamizi, na mapinga yatasikilizwa by december 2024 wakati tunaingia uchaguzi mkuu, haitokaa itokee kusemwa kwamba walikuwa haramu, yaani legasi ya mwendazake ichafuliwe?
 
Jaji hawezi kwenda kinyume na maelekezo kutoka juu. Bunge lazma liwe na wapinzani ili kuendelea kupata msaada kuoka kwa mabeberu.
Bunge kun kamati lazma ziongozwe na wapinzani na huwezi kutoa wote.
JIWE aliambiwa kwa hasira akawakataa wote, akawafuta wapinzani wote ila baadae akashauriwa na wastaafu ndio akawapachika hawa VIRUSI-19.

Wataam
Hilo linajulikana
 
Jaji hawezi kwenda kinyume na maelekezo kutoka juu. Bunge lazma liwe na wapinzani ili kuendelea kupata msaada kuoka kwa mabeberu.
Bunge kun kamati lazma ziongozwe na wapinzani na huwezi kutoa wote.
JIWE aliambiwa kwa hasira akawakataa wote, akawafuta wapinzani wote ila baadae akashauriwa na wastaafu ndio akawapachika hawa VIRUSI-19.

Wataam wa mambo tunajua wataambiwa wakate rufaa ambayo itawekewa mapingamizi, na mapinga yatasikilizwa by december 2024 wakati tunaingia uchaguzi mkuu, haitokaa itokee kusemwa kwamba walikuwa haramu, yaani legasi ya mwendazake ichafuliwe?
Mmeshaanza😎
 
Back
Top Bottom