Taarifa ya awali kuhusu hukumu ya Mahakama Kuu masjala kuu Dar es Salaam, kuhusu Wanachama 19 waliofukuzwa CHADEMA

CHADEMA

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
488
2,468
Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha;

1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu zote za Katiba ya Chadema na Sheria za nchi zilifuatwa kikamilifu na Kamati Kuu katika kuchukua uamuzi huo.

2. Kwamba, maamuzi ya Baraza Kuu kuhusu Rufaa yamefutwa na hivyo Baraza Kuu linapaswa kukaa upya kusikiliza Rufaa; lakini Kamati Kuu ilishawafukuza Uanachama na uamuzi wake Judge kasema wazi upo sahihi.

Hivyo basi, kwa hatua ya sasa Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa .

Tunawataka wanachama wetu watulie wakati huu chama kinapotafakari hatua za ziada.

Imetolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023.

John Mrema
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya nje.

Pia soma > Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

IMG-20231214-WA0065.jpg
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje John Mrema kimethibitisha kupokea hukumu iliyotolewa Alhamisi tarehe 14 Disemba, 2023 uamuzi wa Mhe. Jaji Cyprian Phocas Mkeha juu ya hatma ya Halima Mdee na wenzake.

Taarifa iliyotolewa na CHADEMA inaeleza kuwa kwa sasa hatua inayofuata Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa.

1000006002.jpg


Pia soma > Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao
 
Hii taarifa ya kukurupuka sana haieleweki. TUIPUUZE. Sultani Mbowe ingependeza kama angeachia ngazi kwa sababu ni aibu kwa chama kilichojaa wanasheria kugaragazwa mahakamani na kina mama shupavu 19. Mtake msitake kina Halima na wenzake ni wanachama halali wa CHADEMA. Hamuwezi kuwafukuza kihuni.
 
CHADEMA nashauri muachane na hao wanawake.. chukueni ushauri wa Bwege " mi nilijua, hii kesi hatutoboi" kwa sababu serikali ipo pamoja na upande wa pili . wana backup wale...

rejea mifano ya kesi hizi, serikali ya chama cha kijani ilipo husika, na jinsi maamuzi ya kushangaza yaliyotolewa

1. Seif vs Lipumba
2. Mbowe vs jamuhuri ugaidi
3. kesi ya askari aliyemuua akwilina
4. kesi ya walio muua mwangosi
5. kesi ya uamsho vs serikali
6. Kesi ya ditopile, mramba
7. Kesi ya mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile
8. Kesi ya Sugu
9
.
 
CHADEMA kaeni mmalize migogoro yenu bila hivo mtaendelea kupukutika Kila mwaka
Jifunze Kwa CCM.sakata la lowasa na wapambe wake.wote walisamehewa na Leo wanajenga chama CCM
 
Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Disemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha;

1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu zote za Katiba ya Chadema na Sheria za nchi zilifuatwa kikamilifu na Kamati Kuu katika kuchukua uamuzi huo.

2. Kwamba, maamuzi ya Baraza Kuu kuhusu Rufaa yamefutwa na hivyo Baraza Kuu linapaswa kukaa upya kusikiliza Rufaa; lakini Kamati Kuu ilishawafukuza Uanachama na uamuzi wake Judge kasema wazi upo sahihi.

Hivyo basi, kwa hatua ya sasa Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa .

Tunawataka wanachama wetu watulie wakati huu chama kinapotafakari hatua za ziada.

Imetolewa leo Alhamisi tarehe 14 Novemba, 2023.



John Mrema
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya nje.View attachment 2842642
View attachment 2842645
Screenshot_20231207_210644_Samsung Internet.jpg


Mwenzao huyo hapo
 
Hii taarifa ya kukurupuka sana haieleweki. TUIPUUZE. Sultani Mbowe ingependeza kama angeachia ngazi kwa sababu ni aibu kwa chama kilichojaa wanasheria kugaragazwa mahakamani na kina mama shupavu 19. Mtake msitake kina Halima na wenzake ni wanachama halali wa CHADEMA. Hamuwezi kuwafukuza kihuni.
😂😂😂
 
Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha;

1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu zote za Katiba ya Chadema na Sheria za nchi zilifuatwa kikamilifu na Kamati Kuu katika kuchukua uamuzi huo.

2. Kwamba, maamuzi ya Baraza Kuu kuhusu Rufaa yamefutwa na hivyo Baraza Kuu linapaswa kukaa upya kusikiliza Rufaa; lakini Kamati Kuu ilishawafukuza Uanachama na uamuzi wake Judge kasema wazi upo sahihi.

Hivyo basi, kwa hatua ya sasa Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa .

Tunawataka wanachama wetu watulie wakati huu chama kinapotafakari hatua za ziada.

Imetolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023.



John Mrema
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya nje.View attachment 2842642
View attachment 2842645
Chama Cha mashetani hiki hakuna la maana walilowahi kushinda

USSR
 
Back
Top Bottom