Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
Hizi ni propaganda sasa!Yaani lita moja ya mafuta inaenda 30KM?!
Mkuu inatumia umeme na petrol, ni hybrid hio mbona zipo zinakwenda zaidi ya hapo.Hizi ni propaganda sasa!Yaani lita moja ya mafuta inaenda 30KM?!
Samahani mkuu,sikujua kama ni hybrid!Mkuu inatumia umeme na petrol, ni hybrid hio mbona zipo zinakwenda zaidi ya hapo.
Nyie mnaamini usafiri wa baiskeliHivi kwa nini makampuni mengi ya kuagiza magari hawana ofisi jiji la Mwanza?
Ni Dar, Arusha, Dodoma.
Last time I checked ilikuwa ni Beforward pekee!
Hiyo ni hybrid car, inakwenda hizo km kama kawaida!Mkuu ni typing error au upo sahihi kuwa inaenda Kilimota 38 kwa lita moja
Sent using Jamii Forums mobile app
umesoma uzi ukauelewa lkn au unakurupukaspare vipi?
mbona una hasira sana? kuwa mpole wewe.umesoma uzi ukauelewa lkn au unakurupuka
Hivi Simba jana ndo waiifunga Mwadui goli tano au?spare vipi?
Zina shida gani aisee!!Mitsubishi sijawahi kuwakubali kwa gari ndogo hasa SUV. Nadhani ndio maana gari zao ni bei rahisi
Mitsubishi Pajero yenye injini ya diesel ya 4M40 ni imara na inavumilia shida Sana.Ni gari iliyodharaurika ingawa haina shida.Mitsubishi sijawahi kuwakubali kwa gari ndogo hasa SUV. Nadhani ndio maana gari zao ni bei rahisi