vitz

  1. Kelela

    JamiiForums Tanzania Toyota Vitz Vs Toyota Starlet-Ipi ina Nafasi Kubwa

    1. Ipi ina nafasi kubwa? 2. Ipi imara kwa masafa marefu yaani kupiga ruti hata za mkoani mara moja moja
  2. jey n

    JamiiForums Tanzania Toyota vitz 2011 inakula sana mafuta

    Wakuu habari za weekend, nina Toyota vitz 2011 1.3L inakula mafuta 8.8km/l.Je hii ni kawaida kwa gari ya aina hiyo kweli??
  3. Jackpiano

    JamiiForums Tanzania Gari zenye dashboard mbaya nikianza na vitz old model na rav4 old model nk

    “Gari zenye dashboard mbaya: Vitz vs RAV4 Old Models – Android haibadilishi look!” Ujumbe wa kuanzisha: Haya jamii nimekuwa nikitazama dashboard za baadhi ya magari ya zamani na nikajikuta nikishtuka. Angalia hizi picha: Toyota Vitz toleo la mwanzo. Pia Toyota Starlet (chini) dash imekaa...
  4. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nalengesha Toyota Vitz a.k.a mafuta kisoda iko sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏾TSH 11.8M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA VITZ(EHJ) Year: 2009 Engine: 990Cc Mileage: 91,000+ Transmission: AUTO ✨New Tires ✨Sport Rims ✨Push To Start ✨Android Radio ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Allowed
  5. H

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Vitz Old Model-Inayotumia mtungi wa gas, namba yoyote ile.

    Habari zenu, nahitaji Vitz Old Model inayotumia mtungi wa gas na mafuta, nipo Dar Es Salaam, mda wowote nakuja kuicheki gari, nipo serious kiasi kwamba hata leo leo tunaweza kumaliza biashara. Gari: Vitz OLD MODEL (Inayotumia Gas na mafuta) Namba ya usajili: Yoyote ile kikubwa engine na gearbox...
  6. L

    JamiiForums Tanzania 2000 TOYOTA Vitz RS – 1300cc – 211,380 km – For Sale

    CAR SOLD. Thank you all.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Wadau naitaji Toyota Vitz Old mwenye nayo isiyo na udalali number D

    Habari Wadau Naitaji Toyota Vitz Old Mwenye Nayo Isiyo Na Udalali Number D 0674353374
  8. Mnyenz

    JamiiForums Tanzania Magari ya milioni Tano (5M) kushuka chini

    Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001. Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa. Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena. WhatsApp 0712 148001.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Vitz new model

    Mileage 47000+Km Bei Milioni 11 Taarifa na Documents zote muhimu zipo. Mteja aliye serious , karibu sana 0621 396 550
  10. S

    JamiiForums Tanzania Hivi vigari vidogo vidogo vichafu vichafu vya zamani kama hasa IST na VITZ madereva vijana hawa wanafanya fujo sana barabarani

    Katika kuendesha kwangu gari barabarani, nimegundua kwamba madereva wengi wa hivi vigari vidogo vidogo kama IST, wana fujo sana barabarani. Na mara nyingi utakuta ni vigari vichafu vichafu na vilivyochakaa. Kila nikiangalia dereva wake, nakuta ni vijana wa kiume. Inaonekana wengi wao ni...
  11. mjasiriamali mdogo

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna gari zaidi Vitz na Passo ambazo sio hybrid Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?

    Wadau Nataka kununua kigari cha kupigia misele hapa mjini. Yaani Nataka kila niendapo iwe ni mwendo wa kukanyaga Gia Tu. Je kuna gari zaidi ya Vitz na Passo Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Yaani Tajiri mwenye Range Rover 'anamuovateki' Masikini mwenye Vitz kwenye Mteremko, halafu anajisifu bila Aibu kabisa

    "Kupitia mashindano ya CAF, hatua hizi za awali, kuna ujumbe tunataka kuupeleka kwa wale ambao wanapewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa AFRIKA. Tutatuma ujumbe ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja. Nje ya Uwanja tulituma ujumbe msimu uliopita kwa kujaza Uwanja wa ugenini" Ally Kamwe Chanzo: Young...
  13. Mnyenz

    JamiiForums Tanzania Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani). Mods uzi usiunganishwe.
  14. Mnyenz

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
  15. I

    JamiiForums Tanzania Vitz old model inauzwa bei mil 2

    Vitz old model inauzwa 1. Milango 5 2. Cc990 3. 1SZ FE engine 4. Haina deni, bima imelipwa 5. Engine ina kipengele, inarekebishika au inafaa kwa mswaki. Mimi nna gari nyingine 6. Bodi zima. Picha imewekwa apo, for serious business nicheki inbox
  16. Ene_transporter

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Vitz kijicho inauzwa

    Vitz kijicho Cc 990 Mafuta inanusa Full ac Hain kipengele gari imetunzwa sana Dada anatak mil 6.5 maongezi yapo 0783610244
  17. E

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Toyota vitz new model

    Nauza toyota vitz new model kalii mnoo🔥🔥🔥ipo Dar es salaam cc 1290,push to start bei 9m✅Karibuni
  18. Tman900

    JamiiForums Tanzania Mazda Verisa, Vitz au Ist ipi ni gari nzuri kati ya hizo?

    1. Matatizo ya Mazida Verisa. 2.Naomba kujua Kama inaweza kuinuliwa Juu maana kako Chini Sana 3.Naiataji kujua ubora wa Mazida Verisa au Vtz ipi nzuri zaidi kwa Ubora wa uimara wake.
  19. I

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Vitz Old Model inauzwa

    Habari wadau. Nina gari Vitz old model. Engine yake inasumbuasumbua inahitaji either fundi makini au half engine au engine mpya. Half engine nimeambiwa mil 1. Engine kamili mil 2. Mimi nimefulia hata ipite miaka kadhaa sitakiwa na uwezo wa kuinunua. Hivyo naiuza. Mimi ndo mmiliki siyo dalali...
  20. I

    JamiiForums Tanzania Cylinder head gasket kungua kila mara kwenye vitz

    Wadau habari, Nina kagari kangu ka vitz old model. Kumbukeni mimi ni kabwela nimejichanga changa tu japo na mimi nipate kausafiri. Sasa kalikuwa na leakage, fundi akafungua cylinder head akatibu leakage akafunga.Baada ya hapo kakawa kanazima zima mguu usipokuwa kwenye accelerator...
Back
Top Bottom