benz

Mercedes-Benz (German: [mɛɐ̯ˈtseːdəsˌbɛnts, -dɛs-]) is a German global automobile marque and a division of Daimler AG. Mercedes-Benz is known for luxury vehicles, vans, trucks, buses, coaches and ambulances. The headquarters is in Stuttgart, Baden-Württemberg. The name first appeared in 1926 under Daimler-Benz. In 2018, Mercedes-Benz was the largest seller of premium vehicles in the world, having sold 2.31 million passenger cars.Mercedes-Benz origins' come from Daimler-Motoren-Gesellschaft's 1901 Mercedes and Karl Benz's 1886 Benz Patent-Motorwagen, which is widely regarded as the first internal combustion engine in a self-propelled automobile. The fuel was not gasoline, it was a much more volatile petroleum spirit with several names including ligrane/ligrain/ligroin. This was used as a degreaser, spot remover, paint thinner, etc. and was so quick to burn or explode, it was not stored inside. The slogan for the brand is "the best or nothing".

View More On Wikipedia.org
  1. Collin Butondo

    Car4Sale 2007 Mercedes Benz C180 Kompressoor

    Engine Capacity Cc: 1790 Mileage: 65,000km+ Engine Code: 271 Fuel: Petrol Standard Features: 8-SRS Airbag Auto Folding Exterior Mirrors Steering Switches 19”Alloy wheels Leather Upholstery Parking Sensors Transmission: Automatic Asking For: 23.5M✅ Location: Dar Es Salaam
  2. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Picha: Gari lililosababisha kifo cha Hayati Sokoine Katika hali ya kushangaza, watoto na baadhi ya ndugu wa aliekuwa waziri mkuu wa Tanzania, Hayati Sokoine, wanataka uchunguzi ufanyike wa mwili wa marehemu ili kubaini kama ni kweli kifo chake kilitokana na ajali au laa. Uamuzu huo ulofikiwa...
  3. Collin Butondo

    Car4Sale 2009 Mercedes Benz C200 Kompressor For Sale

    2009 MERCEDES BENZ C200 KOMPRESSOR Engine Capacity Cc: 1790 Engine Code: 271 Fuel: Petrol Transmission: Automatic Asking For: 32M 0787308831 Standard Features: 8-SRS Airbag Auto Folding Exterior Mirrors Steering Switches Double Sunroof 17 "Alloy wheels Half Leather Upholstery Back Camera
  4. B

    Yupi mkali kati ya Chidi Benz na Daz Baba?

    wakuu naomba maoni yenu hapa, nani ni mkali wa kuimba kati ya Chidi Benz na Daz Baba? Yupi ana hit records nyingi sana? kwa jinsi unavyoona.
  5. dalalitz

    Sista, "Kazi ni Kazi" tu sio shida. Mama ataka Polisi waje, kisa mwanae Jobless kununua Benz lake $50,000

    Kwa wengine hii ingekuwa furaha, shangwe, nderemo na vifijo. Kwa mama huyu wa KiNaigeria yeye anaona 'mapichapicha' tu. . Huku akibubujikwa na machozi mithili ya mtu aliefikwa na msiba na akihanikiza na kushinikiza Polisi wahusike kuchunguza imekuwaje mwanae ambae ndio kwanza kamaliza masomo ya...
  6. central midfielder

    Mangwair vs Chid Benz

    Ndugu zangu wa Hip hop nawaomba hapa kidogo tuwekana sawa. Wanasema kwenye pick yake The Late Albert Mangwair alikuwa mkali sana wa freestyle yani mitindo huru. Na sifa kuu alikuwa na uwezo mkubwa wa kukaa kwenye topic bila kutoka nje ya mada huku akifreestyle tu(nlimsikia juzi kati fareed...
  7. M

    Ni muda sasa Waandishi muache kumuhoji Chid Benz

    Kama wewe ni shabiki wa Chid Benz na umekuwa ukifuatilia mahojiano yake utagundua kuwa hayupo sawa. Chid Benz amekuwa na Interviews nyingi ambazo zimekuwa zikitumiwa kama kichekesho kwa baadhi ya watu waliokosa uungwana. Chid amekuwa anaulizwa maswali na anajibu tofauti hali unayofanya tuhisi...
  8. LIKUD

    Nasikia harufu ya Chid Benz kurudi tena kwenye chat

    God bless. Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya mwamba kwenye mkwaju Nasikia harufu. Huyu ndio Chidy tulie mjua. Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya Chidy kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome. Simu ziite simu ziite. # Maurine sio mtamu...
  9. R

    Nafikiri tatizo la Chid Benz linaanzia kwa mama yake pia

    Wasalaam. Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema nimeona interview ya mama yake Chid Benz na Clouds tv kwenye kipindi cha Shajara. Huyu mama kwakweli yeye mwenyewe hajakubali kama mwanaye ana shida yaani hana Imani kabisa kwamba Chid ana shida. Hii inaweza kupelekea Chid asipate unafuu...
  10. sinza pazuri

    Chid Benz hakuna unachomdai Diamond na hausiki kabisa na matatizo yako

    Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa. Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz. Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo? Diamond aliamua...
  11. BARD AI

    Prof. Jay, AY & Chid Benz vs Fid Q, Mwana FA & Joh Makini vs Ngwair, Langa & King Zillah, Utasikiliza kundi gani hapo?

    Umepewa Playlist tatu hapa zina ngoma za 1. Prof. Jay, AY & Chid Benz 2. Fid Q, Mwana FA & Joh Makini 3. Ngwair, Langa & KingZillah, Utasikiliza kundi gani hapo?
  12. LIKUD

    Chid Benz kama Case study: Wasanii wana michezo wanarogwa sana. Sababu hii hapa chini👇

    Aliwahi kusema Ndugu. Haruna Rashid Juma Kahena almaaruf kama Inspekta Haroun kwenye wimbo Ngangari kwamba " KULONDA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE" ambayo ni maneno ya kizaramo yanayo maanisha " KUTAKA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE" ( KIZARAMO : Kulonda = kutaka). Hapo Inspekta alikuwa...
  13. Jozedan56009

    Ipi nzuri kati ya Crown Athletes grs200 na Mercedes Benz C200 Compressor

    Habari wakuu, Wenye uzoefu na hizo gari mbili ipi iko vizuri?
  14. Hance Mtanashati

    Lady Jaydee bado ana kiporo cha hili swali kuhusu Chidi Benz, naomba atuweke bayana ukweli kuhusu yeye na Child Benz nini kilitokea baina yao?

    Kuna wimbo Lady Jaydee aliimba na Chidy Benz unaitwa Uko juu, kwenye audio ya huo wimbo verse ya Chidy ipo ila video yake Lady Jaydee alifuta verse ya Chidy . Inavyosemekana kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba Chidy alikuwa anamtaka kimapenzi Lady Jaydee akaamua kumtongoza Lady Jaydee ,Lady...
  15. central midfielder

    Jay Moe vs Chid Benz

    Sina shaka na uwezo wa Chid Benz. Kwenye Greatest rappers wangu wa muda wote anachukua namba 5. Wengi wanasema Collabo yoyote akiwemo Chid Benz hawezi kufunikwa kamwe.(Hapa nakataa kidogo) 1. UKISIKIA PAAH YA JCB,FID,Q,JAY MOE NA CHID BENZ. Humu Chid Benz alifunikwa vizuri tu na Juma...
  16. Atlast nimempata

    Natafuta Mercedes Benz za zamani

    Mimi ni mpenzi wa Mercedes Benz (hasa hasa class C) zile ngumu Mjerumani Original. Kwa wale wanaozijua nataka 2020.... series! Kama unalo njooo pm tufanye biashara
  17. LIKUD

    Chid Benz: Hii Dunia hakuna Mungu

    Ameyasema hayo akiwa anaongea na Dotto Magari. " Unajua duniani hakuna Mungu. Yale matendo mazuri unayo fanya ndio Mungu n.a. matendo mabaya ndio shetani" alisikika akisema Rashidi Abdallah Makwiro almaarufu Chid Benzi
  18. Z

    Wakubwa duniani ni kama miungu watu: Boss yuko ndani ya Benz, halafu walinzi wanakimbia kwa miguu kuilinda!

    Huyo ni Rais wa Korea ya kaskazini akivuka mpaka kwenda kukutana na Rais wa Korea ya Kusini.
  19. Zombie S2KIZZY

    Ngwair ft Chid benz - speed 12 vs Nipsey Hussle - kush n haze

    Ipi Kali Sana kati ya hizi ngoma speed 120 iliyotoka 2008 au kush n haze iliyotoka 2006. Nimekuwekea ngoma zote mbili hapo uzisikilize Dondosha maoni hapo chini👇👇 NB:RIP kwa Albert Mangwea RIP kwa Nipsey Hussle Long live kwa Chid Benz
  20. M

    Mercedes Benz - C Class Sedan C220 limenyopa tayari

    Wakuu hii gari haina mwezi TZ tayari limenyopa mataa kibao daah hapa home na hela sina. Nafanyaje?
Back
Top Bottom