Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Ndege zetu kushtakiwa ilikuwa ni globalist agenda ya kujaribu kumdhoofisha na kumdhalilisha Magufuli, kwasababu aliwapa the middle finger.Kwa vile tuna uwezo wakulipa madeni, ndege zetu hazitashikwa na mkulima kisa medeni., jaribu muwe na uchumi wenye uwezo wa kulipa madeni angalau kwa kiwango kikubwa, sio kusamehewa kila wakati. ,mko hovyoooo!
Kwa sasa, kama unachosema ni kweli, kwa nini hawazikamati?