Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa vile tuna uwezo wakulipa madeni, ndege zetu hazitashikwa na mkulima kisa medeni., jaribu muwe na uchumi wenye uwezo wa kulipa madeni angalau kwa kiwango kikubwa, sio kusamehewa kila wakati. ,mko hovyoooo!
Ndege zetu kushtakiwa ilikuwa ni globalist agenda ya kujaribu kumdhoofisha na kumdhalilisha Magufuli, kwasababu aliwapa the middle finger.

Kwa sasa, kama unachosema ni kweli, kwa nini hawazikamati?
 
Mtaendelea kushangaa., mlianza na expressway tulipo leta renders, ikakamilika kwa haraka sana., mkanena Talanta pia haitajengwa , sasa mnasema eti SGR to Malaba ni ndoto, nakuhakikishia itakamilika kabla ya yenu.,
A case study👇👇🤣🔥🔥
View attachment 3358443
Hapa kweli "mmejaribu" nawapa kongole mashemeji zetu ila ukome kuita watu wachawi.
 
Kusimama huwezi kusimama ila utatuchukua mdaa sana kuliko tulivyotarajia, tutegemee treni ya kwanza kufika mwanza kunzia 2032 huko kigoma 2035
Speed imeongezeka kidogo hata ukiangalia idadi ya vyuma vya reli vinavodafirishwa kwa mgr vimekuwa vingi tofauti na miez sita ya nyuma
 
Matumaini ipi na tutakamilisha kama bado mnasua sua ., we don't behave like you., hatukurupuki na mradi tu, tuna angalia viability kwanza, vile Uganda wali launch upande wao from Malaba, sasa Kenya ilitafuta PPP model ya kukamilisha hadi Malaba border and succeeded in getting mkataba,., where revenue yetu haitaguzwa kulipa, project itajilipa yenyewe, 30% inalipwa kwa serikali ya Kenya, 30% kwa ya China, na 40% Kenyan banks and Chinese banks wanagawana, because hivyo ndivyo wana contribute kwa ujenzi, yaani pesa mingi itabaki Kenya SGR ikianza kazi, a better deal than ya Uhuru na yenu ya Magufuli, kukopa kisiri., sasa ni finalizing mapping for compensation of affected people along the line., ujenzi wa SGR ni faster than roads., mko hapa mtashuhudia vile Kenya inapaa kwa kasi, going forward.., kama vile Talanta imejengwa., na housing project..,
Kenyan sgr imeanza ujenzi 2013 ,huu sasa ni mwaka 11 ila mpaka sasa hamjafanikiwa hata kufika malaba, mpaka sasa kwa miaka 10 mmejenga less than 600kms na mmeshindwa hata ujenzi wa km300+ zilizobakia.
Tanzania imeshajenga more than 500km na vipande vyote wakandarasi wapo site.
Kenya mpaka sasa hivi hamjapata hata pesa ya kuendeleza mradi , hata hiyo ppt bado wachina wanaikwepa
 
Kwa hivyo unacompare Ksh 3 Trillion na Tsh 3 Trillion. Sasa ona shida ya kua primary school dropout.
Shule kwenu ngumu🤣🤣😞😞, hapo umewekewa sample tu ya bajeti ya wizara mbili tu ambazo development expenditure ni more than 90% ya total bajeti wizara ambayo Ina recurrent expenditure ya above 50% ni hiyo wizara ya fedha ambapo 14trilion ni kwa ajili ya kulipa madeni tu huku dev ikifanywa na wizara nyingine.
Haya twende Kenya recurrent expenditure ni 73% ya total budget,
Ukija kwenye allocation kwa Kila wizara mko nyuma sana fikiria kama ministry of sports tu mnaikadiria iwe na 18bil ksh sawa na tsh 360bil huku Tanzania estimated allocation ni 519bil sawa na ksh 25bil
Bado tukija kwenye wizara ya usafirishaji Kuna 2.6trilion almost 130bil ksh , hakuna wizara yoyote ya Kenya itatengewa kiasi chote hicho maana nchi lazima ifirisike tu na hapo ni baada ya kufanya marekebisho kwenye finance bill , kumbuka Tanzania tunapunguza mzigo wa Kodi kuanzia mwaka 2025/2026 ila nyinyi mnazidi kuongeza
 
Ukweli wanaujua. Angalia hata sasa ships in port na expected ships.


Ask yourself why do kenyans still envy on Tanzania pamoja na kuwa papers zinasema GDP is $131b and last year waliongeza $29b kwenye GDP.
Ukweli wanaujua wenyew kwa ground. Mkenya yeyote mwenye akili anajua the truth na huwezi mkuta mitandaoni anakuwa narcissistic kama wakenya mbulula walio wengi
yani hata mwendawazimu hawezi kuwaza upumbavu huo yani ndani ya miaka miwili ambayo economy yao inasuasua wameweza kuongeza mizigo 10tons tena wanashangilia kabisa uwongo wanaodanganywa na politicians wao😂😂
 
Ndo tuboreshe sasa road au metro system maana population inazidi kuwa kubwa by 2028 atleast wawe wameanza li develop metro rail
yani tumechelewa sana na sijui kwann serekali hua inasubiri population ishakua kubwa ndio wanaanza kufikiria jambo kama hilo ile njia ya kutoka ubungo kwenda mbezi mwisho ilitakia iwe imepanulia na iko ready hata miaka 5 iliopita sio tunaanza ujenze hvi karibuni wakat tayar population iko kwenye koo
 
Don’t waste your time showing to Kenya anything tea related, especially hako ka nyumba kake kadogo … come to Kenya and see tea millionaires . They are all over the highlands.
View attachment 3357523
alaf ajabu mashamba yote ni mali ya wazungu mpaka leo ndio kitu yakushangaza dunia hii😂😂😂
 
Bila Lamu Port Dar Port will collapse pangla punglu.


View: https://x.com/Kenya_Ports/status/1930933481959215474

ukiwa na akili timamu utanielewa 😂😂😂

IMG_6969.jpeg
IMG_6971.jpeg
 
Back
Top Bottom