You are right kuhusu Biashara , lakini pia Mainland esp coastoal areas kama Dar investement sio kubwa sana kwenye tourism sijui ni kwanini , mainland esp Dar has good beaches of course sidhani kama imezidi Zanzibar but i know Dar should some how rival Znz kwa tourisim and we are not doing it. Ni kama imeachwa commercial city
Kuhusu Msalato i beg to differ , it will not rival Dar(JNIA) even in next 50years .
Alot of flights to Dar sio hata goverement personell , i think business men fill most sits kwenye Emirates, Qatar , KLM , Turkish