President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Dunia yote inajua kundudwellers njaa ni kali. Tuambie lini njaa itaisha?Unatafuta pakutokea eti?🤣🤣🤣🤣., njia ya kukwepa kujibu kiukweli.,
Dunia yote inajua kundudwellers njaa ni kali. Tuambie lini njaa itaisha?Unatafuta pakutokea eti?🤣🤣🤣🤣., njia ya kukwepa kujibu kiukweli.,
Kundudweller siku zote ni kundudweller tu. Acha kukimbilia spelling. Tueleze njaa lini inaisha kenya?Per Capita sio Capital, na naongelea ya counties.., ama umekurupuka tu bila kusoma na kuelewa? Mbona zezeta hivi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
Mnaona matokeo wapi?Na tunaona matokeo.,
Miradi ipi haisongi?nyie mnatafunwa na miradi haisongi.,
Toka hapo Murang'a, utoke tongotongomaisha ni yale yale, uswazi zinazidi kusambaa taifa mzima.,
Dunia siyo Murang'a, toka upate akilihamna nafuu yoyote.,
Kenya mna sauti gani?Kisha serikali imewabana hamna sauti., mtafinywa mkipiga kelele jiangalie sana,
Ewe kundudweller hutaki kujibu swali langu kuhusu njaa ya kundustan?Ukweli imeingia penyewe 🤣🤣
Nilikuuliza swali kwanza haukujibu umekwepa, nilikubana sasa unatafuta pakutokea, go back and respond accordingly Kisha uje, unaendelea kujiingiza kidole "penyewe" Kisha unanusa mwenyewe 🤣🤣🤣🤣Kundudweller siku zote ni kundudweller tu. Acha kukimbilia spelling. Tueleze njaa lini inaisha kenya?
Sasa hivi hii ni page ya nane ninakuuliza huko kundustan njaa ni wimbo wa taifa lenu? Hutaki kujibuNilikuuliza swali kwanza haukujibu umekwepa, nilikubana sasa unatafuta pakutokea, go back and respond accordingly Kisha uje, unaendelea kujiingiza kidole "penyewe" Kisha unanusa mwenyewe 🤣🤣🤣🤣
Naona unalizingua hilo pumbavu la mombasa. 🤣🤣🤣Sasa hivi hii ni page ya nane ninakuuliza huko kundustan njaa ni wimbo wa taifa lenu? Hutaki kujibu
Jibu yangu kwanza.., google earth ya hayo maeneo picha yako imetaja eti ni slums..,Kisha niambie source ya hiyo map yako ni nani? nilikupea list na link ya google earth ama hauna bando?
Google Earth
earth.google.com
Nyinyi yenu ata matumaini hamna bado mnasubiria huruma kutoka kwa mchina siku mkindoa iyo fikra angalau mnaweza ata kuifikisha naivashaMbona unasema ukweli humu, utanyongwa na wenzio🤣🤣🤣🤣
Kusimama huwezi kusimama ila utatuchukua mdaa sana kuliko tulivyotarajia, tutegemee treni ya kwanza kufika mwanza kunzia 2032 huko kigoma 2035Ujenzi unaaendelea ila baada ya uchaguz nahisi utasimama kabisa
Si kweli. 2027 mwanza, 2028 KigomaKusimama huwezi kusimama ila utatuchukua mdaa sana kuliko tulivyotarajia, tutegemee treni ya kwanza kufika mwanza kunzia 2032 huko kigoma 2035
huko mbali mno mkuu. Sidhani kama phases zote hadi KG zitafika 2030. We are going to have all phases done before 2030.Kusimama huwezi kusimama ila utatuchukua mdaa sana kuliko tulivyotarajia, tutegemee treni ya kwanza kufika mwanza kunzia 2032 huko kigoma 2035
Unajua ni ukweli, vumilia mtapata nafuu siku moja. ,Mnaona matokeo wapi?
Miradi ipi haisongi?
Toka hapo Murang'a, utoke tongotongo
Dumia siyo Murang'a, toka upate akili
Kenya mna sauti gani?
- Desperate slum dwellers ndio wana sauti?
Wamebadilisha nini sasa??
Very realistic., wengine wanakariri ndoto za alinacha.., tuko humu tutaona hadithi za vijiweni zinavyo umbuliwa na ukweli.,Kusimama huwezi kusimama ila utatuchukua mdaa sana kuliko tulivyotarajia, tutegemee treni ya kwanza kufika mwanza kunzia 2032 huko kigoma 2035
Awamu ya 3 na ya 4 hataujafika ata robo na bajeti ya mwaka huu inaonesha wazi kabisa hamna chochote kikubwa kitakacho fanyika unless kuwe na mabadiliko kwenye budget ila kwa trend hii hatuwezi kutoboaSi kweli. 2027 mwanza, 2028 Kigoma
Haha per capital income haiwez kuwa measure ya economic activity sababu itategemeana na population ya eneo husika .Hizi nikama ndoto za alinacha., kushirikisha ubongo hauna.., if I put here county by county with per Capita income tulinganishe na Tanzania utaona aibu mlio nayo.., yaani on average Kenya imewaacha mbali.,
Leta makusanyo ya local government a.k.a county tulinganishe na Tanzania provinces 🤣🤣🤣🤣Per Capita sio Capital, na naongelea ya counties.., ama umekurupuka tu bila kusoma na kuelewa? Mbona zezeta hivi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
Inabidi tuende kiuhalisiaa kaka tuachane na porojo za viongozi mradi kwa sasa umezorota kwa spidi tuliyonayo sasa mfano mzuri ni awamu 5 inafaa iwe imekamilika by now ila ndio kwanza tupo 50% sijui 60% sasa sijui mwenzangu unaona nini cha tofautihuko mbali mno mkuu. Sidhani kama phases zote hadi KG zitafika 2030. We are going to have all phases done before 2030.
Kama mna economic activity nyingi how come tana river yenye ukubwa kama kigoma inakuwa na mapato ambayo hayafikii hata nusu ya kigoma🤣🤣🤣. Mmeshindwa kuuza hata mchanga🤣🤣🤣Per Capita sio Capital, na naongelea ya counties.., ama umekurupuka tu bila kusoma na kuelewa? Mbona zezeta hivi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,