Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,695
- 107,133
Huu uwanja upo underutilized! Unahitaji cold storage to prop up its usability!
Huu uwanja upo underutilized! Unahitaji cold storage to prop up its usability!
Kuna wakati unaweza dhani, ni vizazi vilivyopita ndo vilikuwa na tatizo, cha kushangaza, watu hawabadiliki kizazi na kizazi. Ni matumizi ya technology tuu ndo yamebadilika.Kenya ni nchi ya ovyo.
Imagine kipindi hicho tunapambana na kioa.mtu mwema anapambana kjwaunga mkono Africa Kusini na utawala wa ubaguzi wa Rangi.
Kenya wao walikuwa wanafanya biashara na makaburu.
Hiyo tabia mpaka leo wanayo.
M23 wanafanya vikao Kenya.
Kuna genge linapigana na serikali ya Sudan, vikao wanafanyia Kenya.
Omba yao sasa maana nusu ya budget inaenda kwenye deninairobae ujinga wenu wakenya ni mkubwa sana. Soma hapa kwa umakini ujue. Tanzania haiongozwi kwa mihemko
View attachment 3357987
Fool that is Ministry of finance budget! Keep being desperate by pushing lies!
View: https://x.com/dailynewstz/status/1930512704143241712
U even got answered by GROK
View: https://x.com/grok/status/1930555658296037413
Hizi nazo ni empty talks za mtu mpumbavu. 🤣🤣🤣 kWhen read in your parliament it will be published in the Citizen newspaper, and it will be live, then we will do a comparison analysis of all EAC budgets, revenue data etc, as it exposes your poverty na sioni any meaningful improvement.., tuko hapa and it's June., deluded baboons🤣🤣🤣🤣
What’s the problem in an election year? Tsh 20.19 Trln out of Tsh 57 Trln? Should i bring ur budget here n show u how little is the allocation going to ur infrastructure while much goes into paying debt? BTW mmeshindwa ku-allocate fee for hosting right for CAF Pamoja 2027!
View: https://x.com/TeyaKevin/status/1926966864980185225
Nyani linapiga nduru., ngoja ukweli, tuko June, am here.Hizi nazo ni empty talks za mtu mpumbavu. 🤣🤣🤣 k
Ground inaeleza vitu tofauti, wewe unajipiga kifua ila ground inakuvua nguo. 🤣🤣🤣🤣Omitting ni kushindwa eti🤣🤣., watch n see, Kenya sio mwenzenu, mnatamani sana kuona fikra zenu n your desires concerning Kenya to be true, but you are always proven wrong., mtangoja sana.., nyie ni wanyonge sana, every time reality check exposes you badly.
Mbona tayari estimates zipo . Mnategemea more than 2.1 tril itumike kwa kulipa mikopo hapo mkiwa mmeweka na fedha za mikopoNyani linapiga nduru., ngoja ukweli, tuko June, am here.
Sawa nyani, nimekubaliana na wewe🤣🤣🤣🤣🤣.,Ground inaeleza vitu tofauti, wewe unajipiga kifua ila ground inakuvua nguo. 🤣🤣🤣🤣
Kwa vile tuna uwezo wakulipa madeni, ndege zetu hazitashikwa na mkulima kisa medeni., jaribu muwe na uchumi wenye uwezo wa kulipa madeni angalau kwa kiwango kikubwa, sio kusamehewa kila wakati. ,mko hovyoooo!Mbona tayari estimates zipo . Mnategemea more than 2.1 tril itumike kwa kulipa mikopo hapo mkiwa mmeweka na fedha za mikopo
What’s the problem in an election year? Tsh 20.19 Trln out of Tsh 57 Trln? Should i bring ur budget here n show u how little is the allocation going to ur infrastructure while much goes into paying debt? BTW mmeshindwa ku-allocate fee for hosting right for CAF Pamoja 2027!
View: https://x.com/TeyaKevin/status/1926966864980185225
Mkipigwa kwa hoja mnakimbilia kuwaita watu hawajasoma, mara kuwapa majina. 🤣🤣🤣🤣🤣 ila ground inaeleza otherwise.Sawa nyani, nimekubaliana na wewe🤣🤣🤣🤣🤣.,
View attachment 3358025
Hua wanacheka Kenya yet they are at the bottom of the pit.🤣🤣 Yani bongoslum has budgeted for Ksh 36 billion for development. 🤣🤣🤣 Ohhh sijui GDP yao iko understated, lakini the budget never lies. LDC ni LDC tu.
View: https://x.com/MwangoCapital/status/1930527581482463432?t=6t9GEJwgW6KobKhqgJcFhw&s=19
Mkipigwa kwa hoja mnakimbilia kuwaita watu hawajasoma, mara kuwapa majina. 🤣🤣🤣🤣🤣 ila ground inaeleza otherwise.
Pita haoi juu we jitu zima pumbavu. 🤣🤣🤣This a serious question … how do School drop outs and one year Of Study degree holders comprehend budget matters?…
Truth hurts, pole kwa maumivu., Tanzania bado sana, ukatae ukubali, facts remains 🤪🤪🤣🤣, umeambiwa ukweli., no bias🤣Mkipigwa kwa hoja mnakimbilia kuwaita watu hawajasoma, mara kuwapa majina. 🤣🤣🤣🤣🤣 ila ground inaeleza otherwise.