Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why can't you fund your education sector with own source revenue na si kutegemea donations? Yani ka nchi kadogo kama kenya kanaspend mara 6 yenu kwenye education kisha mnajigamba 'tumenunua ndege kwa fedha zetu'. Ndo maana nchi imejaa school droupouts kuanzia rais
How?

Mmezoea kutapeliwa.

Kutumia budget ndogo haina maana kuja kitu kinapungua.

Tunategema donation wapi?

School drop out how?

Free education mpaka Form 6.

VYuo vyote mpaka tertiary kuna loan board.
 
Hawana cha kuonesha kaka, wanachoweza ni Cyber bullying and Cyber Harassment. Wanajijua kabisa nchi yao imekufa.
Kwasababu nimejua kwamba kusema alete mji mmoja mmoja kushindanisha with what we are doing in Dodoma hawezi. Nimemtaka achukue miradi za towns zote za hapo upumbavuni kwao tushindanishe na Dodoma alone. 🤣🤣🤣
 
🤣🤣 Fuata mwenyewe kwa link
Kalinganishe sasa
Wacha sasa nikupe ufafanuzi ndio usilinganishe Kenya na Tanzania kiboya siku nyingine., Revenue ya counties ni autonomous, hesabu yao haingii kwa ile revenue ya national government, Kuna yale ushuru counties zina ruhusiwa ku collect na kuna ushuru zinaenda kwa national government kutoka kwa hizo counties haziguzwi na counties, kama ushuru ya ports, airports, etc, PAYEE, VAT, etc zinaenda kwa national govt, kwa mfano hesabu ya ushuru ya Mombasa county does not include ya port., so the kshs.58 Billion total counties revenue ni ile kiwango ya pesa county zinaruhusiwa kukusanya na kutumia zenyewe, hazipelekwi kwa hazina ya serikali kuu!., na bado zinatoa Kamasi ya eneo za Tanzania, na huo sio mkusanyiko wote wa revenue from a county kwa vile Kuna za national govt counties haziguzi., reason National revenue is approximately $28B! (Tshs.74trilion na zaidi!)., na ujue ile 58b ya counties haipo kwa hii hesabu.., Kenya sio Tanzania mwenzangu, kindly get financial literacy, and a basic lesson in economics.,
 
Hili daraja tayari wameshaanza kulijenga pale jangwani 👇🏾 400 meters
IMG_8459.jpeg
., Don YF. Sisi hatupigi blah blah mzee. 🤣🤣🤣
 
😅😅 Ndoto hizi sijui zitawaishia lini ,kama sisi tungekuwa,tunawaza kama nyinyi mpaka leo tusingekuwa na hata km ya sgr huu urasimu sijui economic viabilty sijui mazingira ndio vinawachelewesha nyinyi endeleni kumngojea mchina hapo tuone
Mtaendelea kushangaa., mlianza na expressway tulipo leta renders, ikakamilika kwa haraka sana., mkanena Talanta pia haitajengwa , sasa mnasema eti SGR to Malaba ni ndoto, nakuhakikishia itakamilika kabla ya yenu.,
A case study👇👇🤣🔥🔥
1749146150144_Untitled_design_-_2025-06-05T205414.996.jpg
 
Wacha sasa nikupe ufafanuzi ndio usilinganishe Kenya na Tanzania kiboya siku nyingine., Revenue ya counties ni autonomous, hesabu yao haingii kwa ile revenue ya national government, Kuna yale ushuru counties zina ruhusiwa ku collect na kuna ushuru zinaenda kwa national government kutoka kwa hizo counties haziguzwi na counties, kama ushuru ya ports, airports, etc, PAYEE, VAT, etc zinaenda kwa national govt, kwa mfano hesabu ya ushuru ya Mombasa county does not include ya port., so the kshs.58 Billion total counties revenue ni ile kiwango ya pesa county zinaruhusiwa kukusanya na kutumia zenyewe, hazioelekwi kwa hazina ya serikali kuu!., na bado zinatoa Kamasi ya eneo za Tanzania, na huo sio mkusanyiko wote wa revenue from a county kwa vile Kuna za national govt counties haziguzi., reason National revenue is approximately $28B! (Tshs.74trilion na zaidi!)., na ujue ile 58b ya counties haipo kwa hii hesabu.., Kenya sio Tanzania mwenzangu, kindly get financial literacy, and a basic lesson in economics.,
Blah blah. 🚮 🤣🤣🤣
 
Kama unajiona una guts twende ground sio empty talks. 🤣🤣🤣

1. Dom stadium 30k (international standards)
2.Msalato international airport. (Huwezi pata airport modern kuliko hii in the whole of kunya)
3. Dom outer ring road 112km
4. Dom inner ring road 50km
6. Dom government city
7. Housing projects (4 housing projects with over 5000 units)
8 Dom recreational facilities
9. Dom nane nane exhibition center (no this kinda facility in the whole of kundurenda)

Hizo zote zipo under construction. Chukua towns za kunya zenye miradi ya hii caliber. 🤣🤣🤣🤣🤣. Huwezi pata.
what percentage are they so far? 🤣🤣🤣🤣🤣., utazeeka ukingoja miradi yenu yote ikamilike, ni Tanzania tunawajua, hamuna misuli kukamilisha, itawachukua miaka!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣., even kufikia level yenye Kenya ilisha jenga same magnitude hamjafika sasa hizi ndoto ndio mtatimiza hivi karibuni?., na Kenya haisimami! 25-30 years mbele!!
 
what percentage are they so far? 🤣🤣🤣🤣🤣., utazeeka ukingoja miradi yenu yote ikamilike, ni Tanzania tunawajua, hamuna misuli kukamilisha, itawachukua miaka!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣., even kufikia level yenye Kenya ilisha jenga same magnitude hamjafika sasa hizi ndoto ndio mtatimiza hivi karibuni?., na Kenya haisimami! 25-30 years mbele!!
Nimekwambia huu sio uwanja wa empty talk budaa. Blah blah peleka mathare huko. Huna comeback.?
 
Wacha sasa nikupe ufafanuzi ndio usilinganishe Kenya na Tanzania kiboya siku nyingine., Revenue ya counties ni autonomous, hesabu yao haingii kwa ile revenue ya national government, Kuna yale ushuru counties zina ruhusiwa ku collect na kuna ushuru zinaenda kwa national government kutoka kwa hizo counties haziguzwi na counties, kama ushuru ya ports, airports, etc, PAYEE, VAT, etc zinaenda kwa national govt, kwa mfano hesabu ya ushuru ya Mombasa county does not include ya port., so the kshs.58 Billion total counties revenue ni ile kiwango ya pesa county zinaruhusiwa kukusanya na kutumia zenyewe, hazioelekwi kwa hazina ya serikali kuu!., na bado zinatoa Kamasi ya eneo za Tanzania, na huo sio mkusanyiko wote wa revenue from a county kwa vile Kuna za national govt counties haziguzi., reason National revenue is approximately $28B! (Tshs.74trilion na zaidi!)., na ujue ile 58b ya counties haipo kwa hii hesabu.., Kenya sio Tanzania mwenzangu, kindly get financial literacy, and a basic lesson in economics.,
Huyo ni fala, first anacompare Ksh 3 trillion na Tsh 3 trillion, then anacompare 47 counties na 31 regions in a country that's almost twice in size.
 
Kweli hatufanani kwasababu nyinyi 70% ya counties Zina makusanyo ya below 1bil ksh wakati Tanzania ni 5 provinces ni 16.6 % ziko below 1 bi ksh🤣
Nadhani umeelewa sasa🤣🤣🤣🤣., ulikua unalinganisha Kenya na Tanzania kiboya sana, 🤣🤣🤣.,
 
Nimekwambia huu sio uwanja wa empty talk budaa. Blah blah peleka mathare huko. Huna comeback.?
Percentage is empty talk🤣🤣🤣🤣., nimewabana humu, hamna pakupumulia., kamilisha kisha nitag, la sivyo fyata, ngoja miaka 25-30 mbele kujilinganisha na Kenya..,
 
Percentage is empty talk🤣🤣🤣🤣., nimewabana humu, hamna pakupumulia., kamilisha kisha nitag, la sivyo fyata, ngoja miaka 25-30 mbele kujilinganisha na Kenya..,
Blah bha. 🚮. Empty talks. 🤣🤣🤣 Miradi inayofanyika Dom now haujawahi kushudiwa kwenye mji wowote wa hapo kunya kando ya Nairobi. Sasa sijui hiyo 30 years mbele unazungumza future yenye your so called cities they gonna be capable of implementing such projects.
 
Huyo ni fala, first anacompare Ksh 3 trillion na Tsh 3 trillion, then anacompare 47 counties na 31 regions in a country that's almost twice in size.
The dimwit does not know counties' revenue is a paltry 58B., including what Nairobi county collects, which is a portion permitted by law, and they collect and spend, it doesn't go to the national Treasury., national government revenue collection from across the country(from those counties )is not even included., na bado many counties are doing far better than Tanzanian regions, ndio ujue Tz is still an LDC in reality.., wana anika ufukara wao na hawajui🤣🤣 numbers never lie!!!., yaani anakinganisha Tana River county with smaller population na Kigoma ya over 1.5 million people 🤣🤣🤣., so per Capita in reality Tana River is far better🤣🤣🤣., (including national govt revenue from the place and the share)..
 
Blah bha. 🚮. Empty talks. 🤣🤣🤣 Miradi inayofanyika Dom now haujawahi kushudiwa kwenye mji wowote wa hapo kunya kando ya Nairobi. Sasa sijui hiyo 30 years mbele unazungumza future yenye your so called cities they gonna be capable of implementing such projects.
Empty office blocks kwa wingi🤣🤣🤣🤣,. Dodoma apartments estate eti city🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., ndoto za alinacha, sema Tanzania usitaje Kenya🤣🤣🤣🤣.,
 
Wacha sasa nikupe ufafanuzi ndio usilinganishe Kenya na Tanzania kiboya siku nyingine., Revenue ya counties ni autonomous, hesabu yao haingii kwa ile revenue ya national government, Kuna yale ushuru counties zina ruhusiwa ku collect na kuna ushuru zinaenda kwa national government kutoka kwa hizo counties haziguzwi na counties, kama ushuru ya ports, airports, etc, PAYEE, VAT, etc zinaenda kwa national govt, kwa mfano hesabu ya ushuru ya Mombasa county does not include ya port., so the kshs.58 Billion total counties revenue ni ile kiwango ya pesa county zinaruhusiwa kukusanya na kutumia zenyewe, hazipelekwi kwa hazina ya serikali kuu!., na bado zinatoa Kamasi ya eneo za Tanzania, na huo sio mkusanyiko wote wa revenue from a county kwa vile Kuna za national govt counties haziguzi., reason National revenue is approximately $28B! (Tshs.74trilion na zaidi!)., na ujue ile 58b ya counties haipo kwa hii hesabu.., Kenya sio Tanzania mwenzangu, kindly get financial literacy, and a basic lesson in economics.,
Hizo zote nazijua ( osr) Ina include produces cess, entertainment permit, billboard ,business licence, na kadhalika.
Revenue from vat , corporate tax au Yale makusanyo ya kra na tra hayako included kwenye osr both Tanzania na Kenya.
Hata Tanzania port collection na taxes haziko included kwenye osr
Kenya Kuna dividend toka serikali kuu kama Tanzania , hizi zote not included kwenye osr .

HAPA TUNAZUNGUMZIA OSR TU
OSR" refers to Own Source Revenue, which is the income generated by county governments from sources within their jurisdiction, including local taxes, fees, fines, and charges for services. This revenue is distinct from funds transferred from the national government. Counties are constitutionally mandated to generate OSR to fund their operations and development projects.
Here's a more detailed breakdown:
What it is:
OSR encompasses all income earned by county governments directly, such as property taxes, entertainment taxes, business permits, and charges for services like public health clinics or waste management.
Why it's important:
Effective OSR collection is crucial for fiscal decentralization, giving county governments greater financial autonomy and accountability. It also allows counties to fund development projects and improve service delivery, as OSR can supplement intergovernmental transfers and grants.
Legal basis:
The Kenyan Constitution (2010) empowers county governments to levy taxes and charges, and the Public Finance Management Act, the County Government Act, and the Urban Areas and Cities Acthttps://www.pfmr.go.ke/cost-of-own-source-revenue-study-tour-of-kwale-county/ provide further regulations.
Examples:
Some common examples of OSR include property taxes, entertainment taxes, land revenue, business permits, fees for services like registration and licensing, and penalties for infractions.
 
Back
Top Bottom