Wacha sasa nikupe ufafanuzi ndio usilinganishe Kenya na Tanzania kiboya siku nyingine., Revenue ya counties ni autonomous, hesabu yao haingii kwa ile revenue ya national government, Kuna yale ushuru counties zina ruhusiwa ku collect na kuna ushuru zinaenda kwa national government kutoka kwa hizo counties haziguzwi na counties, kama ushuru ya ports, airports, etc, PAYEE, VAT, etc zinaenda kwa national govt, kwa mfano hesabu ya ushuru ya Mombasa county does not include ya port., so the kshs.58 Billion total counties revenue ni ile kiwango ya pesa county zinaruhusiwa kukusanya na kutumia zenyewe, hazipelekwi kwa hazina ya serikali kuu!., na bado zinatoa Kamasi ya eneo za Tanzania, na huo sio mkusanyiko wote wa revenue from a county kwa vile Kuna za national govt counties haziguzi., reason National revenue is approximately $28B! (Tshs.74trilion na zaidi!)., na ujue ile 58b ya counties haipo kwa hii hesabu.., Kenya sio Tanzania mwenzangu, kindly get financial literacy, and a basic lesson in economics.,
Hizo zote nazijua ( osr) Ina include produces cess, entertainment permit, billboard ,business licence, na kadhalika.
Revenue from vat , corporate tax au Yale makusanyo ya kra na tra hayako included kwenye osr both Tanzania na Kenya.
Hata Tanzania port collection na taxes haziko included kwenye osr
Kenya Kuna dividend toka serikali kuu kama Tanzania , hizi zote not included kwenye osr .
HAPA TUNAZUNGUMZIA OSR TU
OSR" refers to Own Source Revenue, which is the income generated by county governments from sources within their jurisdiction, including local taxes, fees, fines, and charges for services. This revenue is distinct from funds transferred from the national government. Counties are constitutionally mandated to generate OSR to fund their operations and development projects.
Here's a more detailed breakdown:
What it is:
OSR encompasses all income earned by county governments directly, such as property taxes, entertainment taxes, business permits, and charges for services like public health clinics or waste management.
Why it's important:
Effective OSR collection is crucial for fiscal decentralization, giving county governments greater financial autonomy and accountability. It also allows counties to fund development projects and improve service delivery, as OSR can supplement intergovernmental transfers and grants.
Legal basis:
The Kenyan Constitution (2010) empowers county governments to levy taxes and charges, and the Public Finance Management Act, the County Government Act, and the Urban Areas and Cities Acthttps://www.pfmr.go.ke/cost-of-own-source-revenue-study-tour-of-kwale-county/ provide further regulations.
Examples:
Some common examples of OSR include property taxes, entertainment taxes, land revenue, business permits, fees for services like registration and licensing, and penalties for infractions.