Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,913
Soon tu.IMF tayari wameshaanza kuwaambia kuwa value ya hela yao ni overrated. Hii JeeDEEpee itashuka kama Nigeria walivyotoka from $500B to $100B ndio tatizo ya hivi viikonomi uchwara.
View attachment 3357123
Aidha baada ya Ruto au awamu ya pili ya Ruto, watarudi mezani.
Wata devalue hiyo currency ya mchongo, ma GDP ya mchongo itashuka maana wameshafika mwisho.
Kila anayewashauri wanamuona mbaya.
WB kawapa ushauri wa kikodi kama 100, wameanza kumuona mbaya.